Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,041
- 103,473
Unataka swali gani? Hoja gani? Hujui nini kinajadiliwa?
Sijui ndio maana nataka nijue toka kwako.
Unataka swali gani? Hoja gani? Hujui nini kinajadiliwa?
Watakuwa wanawasilisha hoja za chama gani??Kuwafukuza wabunge ambao wameshaahidiwa kulindwa na sipika kwa chama kilekile cha upinzani hata bila kujali kuwa chama husika kimewafuta uwanachama ni kupoteza muda bure.
Hoja ni kwamba je kama mgombea wa upinzani Tundulissu angeshinda katika nafasi ya urais halafu wabunge wa chama chake wote wakashindwa kwa kudhulumiwa kama ilivyofanyika angesusia kuwa rais kwa kuwa wabunge wa CHADEMA wote wamedhulumiwa ushindi?.
Ukamanda unaonekana wakati wa shida. Kama mtu aliyedhulumiwa ushindi wake wa halali na amekubali kwenda kuuza utu wake kwa vipande vya fedha huyu hafai kwenye mapambanoWacha bwana
Leo halima amekuwa si kamanda tena?
Tena mkiwafukuza tu, chama kinawafia
minyoo hajakushutua?Sijui ndio maana nataka nijue toka kwako.
Sasa hamna wapiga kura, hamna wanachama, na hamna wanawake pia maana mmeachwa teheteheeeNi wakati wenu huu wa kufurahi na kuongea kebehi zote. Ila kumbukeni tu kila jambo na wakati wake. Endeleeni kufurahi mkijua yameisha ila napenda tu kuwaambia kuwa mapambano ndo kwanza yanaanza.
Tunachofurahi ni kuwa mnazidi kutuondolea wanafiki na watu wanaojali matumbo yao wala si maslahi mapana ya watanzania.
Napenda kuwahakikishia, hakuna marefu yasio ya ncha. Wakati wenu wa kilio na kujuta upo na utafika.
Hamtaweza kuturubuni wote na wengine tutasimama kuwatetea kweli watanzania
Icc is for real Mama. Huo sio utaniYesu wangu
Kaka ICC bwana
Usinihusishe na vitu vya ajabu, nipo CCM kwa maslahi binafsi na nchi yangu !
Eti mliambiwa wakat wewe ni mfuasI mmoja wapo !Sema tuliambiwa, waliambiwa akina Nani ?
Hivi Mbona watu wanakataa humu kulikoni
Hatuna hao wote Ila tuna Watanzania mamilioni wenye kiu ya Haki na Kweli. Wenye maono ya Tanzania bora yenye maendeleo ya kweli ya watu, ustawi bora wa maisha yao na demokrasia pana inayowawezesha kuishi vizuri kwa uhuru na amani.Sasa hamna wapiga kura, hamna wanachama, na hamna wanawake pia maana mmeachwa teheteheee
Umebaki wewe lema na Tundu tuu
Kuna uwezekano hata wakifukuzwa uanachama ndugai akawalinda waendelee kihudhuria bungeni, ref yule mbunge alievuliwa ubunge lakini ndugai alimkingia kifua na aliendelea kuhudhuria bunge
Icc is for real Mama. Huo sio utani
Una hakika na hilo??Ukamanda unaonekana wakati wa shida. Kama mtu aliyedhulumiwa ushindi wake wa halali na amekubali kwenda kuuza utu wake kwa vipande vya fedha huyu hafai kwenye mapambano
Mwl nyerere alituwekea mifumo migumu sana wakati anaazisha mfumo wa vyama vingi nchi ina mifumo migumu sana big up TISS japo watu wanasema hamfanyi kazi linapokuja swala la usalama wa nchi hii hakuna utani
Halima keshasema hakukua na mauaji ila kulikua na maandalizi ya kulipua mali na kuua askari
If you know you know🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Haina kufeli💥👏Mwl nyerere alituwekea mifumo migumu sana wakati anaazisha mfumo wa vyama vingi nchi ina mifumo migumu sana big up TISS japo watu wanasema hamfanyi kazi linapokuja swala la usalama wa nchi hii hakuna utani
Sawa kaka ICCIcc is for real Mama. Huo sio utani
Nakwambiaje hata siku moja traitors hawajawai kufifisha mapambano genuine ya hakiUna hakika na hilo??
Mbona alikimbilia kuwasha Moto bag??
Tutajuaje kama ni kweli wakati alitia kiberiti??
Na nyie mnaamini??ndiyo maana wanasemaga chama Cha Nyumbu.
Leo mnamuona sio kamanda Tena
Harakati kazi ngumu wengi wanakimbia tuliobaki tumekamia njia ngumu tunayopitia - Kalapina* Ni kweli anaijua siasa au mkumbo tu??
*Ana uhakika yuko dhamira moja na anaowaamini??
*Siasa na harakati zinakaaje pamoja??
*Je tunawajua vizuri hao tunaowaamini???
*Ni kweli tulikuwa tunawaza vyema kwamba huu ndio wakati wa ukombozi?
Asalaam mabibi na mabwana,niko mbele yenu kuwakumbusha hayo machache juu.mimi mwenyewe sina majibu,niliishajiuliza nikaona ni heri nigeukie mambo yangu binafsi maana ninachokiona si halisi kilivyo.
Kila mmoja na atafakari na kuchukua hatu,ataijua kweli nayo itamuweka viwanja huru.asanteni.
Wanataka kumfukuza na mwenye sacos yake (mbowe)Sasa hamna wapiga kura, hamna wanachama, na hamna wanawake pia maana mmeachwa teheteheee
Umebaki wewe lema na Tundu tuu