Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,126
- 4,169
Jamaa yupo serious na maisha ya Watanzania.
Sakata la mafuta alipambania maisha ya Watanzania.
Sakata la Tril 280 ndio amekomaa kinyama.
Huyu jamaa ni mwamba wa kuwachachafya ma-CCM.
We muache mvua ziishe..badala apande nchicha!Mkuu, endelea kuuza kangara,
CCM ni zaidi uiuavyo, unaezakuta muda huu yupo na na Mwigulu, wanapitia hoja yako wanakucheka,
johnthebaptist anakuambia siasa ni sayansi,
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
HawaweziWatamuua kabla ya 2025
una maoni na mtazamo wa kujenga na wa kizalendo sana.....
Jamaa yupo serious na maisha ya Watanzania.
Sakata la mafuta alipambania maisha ya Watanzania.
Sakata la Tril 280 ndio amekomaa kinyama.
Huyu jamaa ni mwamba wa kuwachachafya ma-CCM.
CCM hawapendi wa type hii, angalia hoja zangu nilipotaka nikawasaidie kule mjengoni
Jamaa yupo serious na maisha ya Watanzania.
Sakata la mafuta alipambania maisha ya Watanzania.
Sakata la Tril 280 ndio amekomaa kinyama.
Huyu jamaa ni mwamba wa kuwachachafya ma-CCM.
Huenda usemayo yakawa na ukweli!CCM ni zaidi uiuavyo, unaezakuta muda huu yupo na na Mwigulu, wanapitia hoja yako wanakucheka,
johnthebaptist anakuambia siasa ni sayansi,
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Huyu CCM bora wamuachie Jimbo,akienda upande wa pili atawasumbua kama Dr Slaa alivyokuwa anawasumbua CCM Bungeni!una maoni na mtazamo wa kujenga na wa kizalendo sana.....
lakini nikuhakikishie tu kwamba, huyu mjamaa hawezi thubutu kusogelea ofisi ya CCM, amesha sense fish na kwamba akisogea tu wanCCM watakua wanamkimbia na wanatawanyika kama ana ukoma......
na kwahivyo,
anajitahidi tu kuvuta muda achukue pension yake ya ubunge, na kisha atajiunga na aidha ile timu iliyogawanywa na kibaraka wa majuu au ile ya wasaka tonge watetezi wa wanyonge....
ana usumbufu gani na atamsumbua nani huyo. Anahasira tu za kutemwa barazani....Huyu CCM bora wamuachie Jimbo,akienda upande wa pili atawasumbua kama Dr Slaa alivyokuwa anawasumbua CCM Bungeni!
CCM hawapendi wa type hii, angalia hoja zangu nilipotaka nikawasaidie kule mjengoni
View: https://youtu.be/Qr6j25jFGyI?feature=shared
niliambulia kura moko kama mhanga moko mbendembende!.
CCM wasipompitisha itakuwa ni a grave mistake, ataingia kupitia popote atakapo simama, opposition watamgombea kama mpira wa kona!, na akitinga... CCM watakoma!.
P
CCM hawapendi wa type hii, angalia hoja zangu nilipotaka nikawasaidie kule mjengoni
View: https://youtu.be/Qr6j25jFGyI?feature=shared
niliambulia kura moko kama mhanga moko mbendembende!.
CCM wasipompitisha itakuwa ni a grave mistake, ataingia kupitia popote atakapo simama, opposition watamgombea kama mpira wa kona!, na akitinga... CCM watakoma!.
P