voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,550
- 11,879
Huu ndio ukweli halisi!
Mheshimiwa Luhaga Mpina, mbunge wa Jimbo la kisesa, alijitoa kafara,bila kupepesa macho bungeni,na kuichana Live, serikali ya chama chake cha CCM. Akatohoa kila kitu kutokana ndhila wanayopitia Watanzania.
Kutokana na upandaji holela wa bei za bidhaa nchini.
Lissu na Chadema meelewe hilo. Suala la mfumko wa bei,Lissu na Chadema wamedandia hoja ambayo tayari,wabunge wa CCM yenyewe!, walikwisha liona na kuibana serikali hii,ambayo imelalia kwa Upper Class na walamba asali.
Badala ya wananchi na wapiga kura. Tuaenda kwa hoja na uthibitisho mpaka kieleweke. Na wakati Mpina akijitoa muhanga!takribani miezi nane iliyopita!
Lissu alikuwa akipigania kulipwa mafao yake,akiwa huko huko Ulaya,nchini Ubelgiji. Lakini #Mpina alikuwa hapahapa, tena ndani ya bunge, akiichachafya serikali ya chama ambacho ndio pia kimempa nafasi ya kugombea ubunge na kuupata!
Na hilo limemgharimu mpaka kufyekwa jina lake, katika kugombea kuwa mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM pamoja na U-NEC wa CCM.
My take:
Hawa watu kama Mpina. Ndio waterezi halisi wa wananchi ambao tunaowataka Tanzania hii. Na sio wale cwa Msimu kama Lissu, wanaogeresha,huku familia zao zikiwa Ughaibuni.
Na wakishakosa malengo yao wanarudi Ulaya kama kawaida yao.
Asubuhi njema!
10101.