Ushamba: Siasa ndani ya ndege ya kibiashara (Dreamliner)

Ushamba: Siasa ndani ya ndege ya kibiashara (Dreamliner)

Nimeamini Kiongozi akiwa mshamba hata wanaongzwa nao huwa washambaa. Upuuzi kma huu kipind cha JK usingeusikia kila mtu alikuwa mjaja
 
Wabongo mna mambo ya ajabu sana. Sijaona jambo jipya hapo.
 
makamanda mtapata tabu sana awamu hii, hapo mlitamani hiyo ndege ikose abiria ila kwa maelezo wako inaonekana abiria walikuwa wengi kwelikweli!
Ingekosaje abiria wakati nauli ni karibu sawa na za Dar Express bus
Juzi nimesoma Chicago Tribune wakidhihaki offer hii ya Magu
 
Nasikia abiria wengi walikuwa ni watumishi wa umma walilipiwa kila kitu na sirikali ya Lumumba walikula na kulipwa posho ili ndege ijae. [emoji104][emoji104][emoji104][emoji104][emoji104][emoji104][emoji104]Vipi Kale kababu harakaharaka kalilipa sh,ngapi?[emoji33][emoji33][emoji33][emoji33]
 
Ushamba na ulimbukeni una gharama zake jamani.
 
Lakini hii ndege ni pesa za watanzania sio ya vyama vya siasa! Kwa hiyo kama mtanzania kila mtu ana uhuru/wajibu wa kujua kinachojiri kwenye kodi zetu!
Sasa ndiyo mmejua kuwa kodi zenu? Mbona mwanzo mlikuwa mnasema haziji? Pia mkawa wasaliti wa nchi yenu hadi mkapeleka docs kwa wadai wa ATCL?
 
Sasa ndiyo mmejua kuwa kodi zenu? Mbona mwanzo mlikuwa mnasema haziji? Pia mkawa wasaliti wa nchi yenu hadi mkapeleka docs kwa wadai wa ATCL?
We naona akili yako mbovu, unadhani kila mtu ni Chadema, Pathetic!
 
Ulishaanza na fikra hasi kuhusu Dreamliner kwa hiyo sitegemei utabadilika. Weka hili bandiko mlangoni pale ufipa itafaa zaidi.
Kwa nini nyie mnataka msifiwe kwa kila kitu na watu wote?Hamna ngozi ngumu ya kusikiliza na kuvumulia mawazo mbadala?
 
Back
Top Bottom