Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,307
- 40,107
Kabila lile linafurahisha
Hiyo ilitulia juu ya mlima Kilimanjaro? Ati ndege zingine zinaleta tu.hii safari imekuwa maalum kwa Rubani kuuzunguka Mlima kama utaliii, ndege zingine zinapita tu.
HahahaKwani wanaopita na ndege nyingine wanapita anga lipi???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukisoma hapa unaweza kufikiri ndege nyingine hazina madirisha.Mbona hata ndege zingine unaonekanaga? Ushamba mzigo.
Sifa za kijinga.Ukisoma hapa unaweza kufikiri ndege nyingine hazina madirisha.
Hawa jamaa bwana!! Yaani sioni cha ajabu hapa. Tunajidhalimisha kwa vitu vya kawaida sana. Wana taka kutuaminisha kwamba ndege yetu tuu ndiyo imepita juu ya kilele cha KilimanjaroMbona hata ndege zingine unaonekanaga? Ushamba mzigo.
Ahaahahahahah jus aahahaha.....han.!!haaa...!!Ukisoma hapa unaweza kufikiri ndege nyingine hazina madirisha.
Mmeanza eeeHongera raisi tumeupanda mlima kilimanjaro dirishani
HaahahahahahhNaipongeza awamu ya 5 kwa kutuletea mlima kilimanjaro kwene dirisha la ndege mpya ya kisasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku nyingine huo mlima ikiwezekana uwekwe kabisa kwenye ndege ili abiria wauone vizuri tena ikiwezekana na kuupanda pia.
mnaleta ujinga hadi kwenye biashara