Ushamba: Siasa ndani ya ndege ya kibiashara (Dreamliner)

Ushamba: Siasa ndani ya ndege ya kibiashara (Dreamliner)

Asiye mkubali JPM akapimwe akili
Magufuli aliwadanganya acacia wanatoa trilioni 400+ mkashangilia sana, leo hii hata tsh 1 hamjapewa,
hivyo aliowadanganya na akijua kabisa anawadanganya mnapaswa kupimwa akili zenu sawa sawa kama nanyi ni binadamu wa kawaida
 
Hao waliopagawa ni waliopelekwa maalum kwaajil ya mapokez ya hyo ndege ndo maana unaona wacheza ngoma wakimasai na wana CCM kadhaa... Either Dreamliner ama Airbus A320 za Et lazima zitue kila siku zaid ya maramoja hapo Kia sasa sijui cha kuwapagawisha hasa hao wananchi
kitakuwa ni kitu gani hasa, Unless ungesema dreamliner ya Atcl
 
Thank God wachagga hawajaimwagia mbege ndege, maana kwa kushangaa tu wenzetu wanaweza.
 
Wachagga hongereni kwa kutopiga punyeto hadharani kuishangilia ndege maana nyie mna vituko vya hajabu sana. Kama si kuuliwa na wake zenu basi kwa hasira baada ya kunywa mbege mnajichua hadharani.
 
Back
Top Bottom