cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,336
Wengi huishia pabaya sanaWanakutana na upuuzi wao waliofanya wakiwa madarakani punde TU watakapostaafu na kurudi kijiji kwao.
Wengi huishia pabaya sanaWanakutana na upuuzi wao waliofanya wakiwa madarakani punde TU watakapostaafu na kurudi kijiji kwao.
Akina mbowe ndio waliotupatia JPM, sio CCM. Bila mbowe JPM asingekuwa Rais.Hii sababu ni za mtu aliyekata tamaa kufikiri, kudhani kila polisi hakusoma,na kila upuuzi unaofanywa na polisi ni sababu ya elimu yao ndogo.
Mbona mbowe hakwenda shule kiivyo ila anaswaga mbuzi kibao na elimu zao!
Unaacha kujadili hoja unajadili mtu.Inaonekana mbowe anakuwasha sana wewe.Jinga kubwa wewe.Hii sababu ni za mtu aliyekata tamaa kufikiri, kudhani kila polisi hakusoma,na kila upuuzi unaofanywa na polisi ni sababu ya elimu yao ndogo.
Mbona mbowe hakwenda shule kiivyo ila anaswaga mbuzi kibao na elimu zao!
Ni kweli.lishe yetu pia inachangia pakubwa kwenye uwezo wetu wakujielewa.Tuna tatizo la IQ linalosababishwa na Ugali hata tukisoma vipi hebu angalia Afroamericans walivyo na IQ kubwa kubwa ni kwa sababu ya kushtukia Ugali.
Police,wajeda wengi 97% wamefoji vyeti kichwani ni empty set uweledi zero kabisa angalia hata shule za hivo vyombo ndo hupata miziro yakutoshaHii sababu ni za mtu aliyekata tamaa kufikiri, kudhani kila polisi hakusoma,na kila upuuzi unaofanywa na polisi ni sababu ya elimu yao ndogo.
Mbona mbowe hakwenda shule kiivyo ila anaswaga mbuzi kibao na elimu zao!
Sawa mkuuKila kitu unachoamua na unachokifanya wafikirie wa chini yako na wewe mwenyewe baada ya kuiachia nafasi uliyonayo sasa.
Akitajwa mbowe tako linakucheza au vipu???Unaacha kujadili hoja unajadili mtu.Inaonekana mbowe anakuwasha sana wewe.Jinga kubwa wewe.
Mpuuzi huyu,tukimtajia mifano ya wasomi kibao wanaotoa boko JF itajam.Elimu mwisho ni form vi, huko kwingine kote ni mbwembwe zako wwe!!
Super intelligent wapo taasisi ipi!!!na ipi kazi wameifanya??Kilicho dhahiri, hakuna super intellingent aliyepo ndani ya Polisi. Wengi wa Polisi ni very low IQ. Kazi hii ni muhimu, ilihitaji watu wenye akili, weledi na upeo mpana, sisi tunawapa tunaowaona kuwa wana akili ndogo. Madhara yake ni makubwa.
Wewe na nani mliwapa?Kilicho dhahiri, hakuna super intellingent aliyepo ndani ya Polisi. Wengi wa Polisi ni very low IQ. Kazi hii ni muhimu, ilihitaji watu wenye akili, weledi na upeo mpana, sisi tunawapa tunaowaona kuwa wana akili ndogo. Madhara yake ni makubwa.
Naked truthPolice,wajeda wengi 97% wamefoji vyeti kichwani ni empty set uweledi zero kabisa angalia hata shule za hivo vyombo ndo hupata miziro yakutosha
Wengi kwenye hizo nafasi husahau kuwa kuna siku watastaafu na kurudi uraiani. Niwatu wa hovyo hukupata kuona.Wabunge na polisi wanapinga kila kitu Cha wapinzani na kuunga mkono kila kitu Cha Serikali. Inawezekana kweli wapinzani wana kasoro zao, lakini wanasaidia nchi kwenye checks and balances hasa kwa vitu vinavyokwenda umiza hata mama zao vijijini.
Tanzania hakuna kitu kizuri kuliko wengine zaidi ya utulivu kwa watu wetu. Tumewekeza zaidi kuhakikisha kuwa nchi Ina utulivu bila kujali kuwa watu wana Amani au la.
Polisi atamkong'ota mtu anaesema tunataka katiba mpya na kumuacha mtu aliyekula fedha za kupeleka maji kwa mama zao vijijini.
Mbunge anasahau kuwa ana mama, shangazi, binamu na wapwa ambao hawatanufaika na fedha za ubunge wake bali sera zitakazomsaidia kuwapatia mahitaji yao wao mwenyewe kwa nguvu na juhudi zao.
Ona sasa tunapoenda sheli kujaza mafuta hakuna tofauti Kati ya aliyeimba hiyenahiyena na peooooples, watoto wa polisi wanasoma pia shule hizihizi. Kila mtu analinda ajira isiyotoa majibu kwake, familia na ndugu zake vijijini.
Mpaka siku kila mtu atakapojitambua itakuwa too late. Tutakuwa tumeachwa nyuma na mataifa yote kwenye kila kitu na kila Jambo.
Mbunge anaapa kulitumikia bunge siyo wananchi bwashee!
Nadhani wale ambao staple food yao sio ugali wana afadhali kubwa. Mfano, Zanzibar wanajitambua wote kabisa 100%, na iko siku Zanzibar itaichukua Tanganyika, it is just a matter of time.Ni kweli.lishe yetu pia inachangia pakubwa kwenye uwezo wetu wakujielewa.
Police Wana maisha magumu lakini wanashabikia ccm
Kazi gani, yaani wewe unaweza mafuta ya 20,000 kwenye gari lakini nyumbani umeacha 5000 hiyo ndiyo kazi unavyosema?Wewe na nani mliwapa?
IQ kubwa unakuja kulalamika huku mitandaoni. Njooni vijijini tulime huku au ufanye biashara ulipo. Sio kila siku ooh police or wabunge. Ungeenda ww police ili tuione hiyo IQ yako. Au ungegombea ubunge. Tufanyeni kazi vijana wenzangu tuache kulalamika lalamika mitandaoni
Wenye kuweza kufanya maamuzi ni wale wa ngazi za juu,lakini kama na wao wanafaidika na mfumo,usitegemee Askali wa chini anayelipwa laki tatu atafsnya chochote,Hawa wachini wenyewe wanadhulumiwa sana na wakubwa wao,hasira wanamalizia kwa Raia.Ogopa sana "state capture "nchi imeshikwa na kikundi kidogo Cha watuWabunge na polisi wanapinga kila kitu Cha wapinzani na kuunga mkono kila kitu Cha Serikali. Inawezekana kweli wapinzani wana kasoro zao, lakini wanasaidia nchi kwenye checks and balances hasa kwa vitu vinavyokwenda umiza hata mama zao vijijini.
Tanzania hakuna kitu kizuri kuliko wengine zaidi ya utulivu kwa watu wetu. Tumewekeza zaidi kuhakikisha kuwa nchi Ina utulivu bila kujali kuwa watu wana Amani au la.
Polisi atamkong'ota mtu anaesema tunataka katiba mpya na kumuacha mtu aliyekula fedha za kupeleka maji kwa mama zao vijijini.
Mbunge anasahau kuwa ana mama, shangazi, binamu na wapwa ambao hawatanufaika na fedha za ubunge wake bali sera zitakazomsaidia kuwapatia mahitaji yao wao mwenyewe kwa nguvu na juhudi zao.
Ona sasa tunapoenda sheli kujaza mafuta hakuna tofauti Kati ya aliyeimba hiyenahiyena na peooooples, watoto wa polisi wanasoma pia shule hizihizi. Kila mtu analinda ajira isiyotoa majibu kwake, familia na ndugu zake vijijini.
Mpaka siku kila mtu atakapojitambua itakuwa too late. Tutakuwa tumeachwa nyuma na mataifa yote kwenye kila kitu na kila Jambo.