Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,729
- 13,097
Upokee na wangu piaUjumbe wenye ukweli ni tiba.
Kazi kwako kuupokea kwa uchungu au kuutupa.
Upokee na wangu piaUjumbe wenye ukweli ni tiba.
Kazi kwako kuupokea kwa uchungu au kuutupa.
Hivi mbowe alilamba 0 O-Level ?Mbowe aliyelamba zero shuleni ndio msomi wa CHADEMA
USSR
Angewaondoa ujambazi ungezidi maana mijamaa haijazoea kabisa hivi vijikazi vyetu halaliMwamunyange alimpiga biti akamwambia ishia huko huko jeshi sio vyeti.Jeshi ni nguvu, ujasiri na akili,sio vyeti.
Jiwe akagwaya thus Police,jeshi, magereza akugusa.
Dawa ya ujambazi ni kuwarudisha kuzimu walipotoka Hakuna dawa nyingine zaidi ya hio.Angewaondoa ujambazi ungezidi maana mijamaa haijazoea kabisa hivi vijikazi vyetu halali