Usha flirt naye sana

Usha flirt naye sana

Usikubali maneno maneno yakutenganishe na sweetie wako Kaizer, ila ukae ukijua watajaribu,nakuaminia kwa sweetie management....namuacha Kaizer wako, ila huyo Cantalisia ataipata...msichana mzuri na mdogo hivyo anakuwa na tabia za uchonganishi....tumetoka mbali dearest,siwezi kukuua na nimeacha!
Jaman Michelle,
Mwenzio nimetimiza wajibu wa kazi inayoniweka mjini atiii!
Mie wala sijachonganisha nimemkumbusha tu shem kuwa niko kazin asijeona labda nategea!!!
Nisamehe mwenzio dada angu alikuwa analialia atiii!
 
Usikubali maneno maneno yakutenganishe na sweetie wako Kaizer, ila ukae ukijua watajaribu,nakuaminia kwa sweetie management....namuacha Kaizer wako, ila huyo Cantalisia ataipata...msichana mzuri na mdogo hivyo anakuwa na tabia za uchonganishi....tumetoka mbali dearest,siwezi kukuua na nimeacha!
@Michelle: hii avatar bomba kuliko hata ile ya mwanzo!
@Anti: sasa nataka nione lile stress la how to manage unapo rushwa roho utali apply vipi hapa.
@Uncle, shkamoo.
@Maundumula: yamekukuta nini? mbona umekuja na hii mada wakati ndio bado mwenzio nimegundua utamu wa PM?
 
@Michelle: hii avatar bomba kuliko hata ile ya mwanzo!
@Anti: sasa nataka nione lile stress la how to manage unapo rushwa roho utali apply vipi hapa.
@Uncle, shkamoo.
@Maundumula: yamekukuta nini? mbona umekuja na hii mada wakati ndio bado mwenzio nimegundua utamu wa PM?

Marhabaaa. mbona umechelewa hivi mwali?
 
@Maundumula: yamekukuta nini? mbona umekuja na hii mada wakati ndio bado mwenzio nimegundua utamu wa PM?

Mwali,

Bado hayajanikuta lakini huwa na imagine ninavyoishi hapa kibaruani kwangu yaani ikitokea sijui nitakimbilia wapi , sijui nitoe notice 24 hrs nikisngizia mazingira hatarishi ya kazi :lol::lol:

Mmmm Mwali una m PM nani tena wakati maundumula nipo hapa :tongue:
 
Mwali,
Bado hayajanikuta lakini huwa na imagine ninavyoishi hapa kibaruani kwangu yaani ikitokea sijui nitakimbilia wapi , sijui nitoe notice 24 hrs nikisngizia mazingira hatarishi ya kazi :lol::lol:
Mmmm Mwali una m PM nani tena wakati maundumula nipo hapa :tongue:
Kuna siku nilipita nyuma yako kuchomeka sim kwenye hiyo switch nyuma yako offisini nikakuona uko JF. Sasa nimesha ona ni bora nisiku PM wewe. lol
 
kwa uso wa mbuzi huu utamuogopesha mwenzako
images


HAHAHAHAHA POA NITAMCHEKEA HIVI
 
hapo mkuu itbidi uso wa mbuzi uendelee kazini, lakini kwa kuwa tayari huku kwenye jukwaa tushafanya kila kitu basi itabidi tumalizane ki-jukwaa na tuendelee na mambo ya ofisi.....!!!!
 
Usikubali maneno maneno yakutenganishe na sweetie wako Kaizer, ila ukae ukijua watajaribu,nakuaminia kwa sweetie management....namuacha Kaizer wako, ila huyo Cantalisia ataipata...msichana mzuri na mdogo hivyo anakuwa na tabia za uchonganishi....tumetoka mbali dearest,siwezi kukuua na nimeacha!


Michelle my Sweetie is so Lovable.... AND Dearest you are so Lovable (hata kwa mimi mwanamke mwenzio) hivo basi such a match as much as nina confidence utafikiri ni kiwanda juu ya Sweetie lazima nitishike kidogo (hasa ukizingatia nina msala ndani ya nyumba); Hata hivo sababu it is you..... Nilikua na hope kubwa sitampoteza sweetie kwako.... I think wengine kwa post nilo ku qoute hapa... Watajua Why I Missed you and demanded urudi jamvini.... Why I Love you and Why I trust you..... AshaDii says THANK YOU For this WONDERFUL Post.....
 
AshaDii ,

Sorry madame, sikujua kama naharibu uhondo hapo.

Lakini mwenye macho haambiwi tazama:biggrin:
 
Jaman Michelle,
Mwenzio nimetimiza wajibu wa kazi inayoniweka mjini atiii!
Mie wala sijachonganisha nimemkumbusha tu shem kuwa niko kazin asijeona labda nategea!!!
Nisamehe mwenzio dada angu alikuwa analialia atiii!


Michelle anajua umuhimu wa what you have done mdogo wangu.... Usiogope....lol....
 
@Michelle: hii avatar bomba kuliko hata ile ya mwanzo!
@Anti: sasa nataka nione lile stress la how to manage unapo rushwa roho utali apply vipi hapa.
@Uncle, shkamoo.
@Maundumula: yamekukuta nini? mbona umekuja na hii mada wakati ndio bado mwenzio nimegundua utamu wa PM?



Si umeona Mwali.... Unakua Mpole... kama wajua una hasira saana unatoka zikishuka warudi. Puzo anasema "Never use emotions they mess your judgement"
 
AshaDii ,

Sorry madame, sikujua kama naharibu uhondo hapo.

Lakini mwenye macho haambiwi tazama:biggrin:


Unajua nawaaamini sana. Imagine post zao zooote sikusoma nilikuja soma yako ndio ikanifanya nirudi kuzisoma....lol.....
 
Kuna siku nilipita nyuma yako kuchomeka sim kwenye hiyo switch nyuma yako offisini nikakuona uko JF. Sasa nimesha ona ni bora nisiku PM wewe. lol

Mwali,

I can see u r trying to play some tricks on me hehehe

Bahati mbaya hapa kwangu ni cabin nipo alone watu hawaingii na mimi mtu akiingia namuona haoni ninachoandika kwenye PC na huwa nina minimize haraka nikiwa nimeomba msaada wa watu wa IT maana vimbelembele sana kuja kuanza kushika mouse, halafu huku kwangu simu nachomeka mimi tu :lol::lol:.
 
Jaman Michelle,
Mwenzio nimetimiza wajibu wa kazi inayoniweka mjini atiii!
Mie wala sijachonganisha nimemkumbusha tu shem kuwa niko kazin asijeona labda nategea!!!
Nisamehe mwenzio dada angu alikuwa analialia atiii!

Unajua Cantalisia,umeniudhi kitu kimoja,

Ulipoona mwanamke mwenzio nakosea,ungeniambia kabla ya kwenda kunisemea,endapo ningeacha kukutii ndo ungeenda muita AshaDii...sina raha yaani...katika vitu waga nakwepa ni kumuudhi AshaDii, we linda kibarua chako lakini si kwa gharama ya uhusiano wangu na AshaDii.....!Nimekusamehe lakini....!
 
@Michelle: hii avatar bomba kuliko hata ile ya mwanzo!
@Anti: sasa nataka nione lile stress la how to manage unapo rushwa roho utali apply vipi hapa.
@Uncle, shkamoo.
@Maundumula: yamekukuta nini? mbona umekuja na hii mada wakati ndio bado mwenzio nimegundua utamu wa PM?

Asante Mwali japo Marytina haipendi,eti haijakaa kiafrika...kazi ninayo....!
 
Unajua nawaaamini sana. Imagine post zao zooote sikusoma nilikuja soma yako ndio ikanifanya nirudi kuzisoma....lol.....

AshaDii,

Keep ur eyez wide open yani ukisinzia tu watu wana score...:shock:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom