Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,012
- 5,613
Yeye anajua wazungu wangapi wanaweza kujivunia hizo cheekbones? hii imekaa bomba!Asante Mwali japo Marytina haipendi,eti haijakaa kiafrika...kazi ninayo....!
Yeye anajua wazungu wangapi wanaweza kujivunia hizo cheekbones? hii imekaa bomba!Asante Mwali japo Marytina haipendi,eti haijakaa kiafrika...kazi ninayo....!
Michelle i like your avatar
sijui na wewe uu mrembo hivyo
Kuna mtu nataka kumuanzishia uzi hapa natunga tuu mashairi ila sijui yatapokelewa au yatatupwa kapuni niambulie matusi
Don't say it loud...see what you have caused now...eti something fishy?? roast it and eat....lol
yaaaani Kaizer UMENICHEKESHA hadi machozi..... :lol: :lol: :lol:
yaani kicheko cha kutoka rohoni the way Umenifurahisha.... THANKS Love....
Nasikitika tu umetoa siri kua you now don't have access.....Lmao.... Dah!
Yeye anajua wazungu wangapi wanaweza kujivunia hizo cheekbones? hii imekaa bomba!
Pamoja saana Michelle, Pamoja saana Dear.... Hii post carries my own words thus the blue is reciprocated.... Nashangaa tu nae Sweetie kakimbia sijui, lol. Saizi nawaamini you can go on, or mood imevunjwa tayari?
Nakwambia Cantalisia ni mwoga huyo! lakini atarudie mwenyewe na kukusoma hapa....
Thanks Mr Rocky....avatar yako ni nzuri zaidi...mimi ni mzuri zaidi kwa mtazamo wangu,sijui wengine wataonaje....lol
Nani huyo mwenye bahati ya kufikiriwa >>>>> kunazishiwa thread na wewe? Lucky HER!
haitatupwa,mwanzishie tu Chit Chat kule tuje tufurahie kama kawaida yetu!
Yeye anajua wazungu wangapi wanaweza kujivunia hizo cheekbones? hii imekaa bomba!
I tried to access some other priviledged system lol
Am happy love...always...
Wifi habari ya leo? hopefully unaendelea vizuri maumivu ya jino yamepoa.....
Yupo aise nataka nimuanzishie uzi hapa na nakusanya mashairi ya kumwambia nisije nikaambiwa niende kwanza shule
Asante sana kwa compliment
Na naamini wewe ni zaidi ya hiyo avatar maana huwezi kuchagua avatar kama hiyo kama kiwango chako ni hafifu
naamini umetimiza viwango zaidi ya hiyo Avatar
Source?-Enchanted hun'-
Yupo aise nataka nimuanzishie uzi hapa na nakusanya mashairi ya kumwambia nisije nikaambiwa niende kwanza shule
Asante sana kwa compliment
Na naamini wewe ni zaidi ya hiyo avatar maana huwezi kuchagua avatar kama hiyo kama kiwango chako ni hafifu
naamini umetimiza viwango zaidi ya hiyo Avatar
Nzuri dear! Limepungua kidogo. Thanx
Hommie unakumbuka tulivoumbuka siku ile tuna miadi ya kukutana na invizibo? Mi nlikwambia invizibo ni SHE ukabishaga. Damn!aisee kama una Gx100, wala usijaribu....labda jeep moedl 2010....
aisee kama una Gx100, wala usijaribu....labda jeep moedl 2010....
aisee kama una Gx100, wala usijaribu....labda jeep moedl 2010....
Lol,haya mkuu,tunasubiri mistari...ujue mistari inategemea mlengwa,yeye akiridhika inatosha....lol
Kuhusu viwango...i can't argue with facts (Source: AshaDii)...lol