Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,827
- 1,310
nimekufa kwa kicheko..........................bonge ya kituko!
Best option...mwanaume niliye na mpango wa kuonana nae au ninayeona kuna umuhimu huo siwezi flirt nae...
heshima juu coz i have a purpose of getting to know him better in real life and not PM's or posts!
Nimekupata.... Almost every body is perfect katika PMs na Posts.... thou kuna vitabia hua vyaweza sip with time. But kama ulivosema kama you are serious it is better you do not flirt...... Kumsoma ni rahisi zaidi.
Wengi wetu suala la kupeana majina halisi ni ngumu sana kabla ya kuonana!
pole sana... sipati picha yani...duh!we dada angu we acha tu!sikupiga show kabisa kabisa ila vyombo vya muziki tulityuni na kila kitu hadi mwenzangu aka-rehersal na wimbo mmoja kabisa!ila akili yangu ikakaa sawa kwa sekunde chache nikajisachi sina shin guard,nika-postpone zoezi mpaka kesho yake!naona aibu mno kukutana nae tena na naepuka kila uwezekano wa kukutana.yaani mpaka mama mdogo nafikiri alishtuka tulivojishtukia wakati wa utambulisho!!
Yaani kama sisi, kanisani, tukitoka home..baaaas.:A S-coffee:
Dah, kama mtu mnaflirt bora ukwepe kuonana nae kabisa maana.....mmmh!
Shem hii imekaaje kaaje!!!Yaani kama sisi, kanisani, tukitoka home..baaaas.:A S-coffee:
Kadadaa nakutafuta
He he he, thats the best...kwanza hapo najua nina mtu anayempenda Mungu(thats No 1 to me), then anampa Mungu muda na anaabudu....nitake nini zaidi? uzuri wa sura/mwili na hela hauna thamani ya mwanamme anayempenda Mungu na mwenye imani.
Kaizer, ukiacha kunipitia tu jumapili,unanipoteza....!:nerd:
Mi nilijua mkisha flirt ndio inaleta hamu ya kuonana in person lol
Kadadaa nakutafuta
Awesome....kusema kweli njia ile iendayo kwa baba ni nyembamba so ukimpata mtu mnaweza kumkumbuka Mungu thats the best (achana na wale wanaosema hakuna Mungu,,ni wapumbavu tu)
So nitakupitia kama kawaida Michelle
Kaizer,
Bora wadada wamefunguka mapema, daima nitakuwa mtiifu ku flirt kwangu ni mwiko :lol::lol:
Sio kumkumbuka Mungu,Mungu anakuwa sehemu muhimu ya mahusiano yenu na kila mlifanyalo,Mungu ndiye kiongozi na lolote linalowezekana kuepukika kufanyika lisilompendeza halifanyiki.....lol
Nitakusubiri Kaizer kama kawaida! Thanks oooohhh!
Hapa kanuni inageuka mkuu, badala ya E=MC[SUP]2[/SUP] inakuwa MC[SUP]2[/SUP]=E.
Lol, washakusoma mkuu....!Kaizer,
Bora wadada wamefunguka mapema, daima nitakuwa mtiifu ku flirt kwangu ni mwiko :lol::lol: