AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,189
- 18,113
Kaizer & Michelle,
Love in ze air?
Unataka tu kunitia HASIRA hapa.... Ngoja nitoke then nitaja kusoma hizo post....
Kaizer & Michelle,
Love in ze air?
Kadadaa nimemficha nyumbani hajamaliza kazi za shule.....anataka kwenda kwa jirani kila saa....lol
Ndo halitafanyika kwa sababu by the time tunamkumbuka Mungu....wakati wa ujana wetu....si ndio eeh...lol
Lol, ku-flirt tunakoongelea kwa mtazamo wangu ni kule kulikozidi, yaani hata details za ndani kabisa mnapeana PM as if mmeoana....!
Lol, washakusoma mkuu....!
kaka hapo hakuna ambacho utakuwa umesaidia,facebuk watu wengi wanatumia majina yao ya ukweli,,sasa mmebadilishana majina anaenda facebuk kumbe ni mama ako mdogo au mdogo wako na tayari cyber sex ishapita na mambo mengine kibao tu,aibu ipo pale pale aiseemimi nashauri watu kabla ya kukutana
muende facebook kwanza
muonane sura zenu,majina yenu kamili
utazame na friends list yake usije kuona
anamjua mkeo,mumeo.mama yako,boss wako...
ukiwa clear ndo muonane
Ndio Kaizer, yaani wewe....lol
Unataka tu kunitia HASIRA hapa.... Ngoja nitoke then nitaja kusoma hizo post....
Kaizer & Michelle,
Love in ze air?
kaka hapo hakuna ambacho utakuwa umesaidia,facebuk watu wengi wanatumia majina yao ya ukweli,,sasa mmebadilishana majina anaenda facebuk kumbe ni mama ako mdogo au mdogo wako na tayari cyber sex ishapita na mambo mengine kibao tu,aibu ipo pale pale aisee
Unataka tu kunitia HASIRA hapa.... Ngoja nitoke then nitaja kusoma hizo post....
Umeona eeh...hivi Michelle, inawezekana kuflirt baada ya kuwa mmeonana?lol
He he he, thats the best...kwanza hapo najua nina mtu anayempenda Mungu(thats No 1 to me), then anampa Mungu muda na anaabudu....nitake nini zaidi? uzuri wa sura/mwili na hela hauna thamani ya mwanamme anayempenda Mungu na mwenye imani.
Kaizer, ukiacha kunipitia tu jumapili,unanipoteza....!:nerd:
Awesome....kusema kweli njia ile iendayo kwa baba ni nyembamba so ukimpata mtu mnaweza kumkumbuka Mungu thats the best (achana na wale wanaosema hakuna Mungu,,ni wapumbavu tu)
So nitakupitia kama kawaida Michelle
Sio kumkumbuka Mungu,Mungu anakuwa sehemu muhimu ya mahusiano yenu na kila mlifanyalo,Mungu ndiye kiongozi na lolote linalowezekana kuepukika kufanyika lisilompendeza halifanyiki.....lol
Nitakusubiri Kaizer kama kawaida! Thanks oooohhh!
Mchokozi tu huyu sweetie umemuona eeh?
ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaa.....mwaka mpya na mambo mapya dearest...Smile alinifundisha ku-date wengi then out of them choose one....lolest!
Kaizer & Michelle,
Love in ze air?
Shem hii imekaaje kaaje!!!
Mbona km kapromo fulan hv?
Nakukumbusha tu kuwa kuna ulinzi shirikishi na polisi jamii kila uendako,kwa hisan ya Big sisy!!!
Mimi kwa mtazamo wangu sio embarrassing kivile.... Tatizo huja hapa.
- Wewe ni kijana alafu kumbe huyo mhusika age sawa na mamako.
- Wewe ni mdada/mwanamke alafu kijana mwenyewe ni 19/20 hivi.
- Mnafahamiana kabisa to the extent kila mmoja ajua hadi mke/mmeo na wote hua mnapotray ni wastaarabu.
- Ni ndugu yako kabisa wa damu.... Gosh!
- Ulivokua unategemea alivo sivo. mfano if you thot yupo kama Denzel Washington unakutana na the opposite! lol
Inawezekana kabla ya kuonana na baada ya kuonana ndo ikazidi kabisaaaaaaaaaaaaa manake hata vipoint vya ku-flirtiana unakuwa navyo zaidi...baby your chest...mmmmmhhhh...lol....acha utani basi!
Sweetie relax....aint doing anything yet lol
Hiyo ya kwanza na ya tano noma sana! Kuna demu aliwahi kunizidi ujanja miaka kadhaa iliyopita, akanitega yupo ofisi fulani tuonane kumbe yupo opposite na Hiyo ofisi! Nilipofika aliniona kabla sijamuona! Nilipompigia ndo akaniambia geuka unione!! Lol !!!!!
:smash:
Sweetie are you lipizaling? You know ODM was lying eeh? Please don't....
Jamani Michelle mbona unataka kuniua? Dah! :hatari:
I see you see what I see..... :A S-heart-2:
Cantalisia ninavokupenda mdogo wangu... asante kwa simu (hapa ni abiria chung mzigo wako!) :canada: