Usaliti: Nusura niue mtu hii weekend

Usaliti: Nusura niue mtu hii weekend

Nimeipenda hiyo ya "wavulana walioishi miaka mingi"

Pole sana mpendwa.
 
JAMANI NDUGU ZANGU, KUNA WATU WANAJARIBU KUNIPA USHAURI.NAOMBA IELEWEKE KUWA LENGO LA HUU UZI SIYO KUOMBA USHAURI BALI NI KUTOA TAHADHARI NA KUSEMA SAMAHANI KWA NILIO WAKWAZA JANA JIONI NA LEO ASUBUHI....HUO MKASA NIMEELEZEA KITU KINACHONISIBU NA KUPELEKEA MAISHA YANGU KUWA NA DHORUBA....KWA SASA NIMESHAPOA, NIMETULIA NA NIMESHAFANYA MAAMUZI. SIJAWAHI KUTENGUA MSIMAMO WANGU, SITAKI KUANZA LEO, NA KAMWE SINTATENGUA!
 
Miaka yote hiyo halafu kachepuka duu, ila we strong woman aisee hongera kwa hilo mana wangekua wale Asha ngedere pangechimbika hapo.
 
JAMANI NDUGU ZANGU, KUNA WATU WANAJARIBU KUNIPA USHAURI.NAOMBA IELEWEKE KUWA LENGO LA HUU UZI SIYO KUOMBA USHAURI BALI NI KUTOA TAHADHARI NA KUSEMA SAMAHANI KWA NILIO WAKWAZA JANA JIONI NA LEO ASUBUHI....HUO MKASA NIMEELEZEA KITU KINACHONISIBU NA KUPELEKEA MAISHA YANGU KUWA NA DHORUBA....KWA SASA NIMESHAPOA, NIMETULIA NA NIMESHAFANYA MAAMUZI. SIJAWAHI KUTENGUA MSIMAMO WANGU, SITAKI KUANZA LEO, NA KAMWE SINTATENGUA!

Never say never!

Miaka yote hiyo halafu kachepuka duu, ila we strong woman aisee hongera kwa hilo mana wangekua wale Asha ngedere pangechimbika hapo.

Watu wanashangaa mchepukaji akiwa kwenye uhusiano kimapenzi bila ndoa wa muda mfupi; tegemea uchepukaji kwenye uhusiano kimapenzi bila ndoa wa muda mrefu ina maanisha kuna kitu kinachozuia uhalalishaji wa uhusiano huo kwa ndoa.
 
Kwanini hadi ufikirie kuua uharibu maisha yako bila sababu za msingi, kwani huyo ni nani? Mbona mmeachana na unaishi? Sio wanaume pekee, mapenzi ya nyakati hiki ni kizungumkuti. Huwezi kujizuia kupenda lakini jijengee kinga na ujasiri wa kutokuumizwa na mapenzi, yaani yachukulie ni kitu tu ambacho kinaweza kupita na maisha yakaendelea.
 
Kwanini hadi ufikirie kuua uharibu maisha yako bila sababu za msingi, kwani huyo ni nani? Mbona mmeachana na unaishi? Sio wanaume pekee, mapenzi ya nyakati hiki ni kizungumkuti. Huwezi kujizuia kupenda lakini jijengee kinga na ujasiri wa kutokuumizwa na mapenzi, yaani yachukulie ni kitu tu ambacho kinaweza kupita na maisha yakaendelea.
Asante mkuu, nimekuelewa.
 
Siyo leo, kesho wala uzeeni, kaka siijati mwanaume tena! kwenye maisha yangu.

wanadam cjui tumeumbwaje!?? we ulifkr umewekeza kwa malaika mpaka useme hutopenda mwanaume tena!!? Haya maneno ndo huwa yananitia kichefuchefu. et sitokuja kupenda tena! kisa tu janaume au jike moja flani hivi ndo linifanye nichukie watu wote, kha!! kwani yy nani hasa sema haikuwa halali yako na ujipongeze kwa kuwa mungu amekuonyesha kabla hujaingia kwenye ndoa. Ondoa mawazo ya kuwachukia watu kisa tu poyoyo mmja aliekuteda. Hayo ni mapito tu. ndo maana wazungu wakasema never say never
 
Siyo leo, kesho wala uzeeni, kaka siijati mwanaume tena! kwenye maisha yangu.

wanadam cjui tumeumbwaje!?? we ulifkr umewekeza kwa malaika mpaka useme hutopenda mwanaume tena!!? Haya maneno ndo huwa yananitia kichefuchefu. et sitokuja kupenda tena! kisa tu janaume au jike moja flani hivi ndo linifanye nichukie watu wote, kha!! kwani yy nani hasa sema haikuwa halali yako na ujipongeze kwa kuwa mungu amekuonyesha kabla hujaingia kwenye ndoa. Ondoa mawazo ya kuwachukia watu kisa tu poyoyo mmja aliekuteda. Hayo ni mapito tu. ndo maana wazungu wakasema never say never
 
ohoo pole sana come to me now nikusaidie kuutua mzigo mzito ulioubeba
 
Back
Top Bottom