X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,721
- 14,851
pole sana mama angu hapo ndio naamini kuwa umekuwa sasa maumivu ya mapenzi yanauma sana ila muda mwingine inakuwa ni lazima uumie ili muda mwingine usiumie tena.
Siku zote kua na mahusiano na mtu kwa zaidi ya miaka miwili jua kuna kitu nyuma ya pazia,Sina huo muda wa kupambana mkuu...kumwamini mtu kumbe ni ujinga.
Sawa Mkuu kwenye mahusiano ndo nishatoka huko, hakuna ninachodai wala kudaiwa...BTW nishapona nipo cool kabisa.Unapojikwa na jiwe linaweza kusababisha kidonda na maumivu makali lakini utakachokihitaji sio kurudi nyumbani na kuvumilia maumivu bali kumuona daktari na kukupatia dawa na kukipooza kidonda. Mwenzio anakula bata wewe umeamua kuwa mpweke wakati yeye ana mwenza mwengine, Hivi hujihisi kama atakuona kama loser flani hivi. Ataona kwenye ulimwengu huu yeye tu ndie aliekutaka lakini hakuna mwanaume mwengine anaekutaka ndio maana upo mpweke. Usiweke doge la moyo kwa kukukwaza bali shukuru kwa kupata muangaza baada ya miaka 5 bila ya kukuweka kama mke wa ndoa.
Mkuu wacha kabisa, kichapo hakimtoshi...bajeti yake ilikuwa kifo kabisa ila kama ana Mungu au Shetani anayemwamini ndiye aliyemponya.Huyo bata mweusi natamani nimjue nikampe kichapo kwa kukuumiza moyo wako.
Mkuu wacha kabisa, kichapo hakimtoshi...bajeti yake ilikuwa kifo kabisa ila kama ana Mungu au Shetani anayemwamini ndiye aliyemponya.
Best huyo wa miaka mitano kama hakuwa wangu basi hata wa karne moja hawezi kuwa wangu.Nina starehe nyingi tu za kufurahia na nitagundua nyingine nyingi tu ila siyo Ndoa.am too young to meet you, any way usiusemee moyo waweza kutana na akina STUNTER au THT ukasahau kama ulishawahi kutendwa. kubali kosa forgive and forget wako halisi anakusubiri somewhere akija tuu na kutangaza ndoa unachotakiwa omba Mungu.dunia hii usipofanya starehe ya ndoa utafanya ipi tena ? au miaka mitano imekukinai?
Mapenzi na shamba ni vitu viwili tofauti kabisa Bro...wacha abaki naye,,,,kuonekana mjinga mara moja kwenye maisha siyo mbaya.Hivi ukikuta mwizi shambani kwako unamwachia shamba,anyway cha msingi jali afya yako dada asije kuletea HIV,homa ya INI na mengine
Nashukuru mkuu ila nimeshapumzika na kutulia, kilicho bakia ni kujikita na majukumu tu.Njoo upumzike zanzibar
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mkuu mpe mda basi hata asahau kidogo
Usije kujiingiza kwenye mambo ya usagaji best angu,!!!!!! .kila la kheri katika maamuzi yako.Best huyo wa miaka mitano kama hakuwa wangu basi hata wa karne moja hawezi kuwa wangu.Nina starehe nyingi tu za kufurahia na nitagundua nyingine nyingi tu ila siyo Ndoa.
Nadhani pengine kuna baadhi yetu ndoa siyo haki yetu....kwani wangapi wanaachika kikatili.Niliachwa na mwanamke kinyama na hadi Leo sina HURUMA na mwanamke,
Kwani dildo hazisugui? tena unachukua ya size unayotaka na hizi za umeme unaweke temperature unayohitaji....hapo nitaitumia peke yangu kama nitahitaji lakini siyo huko kushea dushe kama duka la ushirika.He dyudyu....acha utani hiyo haiepukiki...ni kama maji utayanywa au kuyakoga.
Karibu dyudyu...no strings attached
Mkuu mijitu mingine inachukulia mili na mioyo ya watu just for granted...kama ataniletea pua nitamkunyua pumzi yote.Pole sana kama ndio ww kwenye hiyo prof pic jamaa amechezea bahati sana...
Hasira hasara by Msechu you tube huu mziki usikilize kwa makini sana unaweza kukusaidiaSiyo leo, kesho wala uzeeni, kaka siijati mwanaume tena! kwenye maisha yangu.
Mmmmmmh! Amakweli umekwazika mpaka umefika huko.Best huyo wa miaka mitano kama hakuwa wangu basi hata wa karne moja hawezi kuwa wangu.Nina starehe nyingi tu za kufurahia na nitagundua nyingine nyingi tu ila siyo Ndoa.
Sina tabia kama hizo ndugu...wala sijawahi kufanya kitu kama hicho.Usije kujiingiza kwenye mambo ya usagaji best angu,!!!!!! .kila la kheri katika maamuzi yako.