Usaliti: Nusura niue mtu hii weekend

Usaliti: Nusura niue mtu hii weekend

Kwanza pole sana mana najua hali hiyo huwa inawakumba wengi katika mahusiano,ila ushauri wangu kwako kuwa robo tatu ya sisi wanaume mpango wa kando lazima uwepo hivyo hata huyo utakae mpata uziwekeze roho yako yote na kumweka katika diary yako mana ndo tabia yenu.Ila unaruhusiwa kumpa second chance mana binadamu hatujakamilika
 
Dah! Mjumbe wa amani! ya nini tena kujihusisha na kutaka kujiingiza kwenye murder case Mkuu? Yakikushinda si unasepa tu badala ya kuharibu maisha yako yote hapa duniani na kubaki na majuto mjukuu? Pole sana kwa yaliyokusibu. Huyo Bata mweusi achana naye kabisa.
Mr BAK atakusindikiza na cool song ya kukutuliza mummy.
 
yaani toaka 2011 mtu anakugegeda si mtoto angeshaanza shule?
kweli uzinzi haulipi ebu cheki faida yake
ungetulia zako miaka yote hyo ungekuwa mbali
mlikuwa mnapanga nini miaka yote hyo? yaani mimi sikai na mwanaume hata mwezi kama hasomeki bora nionekane sina maana kuliko kuwa daraja la mtu
Watoto kama nyie mnajifanya vifaru humu kumbe mchelemchelee
 
naelewa hilo usaliti ni mbaya sana, lakini siku zote kumbuka kujizuia ili usifanye kitu ambacho kinaweza pia kuharibu maisha yako yote hapa duniani na wanaokufahamu kubaki kukusikitikia na wewe kubaki na majuto. Ni rahisi sana unapokuwa na hasira katika hali kama hiyo uliyoiona ukasika hata rungu na kumtandika mmoja kichwa pwaaa! inuka inuka na wewe damu sakafu yote ndiyo umeshaua mtu maisha yako hapa duniani kwishney maana ni kifungo cha maisha hicho. Pole sana.

Mkuu nadhani Mungu kapita kati kati ndio maana hayajatokea,..usaliti mbaya sana Kakangu.
 
Kwanza pole sana mana najua hali hiyo huwa inawakumba wengi katika mahusiano,ila ushauri wangu kwako kuwa robo tatu ya sisi wanaume mpango wa kando lazima uwepo hivyo hata huyo utakae mpata uziwekeze roho yako yote na kumweka katika diary yako mana ndo tabia yenu.Ila unaruhusiwa kumpa second chance mana binadamu hatujakamilika
hyuo jamaa namtaka kweli????
toka 2011? angekuwa mkweli tungeshaona ukweli wake ...mimi sidhani anavunga tu ila hana jipya
 
Back
Top Bottom