Denis denny
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 5,780
- 7,854
Kwanza pole sana mana najua hali hiyo huwa inawakumba wengi katika mahusiano,ila ushauri wangu kwako kuwa robo tatu ya sisi wanaume mpango wa kando lazima uwepo hivyo hata huyo utakae mpata uziwekeze roho yako yote na kumweka katika diary yako mana ndo tabia yenu.Ila unaruhusiwa kumpa second chance mana binadamu hatujakamilika