Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,645
Aaaaaa best acha hizo pole kwanza maumivu yakiisha tutaongea tu.Siyo leo, kesho wala uzeeni, kaka siijati mwanaume tena! kwenye maisha yangu.
Aaaaaa best acha hizo pole kwanza maumivu yakiisha tutaongea tu.Siyo leo, kesho wala uzeeni, kaka siijati mwanaume tena! kwenye maisha yangu.
Aaaaaa best acha hizo pole kwanza maumivu yakiisha tutaongea tu.Siyo leo, kesho wala uzeeni, kaka siijati mwanaume tena! kwenye maisha yangu.
Maumivu yalishaisha Mkuu...hapa ni utekelezaji wa maamuzi ndio kitu kilichobakia.Aaaaaa best acha hizo pole kwanza maumivu yakiisha tutaongea tu.
Aaaaaa best acha hizo pole kwanza maumivu yakiisha tutaongea tu.Siyo leo, kesho wala uzeeni, kaka siijati mwanaume tena! kwenye maisha yangu.
Aaaaaa best acha hizo pole kwanza maumivu yakiisha tutaongea tu.Siyo leo, kesho wala uzeeni, kaka siijati mwanaume tena! kwenye maisha yangu.
Unapenda sana. Hilo ni tatizo.Mkuu haya mawazo yako tunakuwa nayo siku zote ila wakati hatujatingwa, lakini ukiwepo kwenye frustration arena conscience inakuwa butu.
Unapojikwa na jiwe linaweza kusababisha kidonda na maumivu makali lakini utakachokihitaji sio kurudi nyumbani na kuvumilia maumivu bali kumuona daktari na kukupatia dawa na kukipooza kidonda. Mwenzio anakula bata wewe umeamua kuwa mpweke wakati yeye ana mwenza mwengine, Hivi hujihisi kama atakuona kama loser flani hivi. Ataona kwenye ulimwengu huu yeye tu ndie aliekutaka lakini hakuna mwanaume mwengine anaekutaka ndio maana upo mpweke. Usiweke doge la moyo kwa kukukwaza bali shukuru kwa kupata muangaza baada ya miaka 5 bila ya kukuweka kama mke wa ndoa.Siyo leo, kesho wala uzeeni, kaka siijati mwanaume tena! kwenye maisha yangu.
Aaaaaa best acha hizo pole kwanza maumivu yakiisha tutaongea tu.Siyo leo, kesho wala uzeeni, kaka siijati mwanaume tena! kwenye maisha yangu.
am too young to meet you, any way usiusemee moyo waweza kutana na akina STUNTER au THT ukasahau kama ulishawahi kutendwa. kubali kosa forgive and forget wako halisi anakusubiri somewhere akija tuu na kutangaza ndoa unachotakiwa omba Mungu.dunia hii usipofanya starehe ya ndoa utafanya ipi tena ? au miaka mitano imekukinai?Mkuu nashukuru kwa yote,...usiwe na wasi wasi hata ukikutana na mimi sintajihusisha na mambo ya mapenzi wala ndoa...maisha yangu ya kimahusiano yashapita na wala siidai hii dunia chochote kwenye hiyo sekta,,,...kuna siasa, uchumi na mambo kibao kwenye maisha nitakayo jihusisha nayo, lakini KAMWE! siyo mapenzi.
He dyudyu....acha utani hiyo haiepukiki...ni kama maji utayanywa au kuyakoga.Siyo leo, kesho wala uzeeni, kaka siijati mwanaume tena! kwenye maisha yangu.