Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,227
Lema huna lolote, wewe ni mnafiki tu, wewe si mtetezi wa wanchi, wewe huna uchungu wa wananchi, unachokipata sasa n kwa kuwa wanchi wameichoka CCM na bahati mbaya hawana uwezo mkubwa wa kupambanua mambo.
Kudhihirisha wewe ni mnafiki, kwa nini usimtaje huyo kiongozi???? Hata TANU walikuwa na ahadi zao na ahadi mojawapo ni NITASEMA KWELI DAIMA, FITINA KWANGU MWIKO, sasa wewe kama washindwa kumtaja kiongozi wa juu wa CHADEMA kuna tofauti gani na kufanya fitina na kuleta unafiki????
Ni aibu kwa kiongozi kama wewe kujitokeza hadharani nyakati kama hizi ambazo chama chako kimetoka kumsimamisha Samsoni Mwigamba kwa tuhuma za kuwasema viongozi wake, kwenye mitandao, je wewe unachomkifanya sasa kina tofauti gani na cha Mwigamba??
You are just pathetic MP!! Na kama ukombozi tunaoutafuta ni kuja kuongozwa na watu opportunists kama wewe, ni aheri tusiupate kabisa!!
So sad, so sad, so sad, kusoma huu utumbo wako Mheshimiwa, tafadhali anua nguo zako chafu ulizoanika kwenye kamba!!!
Punguza hasira...jadiliana.....Kazi mnayo leo>
Cha kushangaza asilimia kubwa ya wale maadui wa CHADEMA ndiyo wanaomsuta Lema.Songa mbele kamanda.Hapa Hakuna kurudi nyuma