Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Status
Not open for further replies.
Mkuu swala kama hili chama wana lifahamu ila wana mlea lea tu tangu siku nyingi sijui ni kwanini.....

Kama chama kinamjua msaliti na kikaacha kumchukulia hatua kitakuwa kimefanya makosa makubwa sana.Chama kichukue hatua sasa kabla huyu mtu hajakivuruga.
 
kamuulize rais wako aliyesema anayo majina ya wauza unga na wala rushwa imebaki miezi 36 atoke madarakani na hakuna aliyewahi kumuliza JAKAYA KIKWETE,kamuulize PINDA aliyesema kuwa hawa wahusika wa EPA wakishikwa uchumi utayumba then ndio uje hapa umshambulie Lema
 
Huyo msaliti ni nani? Vp umeshndwa kuongea hayo kwenye vikao vya chama unakuja hapa hadharani.
Wewe una mentality ya ajabu na ya kimaskini. Yani unategemea kikao kikae kujadili ujinga? Hii ndo maana CCM ipo jinsi ilivyo kwa sababu wao wanategemea sana mwenyekiti wao kumaliza matatizo kwenye vikao vyao. Hata ujangiri ambao unafanywa na viongozi wengi wa CCM, wanasubiri kutajana majina mbele ya mwenyekiti. Matokeo yake ni jinsi unavyoona chama chao kilivyo. Wote wezi. Sasa sijui mwenyekiti atamkaripia nani.

Chadema ni nguvu ya umma, sio mwenyekiti. Hivyo lazima mimi na wewe tuwe na sauti. Hatuwezi kusubiri serikali kuja kuosha vyombo vichafu ndani ya chama. Tutaviosha wenyewe.

Nina wasi wasi na njia inayotumika kuwaondoa wasaliti. Hivi Mh. Lema, tukiwaacha wao wenyewe wakajimaliza? After all wao ni kama tone la maji baharini. Hawana effect yoyote.

Kumbuka hata Mandela wakati wa ukombozi, mzungu alitumia watu weusi kumkatisha tamaa. Wengine kumsaliti kiasi cha kutembea na mke wake wakidhani atakata tamaa. Lakini walishindwa kujua kwamba maovu yalofanywa na wazungu ni mabaya zaidi ya usaliti walokuwa wakipandikiza.

Nchini Marekani, Martin Kingi naye alitumiwa timu ya wasaliti. Walokuja na mtazamo wa kumpinga na kuona anachotafuta, yaani usawa, ni njia ndefu na haitawezekana. Walimchosha mpaka dakika za mwisho alitaka kwenda Africa.

Wasaliti wa Chadema sponsor wao mkuu ni CCM. Wanatumia umaskini wa mtanzania, njaa na tamaa zao hili kupunguza kimbunga kinacjokuja 2015. Hivi si CCM ni chama? Kwa nini Zitto na Shibuda msihamie huko moja kwa moja, mnaogopa nini? Wanaowatuma (CCM) wanasahau kwamba dhambi walofanya kwenye taifa letu ni kubwa sana kuliko vituko tafrani mnayotaka kuleta ndani ya chama. Hapa namaanisha ni bora watanzania waangalie pambano la ngumi kati ya mwenyekiti wa Chadema Arusha na Mbowe, Lema au yeyote ambalo litaisha siku moja kuliko kukaa kwenye umaskini, ujangiri, wizi na mikataba mibovu vinavyoua taifa letu kabisa. Hata nyie mkipewa kuchagua najua mtachagua ngumi. Tatizo lenu ni umaskini. Mmevaa ngozi tu ya kondoo lakini sio kondoo. Mnavaa magwanda lakini ndani mna mawazo yenu binafsi. Chadema ikishinda lolote, mnashangilia ila mission yenu ni kubomoa chama hili mwende vyama vyenu vingine, mjiite wenyeviti (hii ndo shida ya Zitto, yaani kuitwa mwenyekiti).

Pendekezo;
Hawa watu tuwaache wajimalize wenyewe. Siku zote ukitaka kumtafuta kichaa kwenye mkusanyiko wowote, mpe microphone. Hivyo hivyo tuwape microphone hawa watu. Waache wafanye interview na magazeti, TV na waje kwenye mikutano...wapeni microphone.

Akiwa na microphone, Zitto amejiua yeye mwenyewe kuliko anavyotaka kukifanyia chama. Oh, sitagombea tena...ntaenda Somalia kufundisha, mara Sudan kusini...oh, umaskini wa watu wa Tabora umenifanya nigombee tena....hii misimamo, hata mke huwezi kukaa naye. Sijui private life yake lakini kwa undumila kuwili huu, naweza kusema huyu mtu hajaoa. Kama ameoa, anao wengi au ndoa yake ipo kitanzini.

Sasa huyu ndo anataka kupewa uenyekiti kwenye chama? Come on Zitto! Si utakiuza? Kiongozi bora ni mwenye msimamo. Anaongea neno and he mean it. Sio kubadirisha rangi kama kinyonga.

Tuwaache hawa watu wajimalize. Tusije tukawapa sababu ya kujustify usaliti wao. Mpaka sasa hivi, sababu yao ni njaa na tamaa. Tusiwaongezee sababu nyingine.

Mtu kama Zitto anajiona akiwa kiongozi wa chama, anaweza kuwa Rais. Jaribu uone Mr. Zitto. Hapo ndo utaona thamani yako kwa taifa. Sivyo unavyodhania.

Tukiamua kupambana nao jino kwa jino, nashauri hiyo kazi waifanye vijana wadogo. Sio Mbunge au mwenyekiti wala katibu. Waachie hii kazi vijana, tena wadogo tu kwa sababu akiri za hawa watu ni ndogo, hivyo ipambanishe na akiri ndogo. Zoezi hilo lisichukue muda mrefu.

Mwisho, nina wasi wasi huyu Zitto aishaanza kutumiwa na mtarajiwa wa CCM 2015. Hizi safari za Uswiz zisizoleta habari yoyote, ziangalieni kwa makini. Juzi tuliambiwa Mh. Mbowe ana nyumba Dubai. Hivi ni watanzania wangapi wenye nyumba nje ya nchi? Mwenyekiti wa CCM mbona ana nyumba nne Marekani? Hii inawezekana ni part of the game plan ya Zitto. Kuweni makini naye na achana naye. His worth is nothing.
 
Huyu mnafiki kwa kuendeleza unafiki wake na kuwaharibia future vijana aliendelea kugawa ruzuku kama ifuatavyo:

Tarehe 26/3/2012 saa 11:12 asubuhi, MNAFIKI kupitia namba yake ya simu +2557568..53. aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi lake, Juliana +255756.5..73, Habi+255.6217.6.., Mtela +2557.5..89.7, Burton +25571..167.., Eddo +25575..49..3, Grey +255755.2..0., Deo +2556.50..60., Adam +2557..137..1, Exaud Mamuya +2557671606.., Ben Saanane +255768078...(CISS),

Baada ya hapo saa 11:43 asubuhi hiyohiyo MNAFIKI kupitia namba yake ya simu +25575.8.9.3. alimtumia shilingi 200,000/= John Shibuda +2557544655..

Halafu afanye hayo yote kwenye number yake iliyosajiriwa kihalali.............Mungi, tumia akili abana.......limekukaa moyoni umealiamini, leo naweza kusajili n. kwa jina la mama yako na nikatumia kwa lolote na ikaonekana mama yako ni nyumba yangu ndogo.....Plz get life
 
Ninacho pingana na yeye ni kuja kulalama humu, hivi huyo msaliti kamjua leo?
Hivi kwa nini asipeleke ushahidi hili achukuliwe hatua?
Mimi naamini lema ana nafasi kubwa ya kupeleka malalamiko yake kwenye chama si humu.
Mungi lazima tukubali njia anayo hitumia lema si sahihi, hizi ni vurugu.

Mungi kwa pamoja tuseme hapana kwenye hili lema amepotoka.

Mkuu hapa umesema kweli. Nadhani CDM iko kiwango cha juu zaidi ya vingozi kunangana kwenye mitandao...
 
Last edited by a moderator:
Uchaguzi lini? Maana nao unweza kuwa ni usaliti mkubwa
 
Lema kasahau maneno yake hata mwaka haujaisha. Au anakumbuka ila msimamo umeyumba saizi kahama, bandiko lake limejaa woga.

Dhambi kubwa kuliko zote duniani ni dhambi ya woga - Lema. (@ Lema, imekuwaje tena mkuu?)



nimeanza kuamini kuwa ndani ya chadema hakuna uhuru wa kutoa maoni ndo maana wanachama na viongozi wake wanakuja kutolea malalamiko yao jf Lema wewe ndo uliyemwadhibu mwigamba kwa kufanya hivi leo hii na wewe umerudi humu humu kusema yale yale kwa nini haya huyasemi kwenye vikao halali? https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ma-na-kichaka-cha-vikao-halali-vya-chama.html

mh JF is the place where we dare to talk openly sasa mbona unaficha ficha unaonekana huyu mtu unamjua lakini kwa nini kwa hutaki kumtaja siku zote umekuwa ukijipambanua kuwa wewe ni mtu jasiri na huogopi chochote sasa mbona huyu msaliti hutaki kumtaja moja kwa moja au na wewe siku hizi umekuwa mtu wa Taarabu
 
Wewe una mentality ya ajabu na ya kimaskini. Yani unategemea kikao kikae kujadili ujinga? Hii ndo maana CCM ipo jinsi ilivyo kwa sababu wao wanategemea sana mwenyekiti wao kumaliza matatizo kwenye vikao vyao. Hata ujangiri ambao unafanywa na viongozi wengi wa CCM, wanasubiri kutajana majina mbele ya mwenyekiti. Matokeo yake ni jinsi unavyoona chama chao kilivyo. Wote wezi. Sasa sijui mwenyekiti atamkaripia nani.

Chadema ni nguvu ya umma, sio mwenyekiti. Hivyo lazima mimi na wewe tuwe na sauti. Hatuwezi kusubiri serikali kuja kuosha vyombo vichafu ndani ya chama. Tutaviosha wenyewe.

Nina wasi wasi na njia inayotumika kuwaondoa wasaliti. Hivi Mh. Lema, tukiwaacha wao wenyewe wakajimaliza? After all wao ni kama tone la maji baharini. Hawana effect yoyote.

Kumbuka hata Mandela wakati wa ukombozi, mzungu alitumia watu weusi kumkatisha tamaa. Wengine kumsaliti kiasi cha kutembea na mke wake wakidhani atakata tamaa. Lakini walishindwa kujua kwamba maovu yalofanywa na wazungu ni mabaya zaidi ya usaliti walokuwa wakipandikiza.

Nchini Marekani, Martin Kingi naye alitumiwa timu ya wasaliti. Walokuja na mtazamo wa kumpinga na kuona anachotafuta, yaani usawa, ni njia ndefu na haitawezekana. Walimchosha mpaka dakika za mwisho alitaka kwenda Africa.

Wasaliti wa Chadema sponsor wao mkuu ni CCM. Wanatumia umaskini wa mtanzania, njaa na tamaa zao hili kupunguza kimbunga kinacjokuja 2015. Hivi si CCM ni chama? Kwa nini Zitto na Shibuda msihamie huko moja kwa moja, mnaogopa nini? Wanaowatuma (CCM) wanasahau kwamba dhambi walofanya kwenye taifa letu ni kubwa sana kuliko vituko tafrani mnayotaka kuleta ndani ya chama. Hapa namaanisha ni bora watanzania waangalie pambano la ngumi kati ya mwenyekiti wa Chadema Arusha na Mbowe, Lema au yeyote ambalo litaisha siku moja kuliko kukaa kwenye umaskini, ujangiri, wizi na mikataba mibovu vinavyoua taifa letu kabisa. Hata nyie mkipewa kuchagua najua mtachagua ngumi. Tatizo lenu ni umaskini. Mmevaa ngozi tu ya kondoo lakini sio kondoo. Mnavaa magwanda lakini ndani mna mawazo yenu binafsi. Chadema ikishinda lolote, mnashangilia ila mission yenu ni kubomoa chama hili mwende vyama vyenu vingine, mjiite wenyeviti (hii ndo shida ya Zitto, yaani kuitwa mwenyekiti).

Pendekezo;
Hawa watu tuwaache wajimalize wenyewe. Siku zote ukitaka kumtafuta kichaa kwenye mkusanyiko wowote, mpe microphone. Hivyo hivyo tuwape microphone hawa watu. Waache wafanye interview na magazeti, TV na waje kwenye mikutano...wapeni microphone.

Akiwa na microphone, Zitto amejiua yeye mwenyewe kuliko anavyotaka kukifanyia chama. Oh, sitagombea tena...ntaenda Somalia kufundisha, mara Sudan kusini...oh, umaskini wa watu wa Tabora umenifanya nigombee tena....hii misimamo, hata mke huwezi kukaa naye. Sijui private life yake lakini kwa undumila kuwili huu, naweza kusema huyu mtu hajaoa. Kama ameoa, anao wengi au ndoa yake ipo kitanzini.

Sasa huyu ndo anataka kupewa uenyekiti kwenye chama? Come on Zitto! Si utakiuza? Kiongozi bora ni mwenye msimamo. Anaongea neno and he mean it. Sio kubadirisha rangi kama kinyonga.

Tuwaache hawa watu wajimalize. Tusije tukawapa sababu ya kujustify usaliti wao. Mpaka sasa hivi, sababu yao ni njaa na tamaa. Tusiwaongezee sababu nyingine.

Mtu kama Zitto anajiona akiwa kiongozi wa chama, anaweza kuwa Rais. Jaribu uone Mr. Zitto. Hapo ndo utaona thamani yako kwa taifa. Sivyo unavyodhania.

Tukiamua kupambana nao jino kwa jino, nashauri hiyo kazi waifanye vijana wadogo. Sio Mbunge au mwenyekiti wala katibu. Waachie hii kazi vijana, tena wadogo tu kwa sababu akiri za hawa watu ni ndogo, hivyo ipambanishe na akiri ndogo. Zoezi hilo lisichukue muda mrefu.

Mwisho, nina wasi wasi huyu Zitto aishaanza kutumiwa na mtarajiwa wa CCM 2015. Hizi safari za Uswiz zisizoleta habari yoyote, ziangalieni kwa makini. Juzi tuliambiwa Mh. Mbowe ana nyumba Dubai. Hivi ni watanzania wangapi wenye nyumba nje ya nchi? Mwenyekiti wa CCM mbona ana nyumba nne Marekani? Hii inawezekana ni part of the game plan ya Zitto. Kuweni makini naye na achana naye. His worth is nothing.

you see wenye akili wanajua mna chukina zitto, hakuna lingine.............unaishi kwa kuhisi tu

Kuna wasiwasi kuwa mama yako ni hawala yangu mimi...........(just stupid) una hisi unasema...............unatunga

yet wewe ni GT
 
Uchaguzi lini? Maana nao unaweza kuwa ni usaliti mkubwa
 
Huyu mnafiki kwa kuendeleza unafiki wake na kuwaharibia future vijana aliendelea kugawa ruzuku kama ifuatavyo:

Tarehe 26/3/2012 saa 11:12 asubuhi, MNAFIKI kupitia namba yake ya simu +2557568..53. aliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi lake, [/oB]Juliana +255756.5..73, Habi+255.6217.6.., Mtela +2557.5..89.7, Burton +25571..167.., Eddo +25575..49..3, Grey +255755.2..0., Deo +2556.50..60., Adam +2557..137..1, Exaud Mamuya +2557671606.., Ben Saanane +255768078...(CISS),

Baada ya hapo saa 11:43 asubuhi hiyohiyo MNAFIKI kupitia namba yake ya simu +25575.8.9.3. alimtumia shilingi 200,000/= John Shibuda +2557544655..



Game over!!!!!!
 
Mungi mtu uhukumiwa kwa ushahidi usio tia shaka na kama una ushahidi kama huu kwanini usimsaidie kumpa Godbless J Lema aupeleke kwenye vikao vya chama uangaliwe?

Haya mambo anatakiwa kuwaachia watu wengine si kwa hadhi yake.

Niambie tofauti ya mwigamba na lema.

Mungi kwa hili tuseme hapana kwa kwa lema.

Tofauti yao ni kwamba Mwigamba na huyu mnafiki tunayemjadili humu walikuwa na lengo moja tu la kukichafua ama kukiua chama. Lema yeye anachofanya ni kuwaondoa wasaliti wote ndani ya chama ili chama kiwe safi mbele ya jamii.
 
Mkuu Ruttashobolwa, another way of looking at this ni kwamba si ajabu ni kweli Mh Lema anajua kwamba chama kinafahamu, lakini pia ako aware na the fact kwamba chama kinaweza kusita sita kuchukua hatua stahiki kwa muda stahiki, sasa anachofanya hapa (kwa maono yangu) ni advocacy kwa maana ya kulet people know what he think should be taken, na hii ina put pressure kwa party structures to act.....ni kama maandamano flani hivi ya kudai haki, sema ya leo ameyachukua "solo" LOL

Kaizer unafikiri kuwa hii njia ya kulalamika kwa lema ina saidia chochote zaidi yakujaribu kusema kuwa chadema ni chama cha kulea wasaliti tuu? Hivi kweli akisha hamasisha ndio sisi wanachama tutashinikiza nini zaidi ya hao ambao wana nafasi ya kusema kwenye chama?

Lema amekosea kabisa kwenye hili maana hana tofauti na mwigamba.
 
Last edited by a moderator:
duuh!! ila inashangaza sana, hapa jamvini imekuwa ikilalamikiwa jinsi watu walio katika nafasi za kuingia kwenye vikao vya maamuzi wakishindwa kufanya maamuzi wanabaki wanalalamika, tu. Ndio maana tunasikitika kuona rais analalamika, PM analalamika, waziri analalamika.

Sasa the same huyu jamaa anatuletea, mtu ni mjumbe wa kamati kuu, baraza kuu na mkutano mkuu, pia ni waziri mmojawapo katika kambi ya Upinzani bungeni, badala ya yeye kuwa sehemu ya utatuzi, na yeye anakuwa sehemu ya migogoro, kwa nini asiyapeleke haya masuala vikaoni kwao? JF, ndio kikao cha CDM?

Very disappointing kwakweli, ila good thing huyo mnayemu attack jueni ana sikilizwa zaidi na society kuliko wewe crook!!

Tuseme hoja ya Posho za ubunge ndio imemfanya Lema leo kumtambua msaliti chamani? Hivi hatuwezi kuona any association baina ya bandiko la Lema na ghiliba zake zilizofeli za posho, so anajaribu kubadilisha upepo?
 
Tofauti yao ni kwamba Mwigamba na huyu mnafiki tunayemjadili humu walikuwa na lengo moja tu la kukichafua ama kukiua chama. Lema yeye anachofanya ni kuwaondoa wasaliti wote ndani ya chama ili chama kiwe safi mbele ya jamii.


Hivi unafikiri lema kulalama humu kuna saidia kumuondoa mnafiki kwenye chama zaidi ya kuendeleza malumbano yasiyo na tija? hivi kwanini lema aoneshe kuwa chadema kina lea wasaliti? kwanini asipeleke ushahidi wake kwenye vikao vya chama.
 
duuh!! ila inashangaza sana, hapa jamvini imekuwa ikilalamikiwa jinsi watu walio katika nafasi za kuingia kwenye vikao vya maamuzi wakishindwa kufanya maamuzi wanabaki wanalalamika, tu. Ndio maana tunasikitika kuona rais analalamika, PM analalamika, waziri analalamika.

Sasa the same huyu jamaa anatuletea, mtu ni mjumbe wa kamati kuu, baraza kuu na mkutano mkuu, pia ni waziri mmojawapo katika kambi ya Upinzani bungeni, badala ya yeye kuwa sehemu ya utatuzi, na yeye anakuwa sehemu ya migogoro, kwa nini asiyapeleke haya masuala vikaoni kwao? JF, ndio kikao cha CDM?

Very disappointing kwakweli, ila good thing huyo mnayemu attack jueni ana sikilizwa zaidi na society kuliko wewe crook!!

Tuseme hoja ya Posho za ubunge ndio imemfanya Lema leo kumtambua msaliti chamani? Hivi hatuwezi kuona any association baina ya bandiko la Lema na ghiliba zake zilizofeli za posho, so anajaribu kubadilisha upepo?


images


I have said the same.
 
Hapa hakuna salaam, ukombozi wa taifa kwanza salaam baadae!!

Viongozi wa CDM watu wamehamaki juu ya uwezo wenu, kuanzia wanachama hadi wasio wanachama; chanzo ni jinsi mnavyoshugulikia ishu ya msaliti maskini mkulima!

Mnampa promo isiyo ya lazima; Viongozi wakubwa mfano Godbless J Lema anapigana ngumi, mara kamuanzishia thread hapa JF huku akionekana kulalamika! Kweli viongozi wa CDM hususan type ya akina lema mnajitambua kweli?

Mmesahau kuwa CDM ndio chama pekee kinachoungwa mkono na wasomi wengi hapa tz kwa kufanya mambo yake kisayansi? Sasa mkiona CCM ikilalamika hadharini mtathubutu kuongea kitu!

Mmesahau jinsi mlivyowatimua madiwani wa CDM arusha lakini bado wanaCDM waliendelea kushikamana? Acheni longolongo fanyeni maamuzi sio mlalamika, wanaCDM wanaelewa ilivyo kazi rahisi kumshughulikia msaliti! Acheni kulalamika!

Huu uzi haimuhusu mbowe, slaa, zitto, mnyika na wengine ambao hawajalalamika!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
INAKATISHA TAMAA MNAPOSHINDWA KUSOLVE MATATIZO NA MISIMAMO YA CHAMA NDANI YA CHAMA,CHADEMA KWA MAMBO YANAVVOKWENDA MNGEPASWA KUWA NA MSEMAJI MKUU WA CHAMA AMBAYE HABARI ZOTE IWE KATIKA MITANDAO,RADIO,MAGAZETINI YEYE PEKEE NDIYE ATARUHUSIWA KUWASILISHA BAADA YA KAMATI NDOGO NDANI YA CDM KURIDHIA HABARI HIYO KUTOLEWA,NA SIO YA KILA MTU KUHARISHA OVYO OVYO KWA KILA ANALOFIKIRI,KWA MTAZAMA WANGU HATUA HII YA KiLA MTU KUONGEA ATAKALO ITAUWA JITIHADA ZOTE ZILIZOFIKIWA
 
Huyo msaliti ni nani? Vp umeshndwa kuongea hayo kwenye vikao vya chama unakuja hapa hadharani.

Kila kitu kiko wazi, sie hatufichi ujinga wa kutuumiza kichini chini, ndio maana kwenu CCM mnaitana vichwa vya samaki baada ya kushindwa kuwaondo wanaosaliti chama na kutaka muungano ufe kwa kutumia UAMUSHO.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom