Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Status
Not open for further replies.
Kamanda ,atakayeshindwa kukielewa ulichokiandika hata ukimuuliza yeye ni nani atashindwa kujieleza...Maelezo yanajitosheleza na asiye elewa ameamua hivyo kwa makusudi na haitaji kueleweshwa zaidi ni kupoteza muda kazi hiyo ni muhimu na ifanyike haraka sana iwezekanavyo ..Usimpe mbwa chakula cha watoto Kamanda..
 
Huna adabu kabisa Mzee Mtei sio wa kumsema kiwepesi hivyo

Hajitambui usimlaumu akikua ataacha Jamii Forum ni kisiwa cha Mawazo na Ushauri mtu anapoweka hoja hapa tena kwa uwazi bila kujificha ficha ana kusudi la kupata maoni na michango ya wanajamvi wote so hii isiwe shida hapa ni jukwaa la SIASA na hoja iliyoletwa na mleta uzi ni mahali pake kabisa ila masuala ya kutukana na kashfa si vizuri.
 
wanafiki walikuwepo toka nyakati za kale hata biblia imeandika na wanafiki hawatakaa waishe katika mjumuiko wa watu kwa wakati uliopo ni viongozi kukaa pamoja na kufanya reformation upya huku wakikosoana/ wakielezana makosa ya mmoja baada ya mmoja kwa ushahidi mbali mbali ambao upo THIS IS NOT A TIME FOR OUR LEADERS TO MURMUR AND BLAME EACH OTHER,IT'S A TIME TO REBOND AGAIN.NA ATAKAPOTOKEA -------- KWA SABABU ANAFEDHA NYINGI ZA BURE ANATAKA KUKURUBUNI,POKEA KAMA FEDHA NIZA BURE NA TAFUNA KWA SABABU NI ZA BURE LAKINI "USIKISALITI" CHAMA CHAKO, ING'ANG'ANIE ITIKADI YAKO
 
acha kujitoa ufahamu! Wenye akili timamu tunajua zitto ndo mlengwa. Halaf ben tafuta level yako zitto haumwuzezi kwani hata dr na mwenyekiti wamemshndwa wanabaki kulilia pembeni!

What are you trying to insinuate?Ridiculous...!
 
Godbless J Lema wewe ndio unaweza ukawa msaliti namba moja, usaliti una sura nyingi sana, huyu unayemtaja hapa kuwa amesaliti chama ni afadhali, wewe umewasaliti wana Arusha wote, kwa kutoa ahadi usizoweza kutimiza, biblia inasema kuliko uweke nadhiri ya uongo, bora usiiweke maana adhabu yake ni kubwa!
 
acha kujitoa ufahamu! Wenye akili timamu tunajua zitto ndo mlengwa. Halaf ben tafuta level yako zitto haumwuzezi kwani hata dr na mwenyekiti wamemshndwa wanabaki kulilia pembeni!

Kua na hekima hata kidogo ndugu,sidhani kama tunataniana hapa,hata kama ni uhuru wa kutoa maoni uwe na kiwango sio uliopitiliza kama huu wa kwako.
 
Leta uthibitisho hapa kama unataka kuchukuliwa serious.Unadhani kila mtu ni mnafiki kama wewe na wenzako?

kweli ww mlamba viatu wa slaa maana alikutoa kwenye uchaguzi kisa umefanya kampeni mapema na ukakubali matokeo na kuendelea kukipenda chama! je zitto angeweza kuvumilia?

zitto anafanya biashara gani ya kuweza kuwa na pesa kiasi alichonacho? ubunge tu? maana hajawahi kufanya kazi na hizo ndo kinamsumbua maana kwenye ofisi kuna levels of authority and responsibility! kunamtu aliwahi kulinganisha kati ya zitto na mnyika. nikamwambia bora ya mnyika hayupo sharp ila ni mtulivu na anareason ila huyu mwingine ni sharp intelligent but not sattled up stairs na nchi huwezi kumpa mtu wa aina hii!
 
Na watakaoibomoa CDM si wengine bali hawa ambao wamekuwa wakipima upepo tangu mwanzo. Leo nccr, kesho tlp, keshokutwa cdm...
Kila siku unatuhubiria ujasiri, unashindwa nini kumtaja huyo msaliti? Mwigamba alichukuliwa hatua kwa uzushi kwa viongozi wake. Lema is doing the same, CDM chukueni hatua before it's too late.
mabosi wao tofauti hawezi kuchukuliwa hatua mkuu!!!!!
 
[
QUOTE=St.Apolinary;7717497]Wazo lako ni zuri sana ndugu mh.

Lakini kwanini umeamua kuleta hoja hii katika jamiiforums ilihali kuna vikao halali vya chama.[/QUOTE]

Punguza hasira...jadiliana.....Kazi mnayo leo>

Cha kushangaza asilimia kubwa ya wale maadui wa CHADEMA ndiyo wanaomsuta Lema.Songa mbele kamanda.Hapa Hakuna kurudi nyuma

Kaka Leo una kazi kweli
Kuutetea ugali
 
Chadema lazima kijipime, kijiweke Kwenye mzani, fukuzafukuza Na timuatimua sio dawa. Na tena pia kukaa Na msaliti Na mnajua ni joka hapo tena ni dhambi kabisa. Kama CDM haina mashinary ya kubomoa Na kutengeneza hawa binaadam inayoamini ni wasaliti hili litakuwa gego kubwa Lenye Pengo la udhaifu Kwa Chama kinachoamini kina ndoto chanya ya kushika hatamu Za uongozi Wa dola.

HAKUNA Nasema tena HAKUNA Chama Chenye uwezo wa kuwatimua manyoka(informers) Na wasaliti wote Ndani yake. Kufanya hivyo ni Kama kumtimua shetani Duniani, wasaliti wapo na wataendelea kuwepo tupende -tusipende. Cha muhimu ni mashinary Za Chama kuwatendea Kwa akili watu hawa Kwa mustakabali wa Chama Hadi pale watakapoasi wazi wazi wenyewe.
 
Mkuu Lema, pengine utusaidie kutupatia maana halisi ya 'Usaliti', 'Unafiki' na 'utu' kwa namna uelewavyo wewe.

Maneno haya kutoka kwako yananishangaza kidogo, kwa vigezo kuwa kwa yale unayofanya nawewe unaweza fuzu kuitewa Mnafiki na Msaliti asie na utu. Labda kama unatumia hii njia kujikosha baada ya wewe pia kutambua kuwa umeonyesha Usaliti mkubwa kwa Watanzania unaowawakilisha.

Lema inatakiwa uelewe haya;

Unatakiwa kujua kuwa hata kina KUBENEA wameshakuchoka, yeye si mmoja wa hao anaowasema? (Au woga ambao siku zote unashabikia ni sumu leo si sumu tena?), pitia hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/547535-mh-lema-anaivuruga-chadema.html

Watanzania wengi washakushtukia, unakiruvuga chama kwa siasa zako za kishabiki na kitoto wenzetu wanaita 'armature' (an insult ukiichukulia undani wake) pitia hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...gwe-gavana-rahisi-kusababisha-mitafaruku.html

Inawezekana unawashambulia Shibuda na Zitto kwenye bandiko hili, vipi ni kwakuwa wewe Lema unapenda sana Posho hivyo umeamua liwalo na liwe? pitia hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...bungeni-zitto-lema-katika-vita-ya-maneno.html

Au unataka kusema hizi posho zinamaanisha Uzalendo na Utu kwa Taifa? (Are you serious??). Zitto alisha litabiri hili na kueleza wazi (hakutumia unafiki) kuwa Siasa za Posho zitasababisha mjenge chuki na mmwite majina yote mabaya! www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/299635-zitto-sijahongwa-ni-siasa-za-urais-na-hasira-za-posho.html

Au hii ndiyo step ya kwanza ya kufanya Zitto aondoke Chadema? Maana inajulikana wazi kuwa kuna mkakati wa kumkatisha tamaa Zitto aondoke CHADEMA mapema kabla mwaka haujaisha ili mpumue ndani ya chama cha watu wa Kaskazini (viongozi wa juu). Inaturudisha kule kule mnako kukataa siku zote (Udini/Ukabila).

Pole zako Lema, watanzania wa leo si mabwege!

Haya Kubenea wa mabox, tumekusikia
 
Chadema lazima kijipime, kijiweke Kwenye mzani, fukuzafukuza Na timuatimua sio dawa. Na tena pia kukaa Na msaliti Na mnajua ni joka hapo tena ni dhambi kabisa. Kama CDM haina mashinary ya kubomoa Na kutengeneza hawa binaadam inayoamini ni wasaliti hili litakuwa gego kubwa Lenye Pengo la udhaifu Kwa Chama kinachoamini kina ndoto chanya ya kushika hatamu Za uongozi Wa dola.

HAKUNA Nasema tena HAKUNA Chama Chenye uwezo wa kuwatimua manyoka(informers) Na wasaliti wote Ndani yake. Kufanya hivyo ni Kama kumtimua shetani Duniani, wasaliti wapo na wataendelea kuwepo tupende -tusipende. Cha muhimu ni mashinary Za Chama kuwatendea Kwa akili watu hawa Kwa mustakabali wa Chama Hadi pale watakapoasi wazi wazi wenyewe.

Huoni wanavyoasi wenyewe bila hata kuguswa
 
Mi nadhani ndani ya CHADEMA kuna watu wenye busara na diplomats wazuri. Naamini ni muhimu wawashauri baadhi ya viongozi wa CDM ambao wanaamini katika kunangana kwenye mitandao kwamba wanakiweka chama pabaya... Wanatupa wakati mgumu sisi tunaotumia mda mwingi sana kukitetea chama at least humu mtandaoni...

Kwa hali kama hii inanifanya niutafakari upya "ushujaa" niliokuwa nimewapachika baadhi ya watu japo CHADEMA. Na bila shaka mambo haya yakiendelea binafsi nitaanza tena kuhofia kama kweli kila anayeimba "CHADEMA CHADEMA" anamaanisha kile anachokiimba...
 
mkuu mikogo ni wazi katika hili lema amepotoka kabisa tena sana hana tofaiti na mwigamba.

Kwa mtu yeyote mnafiki na mzandiki lazima ataona Lema amepotoka. Hao hawana tofauti na huyu mnafiki tunayemjadili.
 
Last edited by a moderator:
o ulijadili vifungu 10 ambavyo
vimefanyiwa marekebisho kutoka
kwenye katiba ya 2004. Kati ya
vipengele hivyo, kipengele cha ukomo
wa madaraka hakimo na hii ni
kusema kuwa hoja hiyo haikuwa na marekebisho. Vipengele
vilivyofanyiwa marekebisho kwa
mujibu wa muhtasari huo
vimeambatishwa na taarifa hii. Katiba ya Mwaka 2006 ndiyo
inayolalamikiwa kuchakachuliwa kwa
vile kipengele cha ukomo wa
madaraka hakimo na hakuna mkutano
uliojadili hoja hiyo. Kutokana na hali
hiyo, ni wazi kuwa hoja za Samson Mwigamba ni sahihi na viongozi wa
CHADEMA hususan DR WILBROAD
SLAA NA JOHN MNYIKA wametoa
majibu ya uongo kupinga hoja za
kweli. kwa mantiki hiyo, ni wazi kuwa
katiba imechakachuliwa kwa maslahi ya wanaotetea uchakachuaji huo.nenda juu kalalamike
 
Acha siasa za majungu na fitina hauna uwezo wa kumshinda zitto hata akiamua agombee jimbo la Arusha mjini anashinda.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom