FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
Seriously?????!!!!!!
Yes kwa kuwa ni kundi lao na kwa kumtetea wakaweka (CISS) kwenye mabano, eti yeye mtoto wa nyumbani kizabizabina.
Seriously?????!!!!!!
nilitegemea ben saanane angemkemea lema,kwa kuleta mashitaka mitandaoni badala kupeleka kwenye vikao.
Usidanganyike. Alikuwa mmoja wao hadi alipogundua kuwa mbinu zao chafu zisingefanikiwa.yeye ndio aliwaingiza mkenge kwenye mbinu zao za kitoto
Wahenga walisema " lisemwalo lipo" hivi ni kwanini kila inapokuja issue ya usaliti inamhusisha ZZK ? Inamaana yeye ndo hapendwi tu kwenye CDM? Mie nadhani kuna haja ya kuanza kuwa na doubt na huyu mtu maana amesemwa sana kuhusu kukisaliti chama.
Unajua hata katika maisha ya kawaida ukiona kila jirani anakwambia mkeo ana tabia fulani mbaya usiishie kusema wanafiki tu hawa! Hasa ukiona kila mtu anamtuumu.
Hivyo naanza kuwa na mashaka makubwa kuwa ZZK ni nyoka ndani ya CDM
Mkuu Lema, pengine utusaidie kutupatia maana halisi ya 'Usaliti', 'Unafiki' na 'utu' kwa namna uelewavyo wewe.
Maneno haya kutoka kwako yananishangaza kidogo, kwa vigezo kuwa kwa yale unayofanya nawewe unaweza fuzu kuitewa Mnafiki na Msaliti asie na utu. Labda kama unatumia hii njia kujikosha baada ya wewe pia kutambua kuwa umeonyesha Usaliti mkubwa kwa Watanzania unaowawakilisha.
Lema inatakiwa uelewe haya;
Unatakiwa kujua kuwa hata kina KUBENEA wameshakuchoka, yeye si mmoja wa hao anaowasema? (Au woga ambao siku zote unashabikia ni sumu leo si sumu tena?), pitia hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/547535-mh-lema-anaivuruga-chadema.html
Watanzania wengi washakushtukia, unakiruvuga chama kwa siasa zako za kishabiki na kitoto wenzetu wanaita 'armature' (an insult ukiichukulia undani wake) pitia hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...gwe-gavana-rahisi-kusababisha-mitafaruku.html
Inawezekana unawashambulia Shibuda na Zitto kwenye bandiko hili, vipi ni kwakuwa wewe Lema unapenda sana Posho hivyo umeamua liwalo na liwe? pitia hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...bungeni-zitto-lema-katika-vita-ya-maneno.html
Au unataka kusema hizi posho zinamaanisha Uzalendo na Utu kwa Taifa? (Are you serious??). Zitto alisha litabiri hili na kueleza wazi (hakutumia unafiki) kuwa Siasa za Posho zitasababisha mjenge chuki na mmwite majina yote mabaya! www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/299635-zitto-sijahongwa-ni-siasa-za-urais-na-hasira-za-posho.html
Au hii ndiyo step ya kwanza ya kufanya Zitto aondoke Chadema? Maana inajulikana wazi kuwa kuna mkakati wa kumkatisha tamaa Zitto aondoke CHADEMA mapema kabla mwaka haujaisha ili mpumue ndani ya chama cha watu wa Kaskazini (viongozi wa juu). Inaturudisha kule kule mnako kukataa siku zote (Udini/Ukabila).
Pole zako Lema, watanzania wa leo si mabwege!
Mkuu hao ma F4F mnao mwaka huu!!!Jiwe limerushwa gizani,sasa hivi ni vilio tu mara oh mtaje,mara oh vikao vya chama mara kanuni zimevunjwa.Leteni kanuni zilizovunjwa
Karibu sana JF Kamanda.
Hakuna jambo baya katika mapambano kama usaliti.CHADEMA kiliposhambuliwa katika kesi fake za Ugaidi kuna waliosimama na chama kidete katika kushinda vita ile lakini ilikua ni mpango wa Mungu kuwafichua wasaliti.Tukiendeleza harakati hizi za kupambana na CCM basi hata wale wasaliti miongoni mwetu tuwapimie kwa vipimo vile vile tunavyowapimia CCM na watawala dhalimu maana adui aliyejipenyeza ndani ya kambi ya mapambano ni hatari kuliko adui aliyeko nje
Siku hizi kuna silly excuse ya uhuru wa kutoa maoni katika kutimiza matakwa ya usalaiti.Mstari radical kabisa ndio utakaotenganisha wapambanaji na wasaliti kwa Doctrine radical.It's either you are with us or against us.No middle ground.Hata kama Dunia ni three dimension
Vijana tuungane na tusimame kidete.Anayepoteza na kuua ndoto za vijana wengi katika safari ya mapambano ni adui mkubwa wa vijana. Tumaini kubwa ni kuwa katika mapambano yoyote ukiona usaliti unazidi kuibuka ujue ukombozi unakaribia.Mitume na Manabii walisalitiwa katika harakati za ukombozi
"A nation can survive its fools and and even the ambitious but it cannot survive treason from within. An enemy at the gates is less formidable... The traitor moves amongst those within the gate freely, his sly whispers rustling through all the alleys, heard in the very halls of government itself... He rots the soul of a nation, he works secretly and unknown in the night to undermine the pillars of the city, he infects the body politic so that it can no longer resist." (Cicero)
yani una matumaini na ben sa8? Huyu ni mramba viatu vya dr slaa na yupo tayari kumponda zzk hata bila sababu!
Yes kwa kuwa ni kundi lao na kwa kumtetea wakaweka (CISS) kwenye mabano, eti yeye mtoto wa nyumbani kizabizabina.
si wamempiga na kumsimamisha uwenyekiti! Hizo ndo hatua za kwanza. Mchakato unaendelea.well said mkuu......lakini wewe kama kiongozi mmechukuwa hatuwa gani dhidi yake....? hata hatuwa za mwanzo!
Roho zenu zimesuuzikaaa!! Tutavuka tu Insh-Allah.Lema toka Zitto ambane kwenye posho kaamua kuja kupambana nae JF.
Mbona wakati wa Mwigamba hizi kauli hukuzileta au kwasababu sio mchaga.
Wewe ni mchangiaji husiye na aibu kwani hujui nini Cha kuchangia,hapa tunaongelea mstakabali Wa taifa wewe unaleta U CCM WAKO,kama huna la kufanya nenda ksaidie kinana kukusanya .....lager
Mkuu Lema, pengine utusaidie kutupatia maana halisi ya 'Usaliti', 'Unafiki' na 'utu' kwa namna uelewavyo wewe.
Maneno haya kutoka kwako yananishangaza kidogo, kwa vigezo kuwa kwa yale unayofanya nawewe unaweza fuzu kuitewa Mnafiki na Msaliti asie na utu. Labda kama unatumia hii njia kujikosha baada ya wewe pia kutambua kuwa umeonyesha Usaliti mkubwa kwa Watanzania unaowawakilisha.
Lema inatakiwa uelewe haya;
Unatakiwa kujua kuwa hata kina KUBENEA wameshakuchoka, yeye si mmoja wa hao anaowasema? (Au woga ambao siku zote unashabikia ni sumu leo si sumu tena?), pitia hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/547535-mh-lema-anaivuruga-chadema.html
Watanzania wengi washakushtukia, unakiruvuga chama kwa siasa zako za kishabiki na kitoto wenzetu wanaita 'armature' (an insult ukiichukulia undani wake) pitia hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...gwe-gavana-rahisi-kusababisha-mitafaruku.html
Inawezekana unawashambulia Shibuda na Zitto kwenye bandiko hili, vipi ni kwakuwa wewe Lema unapenda sana Posho hivyo umeamua liwalo na liwe? pitia hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...bungeni-zitto-lema-katika-vita-ya-maneno.html
Au unataka kusema hizi posho zinamaanisha Uzalendo na Utu kwa Taifa? (Are you serious??). Zitto alisha litabiri hili na kueleza wazi (hakutumia unafiki) kuwa Siasa za Posho zitasababisha mjenge chuki na mmwite majina yote mabaya! www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/299635-zitto-sijahongwa-ni-siasa-za-urais-na-hasira-za-posho.html
Au hii ndiyo step ya kwanza ya kufanya Zitto aondoke Chadema? Maana inajulikana wazi kuwa kuna mkakati wa kumkatisha tamaa Zitto aondoke CHADEMA mapema kabla mwaka haujaisha ili mpumue ndani ya chama cha watu wa Kaskazini (viongozi wa juu). Inaturudisha kule kule mnako kukataa siku zote (Udini/Ukabila).
Pole zako Lema, watanzania wa leo si mabwege!