OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,575
It ain't over 'til it's over.
Son...check the quote by Mungi, it has differences!!!!!
It ain't over 'til it's over.
Umetajwa kuwa ni mmoja wa wasaliti na umepokea hongo kupitia simu yako. Vichupa usivisahau mambo yako jikoni.
Kwi kwi kwi teh teh teh.
Umetajwa kuwa ni mmoja wa wasaliti na umepokea hongo kupitia simu yako. Vichupa usivisahau mambo yako jikoni.
Kwi kwi kwi teh teh teh.
Mimi ni mwanacdm. Mkimfukuza zitto mtajuta jinsi chama kitakavyosambaratika. Mtafuata zitto kigoma kumpgia magoti arudi chamani.
Yericko na mungi si mmeleta ushahidi wa usaliti wa zitto? Mfukuzeni sasa mnalea usaliti? Nawaona hadi moyoni mnavyoogopa.
Anafikiri wote mna ubongo sawa na watoto wake.duuh!! ila inashangaza sana, hapa jamvini imekuwa ikilalamikiwa jinsi watu walio katika nafasi za kuingia kwenye vikao vya maamuzi wakishindwa kufanya maamuzi wanabaki wanalalamika, tu. Ndio maana tunasikitika kuona rais analalamika, PM analalamika, waziri analalamika.
Sasa the same huyu jamaa anatuletea, mtu ni mjumbe wa kamati kuu, baraza kuu na mkutano mkuu, pia ni waziri mmojawapo katika kambi ya Upinzani bungeni, badala ya yeye kuwa sehemu ya utatuzi, na yeye anakuwa sehemu ya migogoro, kwa nini asiyapeleke haya masuala vikaoni kwao? JF, ndio kikao cha CDM?
Very disappointing kwakweli, ila good thing huyo mnayemu attack jueni ana sikilizwa zaidi na society kuliko wewe crook!!
Tuseme hoja ya Posho za ubunge ndio imemfanya Lema leo kumtambua msaliti chamani? Hivi hatuwezi kuona any association baina ya bandiko la Lema na ghiliba zake zilizofeli za posho, so anajaribu kubadilisha upepo?
Nadhani Lema hakumtaja Zitto. Ila kwa sababu umemtaja, basi ngoja tumuongelee. Wewe ukimtizama unaona shujaa, right? Mimi naona msaliti, ndumila kuwili, mtu asiye na msimamo na ana uchu na madaraka. Pia nadhani ni mjinga. Rejea story zake humu humu JF utafikia conclusion kama yangu. Pengine unaweza kumwona amechanganyikiwa.Lazima ifike muda watu watambue kuwa akili na busara zinahitajika sana ili kufanya nchi yetu isonge mbele. Chadema chini ya hawa akila Lema they dont seem kuelewa upinzani ni nini hasa na unatakiwa uwe vipi??
Lema, pole sana ukidhani umeandika kitu cha maana sana hapo juu kumbe pumba zile zile za akina slaa na mbowe na akina ben saa nane ( the puppet)
Kwanza, taja jina na weka wazi msaliti ni nani? maana inajulikana hauna ushirikiano na urafiki mzuri na zito zuberi kabwe, inajulikana
wewe , salaa, mbowe na wenzenu mmejitahidi kuwafanya wanachadema wengine waonekane mbumbumbu na hamnazo simply kwa sababu wamewaaamini mno, na kuwapenda, kwani CCM imewachosha, lakini mmekaa ki-NGO zaidi, kikanda, kikabila kila kukicha chuki na asilimia 90 ya mazungumzo yenu ni ugomvi wa chama chenu na si kuiondoa ccm inaleta nini?
1. ugomvi wa chama chenu unapoonekana kwa watu wa nje unawavunja moyo hasa wakichukulia historia za cuf na nccr mageuzi
2. ugomvi wa ndani unawarudisha nyuma na kuleta sintomfahamu nyingi kiasi cha kuwa vitani kila mmoja anarudi nyuma maana unaweka viulizo nani wa KUAMINIWA??
3. Unaendeleza ugonjwa wa yaleyale ya mwigamba ya kusemea mtandaoni hivyo basi inaonyesha kuwa
a/. hauna ubavu wa kuwa face hao unaowaita wasaliti ndani ya chama simply kwa sababu UNAOWAITA WASALITI SIO WASALITI ILA WANASIMAMIA HAKI NA UKWELI
b./ umekuja na hoja za wasaliti ukijua JF itaku support kwani JF wengi ni wanachadema, umesahau kuwa ni sehemu ya ukweli na uwazi, WEWE MBUNGE UKILIA HIVI, mwita maranya afanyaje????
c/. mnaowaita wasaliti hamuwezi kuwaondoa kwenye vikao vya chama maana watawashinda kwa hoja za katiba ya chama, kwa mfano HAIWEZEKANI KIJANA KAMA WEWE, SMART, NA AKIL ZAKO unakuwa wa KWANZA KUCHEKEA KUTOFANYA UCHAGUZI NA KATIBA YA CHAMA KUBAKWA kisa uonekane mzuri kwa mbowe na slaa?? mkipewa nchi mtafanyaje??
Hii dalili ya kusemea mitandaoni kwa mtu mkubwa kama wewe ni UDHAIFU na kwa akili zenu mnajua wengine hatuoni vile...na ndio maana mtaishia kutukuzwa na kupigiwa makofi na washabiki na sio umma......utasifiwa na vilaza na waliopofushwa na mahaba yaliyotokana na chuki kwa ccm na sio reality za kuwa nyie ni wakombozi
Lema, SOMA KWA NGUVU HAPA, HATA ZITTO MKIMTOA LEO NDANI YA CHADEMA, ATABAKAI KUWA ZITTO, zitto ni rais anayeishi mioyoni mwa watu, anapendwa, anaogopwa na mafisadi, anasimamia hoja zake, ana uthubutu NDIO YUKO HIVYO, nyakati zile unaendesha ujambazi arusha yeye alikuwa anasoma degree, anaendesha siasa chuo kiku...hajaanza leo....certainly ndani ya chadema watu wa caliber ya zitto hamna na wengine mmewaua au kuwafukuza
Zitto ni bright, tough na focused, hategemei siasa wala CDM yenu ambayo kila wakati mmepaka majina yote mabaya...Lema ,zitto angekuwa fisadi au msaliti hao CCM wangeisha muumbua.........hoja za uswis, hesabu za mashirika ya umma, buzwagi, kutaka kumtoa waziri mkuu, kutaja mishahara ya viongozi, na hoja zingine ndio zinazoifanya sio zito tu CHAMA KIZIMA CHA CDM KIONEKANE KINA WATU makini, lakini kuna uozo wa wewe, sugu na mtei ambao akili zenu mnazijua wenyewe
Yesu alisema, ikiwa ufalme utajifitini hautasimama...kamwe
we have plenty of problems IN THIS COUNTRY which need your attention and your solutions . wewe UNAONGELEA WASALITI NDANI YA CHAMA??? Hao wasaliti umewajua lini?? wanaogopwa nini mpaka leo hii wasitolewe??
Hivi lema unajua chadema kinapendwa na hata wasio wanachadema?? fanyeni kitu kuwaaminisha watanzania mnaweza Zitto anafanya hivyo, Lissu anafanya hivyo, hata Slaa alivyokuwa mbunge alifanya hivyo...nyie wengine mnafanya nini??? HATUONI
Leo Lema ukifa utakumbukwa kwa lipi?? kuchukua jiwe na kumponda nalo mwigamba?? kufungwa jela?? kutukana matusi kuwa ile mimba ya Lowassa?? why u guys dont evaluate urself ila MNAOGOPA KIVULI CHA ZITTO?? where is nassari where is msigwa, wabunge woooooooote wa CDM ambaye ana international status, anayeweza kuongea kitu akaeleweka na kukubalika ni Zitto peke yake ndani ya CDM...................yet is your no. 1 enemy
utasema hooo sijataja hilo jina Lema, YOU ARE INFERIOR na ukiwa INFERIOR UTAJIONA UKO CHINI NA UTATAFUTA SUPPORT YA INFERIOR WENZAKO kumtafuta mchawi ni nini??
Kama aliyoyasema Mwigamba juzi ni usaliti, wenye akili tuna majibu kama post hii umeituma ukiwa na akili timamu, jiuzulu ubunge mkuu.
Lema, kila kitu kina mwisho wake, endeleeni na haya mnayoyafanya nakutakia maisha marefu ila UTAONA MWISHO WAKE, sio mzuri kwa chama.
Zitto kama hamumtaki amueni muondoeni kwenye NGO yenu, ATAISHI HE IS GRADUATE na anaweza kujisimamia. Lema ukiondolewa hapo kwenye siasa za chadema unazobebwa na wenye ufahamu mdogo na nguvu za akina mbowe, huna pa kwenda na hakuna atakayekuelewa.
Chadema, mliamua kwa pamoja hamtaki Posho ( sitting allowance) mmeanda bungeni Zitto katekeleza mliyoyaamua WENGINE, akiwem o wewe na Mbowe mmeshindwa ..Then ZITTO MBAYA???????
Watchin u
Umetajwa kuwa ni mmoja wa wasaliti na umepokea hongo kupitia simu yako. Vichupa usivisahau mambo yako jikoni.
Kwi kwi kwi teh teh teh.
we are not interested in these cheap F4F , internal wranglings za CHADEMA.
Leteni mambo ya kitaifa hapa,
Huyo msaliti ni nani? Vp umeshndwa kuongea hayo kwenye vikao vya chama unakuja hapa hadharani.
Jina la Zitto limekujaje hapa?