Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Status
Not open for further replies.
INAKATISHA TAMAA MNAPOSHINDWA KUSOLVE MATATIZO NA MISIMAMO YA CHAMA NDANI YA CHAMA,CHADEMA KWA MAMBO YANAVVOKWENDA MNGEPASWA KUWA NA MSEMAJI MKUU WA CHAMA AMBAYE HABARI ZOTE IWE KATIKA MITANDAO,RADIO,MAGAZETINI YEYE PEKEE NDIYE ATARUHUSIWA KUWASILISHA BAADA YA KAMATI NDOGO NDANI YA CDM KURIDHIA HABARI HIYO KUTOLEWA,NA SIO YA KILA MTU KUHARISHA OVYO OVYO KWA KILA ANALOFIKIRI,KWA MTAZAMA WANGU HATUA HII YA KiLA MTU KUONGEA ATAKALO ITAUWA JITIHADA ZOTE ZILIZOFIKIWA

Waaapi bana wao mtu akishakuwa kamanda tuuu baaas anaandika na ku post lolote analotaka na wanaamshana kuja kuchangia,basi unabaki kinywa wazi familia ya kambale kila mmoja ana sharubu!!!!!!!

It is either now or never!!!!!
 
Lema toka Zitto ambane kwenye posho kaamua kuja kupambana nae JF.
 
Kamanda Godbless J Lema kwanza nikupongeze sana kwa maneno murua uliyoandika katika thread hii. Pia nikufahamishe kuwa haya unayoyaandika leo wanachama wenzako wa Chadema wamekuwa wakilipigia kelele kwa muda mrefu kwamba huu usaliti unaoendelea kutokea ndani ya chama ni kwasababu Mkuu wa kikosi cha usaliti chama hakijambaini na kumchukulia hatua.

Mimi nataka nikuhakikishie kwamba siku huyo mkuu wa operation usaliti akibainika na chama kikamchukulia hatua kali bila kujali ukubwa wake ama udogo wake basi siku hiyo mtakuwa mmewatendea haki wanachama, haki ambayo wameisubiria kwa muda mrefu sana.

Kamanda Lema wewe ukiwa mjumbe wa kamati kuu, matarajjio yangu ni kwamba hoja hii utaiwasilisha katika kikao rasmi chakamati kuu na kwakuwa unaonekana unao ushahidi wa kumtambua mkuu wa kikosi cha usaliti basi hatua kali zitachukuliwa haraka sana ili kukinusuru chama na huu usaliti unaotaka kushika kasi.

Zitto Kabwe a jitokeze ama akanushe u aombe radhi, kwa upande wa Shibuda hatuna haja naye yeye tunamjua amepita kunywa maji tu na ataondoka.

Ni kweli ndoto za

1.Juliana shonza
2. Mtela mwampamba ( kura za mbozi mashrk hatazipata tena)
3. Habib mchange. (Zile kura za kibaha hatazipata tena)
zimeyeyuka kwa ajiri ya msaliti zitto.

vinavyomtafuna zitto ni Hivi;

1. Zitto tangu lipoteuliwa Kuwa mjumbe wa kamati ya kupitia upya mikataba ya Madini aliyumba sana na kukosa msimamo
2.Zitto toka alipo hongwa gari na mafisadi ile RangeRover alipoteza msimamo.
3. Kuna tuhuma Kuwa anauhusiano wa kimapenzi na mtoto wa Mkulu, kama ni kweli hili nalo Ni tatizo.
zitto jitokeze ujibu Hakuna asiyejua Kuwa mlengwa ni wewe, kila tuhuma za usaliti ni wewe this is too much now!
madiwani Arusha ni wewe, masalia ni wewe, Mwigamba ni wewe! Why??????
 
Hayo ni maneno ya Lema. Historia inaonyesha maneno yake huwa anaongea kujisafisha na kutoa maneno ambayo anahisi ni matamu kwa wajinga wachache ambao wanaweza kuyaamini. Lema ama wewe msipime uwerevu kwa idadi ya watu wakushabikio. Watambuzi wanakwambia ni kheri uwe na followers wachache ambao ni intelligent, kuliko ukawa na followers wengi ambao ni stupid. Ukifanya ujinga mtu anakusifia, ukichemka mtu anakusifia, pale inapokuwa umeweza una sifa za kweli zinastahili huwezi tofautisha.

Matendo na maneno wa wanao msimamia na kuchekelea Lema Upuuzi wake ni kioo cha jinsi Lema alivyo na uongozi wake unasimamia yepi.

Sasa hapo Posho si dhambi sababu ya Uroho wa Pesa? Hizo posho ndogo hajaziona zilivyo ndogo kwa wafanyakazi wa chini wa Serikali? Kwa misingi hiyo maneno yake katika bandiko hilo ni irrelevant kwa namna yeye alivyo kwa rangi zake asili.

Ukitaka kutenda haki kwanini usiiweke na hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-dhambi-dhambi-ni-posho-inapokosa-utu-16.html au na wewe ni kati ya alio wataja....
 
bangi inapochanganyika na ukosefu wa elimu ni jambo baya sana...:bange::bange::bange::bange::bange: ogopa sana hii kitu!!!
 
Godbless J Lema anachofanya hakuna tofauti yake na Mwigamba wote wanafanya ujinga hule hule.

Lema amepotoka.
 
Last edited by a moderator:
Ben badilika. You have pontential, una uwezo mkubwa wa kufikiri na kuchambua mambo, huu mchezo unaocheza hauna future nzuri kwako. Wabane wakubwa wako wawe wanakupa mipango mizima, ili ujitazame nafasi yako ilipo na itakapokua.

You think you know everything, dig deeper.

Jiwe limerushwa gizani,sasa hivi ni vilio tu mara oh mtaje,mara oh vikao vya chama mara kanuni zimevunjwa.Leteni kanuni zilizovunjwa
 
Huwa naamini mijadala ktk vikao vya chama. Post ya Lema inatoa clues kwa maadui wa chama.

Najiuliza kwa nini sasa,muda wote lema alikuwa wapi kupambana na huyo anaemwita msalita? Kwani usaliti kauanza leo? Kama una ushahidi peleka kwenye vikao halali,acha ujinga.Sijui bange.
 
Wewe Lema bwana kijana mdogo usituletee fikra za kikomunisti hapa kwani nyie mna nini cha kuficha ndani ya hicho chama? Kama mnalo la kuficha ni wazi mtakuwa hamfai kuliko hata hao walioko madarakani. Huu si wakati mzuri kufarakana na kutimuana jaribuni kutumia kile kinachoweza kuwa cha manufaa toka kwa mmoja wenu na yale ambayo hayawafai yaacheni kama yalivyo kwa kuwa umoja ni nguvu na hatuwezi kuwa na fikra moja watu wote bila kutofautiana. Hebu tuvumiliane lakini tudhititiane kwa njia nyingine; mbona mwenyekiti wenu ni mtu wa busara nyingi zitumieni hizo acheni papara. Kuna watu wamefanya mambo mengi mazito hadi kuhudhuria vikao na mikutano hadharani ya upande wa pili lakini bado wamevumiliwa mngewatupa nje mngedhurika zaidi kuliko ilivyo sasa. Mimi najua wewe ni mwanamapinduzi lakini bado ni kijana mdogo damu inataka mapambano tuliza boli chalii yangu madhara ya kutimuana hayadhibitiki na ndiyo yanayoitwa kusambaratika maana kila mtu atatoka na wakwake.
 
Kamanda Godbless J Lema kwanza nikupongeze sana kwa maneno murua uliyoandika katika thread hii. Pia nikufahamishe kuwa haya unayoyaandika leo wanachama wenzako wa Chadema wamekuwa wakilipigia kelele kwa muda mrefu kwamba huu usaliti unaoendelea kutokea ndani ya chama ni kwasababu Mkuu wa kikosi cha usaliti chama hakijambaini na kumchukulia hatua.

Mimi nataka nikuhakikishie kwamba siku huyo mkuu wa operation usaliti akibainika na chama kikamchukulia hatua kali bila kujali ukubwa wake ama udogo wake basi siku hiyo mtakuwa mmewatendea haki wanachama, haki ambayo wameisubiria kwa muda mrefu sana.

Kamanda Lema wewe ukiwa mjumbe wa kamati kuu, matarajjio yangu ni kwamba hoja hii utaiwasilisha katika kikao rasmi chakamati kuu na kwakuwa unaonekana unao ushahidi wa kumtambua mkuu wa kikosi cha usaliti basi hatua kali zitachukuliwa haraka sana ili kukinusuru chama na huu usaliti unaotaka kushika kasi.
Hivi wewe huwa unajidanganya ni Chadema acha kufuata mkumbo upambe utakumaliza jaribu basi kugombea nafasi ya uongozi wa juu kama hawajakufukuza.
 
Last edited by a moderator:
Jamani waCDM wenzangu, naomba tukomae kidogo! Ukiangalia international politics unamkuta mtu kama swnetor maccain, most of the time hujirepresent yeye na political stands zake! Wenzie humuita flip flopper, sometimes huu si isaliti ni character rather than personality!

Hebu tuwe macho na mitazamo yetu, pia Lema, hebu kajadilini kwenye vikao husika, bila jazba and you might comeup with something good!

Mimi huwa namdhalau saana mtu aneye expose internal matters, Ni sawa na mke wako akawa kikojozi afu ukaanza kumuandika kwenye notice board ka kusudi ya kumrekeisha! what a crazy ideal!

Lema tafadhali tubadilike, intent ya mtu huijua yeye mwenyewe and we are not God kujua kusudi la mtu, lets try handle all things with uttermost care, a tutumie vikao rather than namna hii ya mitandaoni!

Lema lets growup for the betterment of oup dearest party!
 
Wahenga walisema " lisemwalo lipo" hivi ni kwanini kila inapokuja issue ya usaliti inamhusisha ZZK ? Inamaana yeye ndo hapendwi tu kwenye CDM? Mie nadhani kuna haja ya kuanza kuwa na doubt na huyu mtu maana amesemwa sana kuhusu kukisaliti chama.

Unajua hata katika maisha ya kawaida ukiona kila jirani anakwambia mkeo ana tabia fulani mbaya usiishie kusema wanafiki tu hawa! Hasa ukiona kila mtu anamtuumu.

Hivyo naanza kuwa na mashaka makubwa kuwa ZZK ni nyoka ndani ya CDM
 
Viongozi Chadema kuweni makini na matumizi ya mitandao!
 
you see wenye akili wanajua mna chukina zitto, hakuna lingine.............unaishi kwa kuhisi tu

Kuna wasiwasi kuwa mama yako ni hawala yangu mimi...........(just stupid) una hisi unasema...............unatunga

yet wewe ni GT
Sina chuki yoyote. Naongea kwa mambo ninayojua na kuona. Ebu tusaidie wewe. Uliona kiongozi gani duniani anakusanya watu na kuwambia hatawatetea tena na badala yake, ataenda kujiendeleza, yaani kuwa mwalimu Sudan, Somalia hapo hapo nchini asilimia 70 wanapata zero...ooops division 5 (kwa macho ya CCM). Huyu ndo shujaa kwako?

Ebu tueleze, safari za Uswiz nani anagharamia? Zina matunda gani? Kwa nini mpaka twende Uswiz? Si wizi ulifanyika Tanzania? Tunafukuza hela au tunazuia wizi maana waloiba wapo nchini. Tueleze wewe usiye na chuki.
 
Magazeti ya kesho Chadema vipande viwili. Mgogoro waikumba Chadema, vita kati ya Lema na Zitto.

Nimefurahi sana kuona hii bifu ya Chadema.

teh teh teh
 
Jiwe limerushwa gizani,sasa hivi ni vilio tu mara oh mtaje,mara oh vikao vya chama mara kanuni zimevunjwa.Leteni kanuni zilizovunjwa

Mbona wakati wa Mwigamba hizi kauli hukuzileta au kwasababu sio mchaga.
 
Kwa kudai nyongeza ya posho lema hana tofauti na kinana anayemaliza tembo wetu,hana tofauti na masogange anayeuza poda. Yani zitto kupinga posho ndo unaleta haya! Unaquote misemo ya malcom x kuhusu uwoga wakati umeshndwa kumtaja huyo msaliti1 coward!
 
For god's sake please you stop this...munavuana nguo na kukiaibisha chama tegemeo la ukombozi halisi sisi watanganyika wa hali ya kati na chini...jamani imetosha. Mwenye namba ya mbowe ampigie amwambie vijana wake huku wanakivua.chama.nguoo awakataze maramoja wao na wapambe wao coz hata wakifika 2015 watakuwa hawafai tena kusafishika uchafu wao.
 
this time zito kabwe asipofukuzwa chadema hatoondoka milele na kwa mtazamo wangu binafsi tusibiri DAMAGE kubwa chadema maana naona imekuwa mbaya sana...
kuna vitu viwili na vitizama
CHAUMA kupata nguvu..2014 TREND hii ikiendelea
kupoteza wanachama wengi hasa vijana ...
chukueni hatua mapema
 
Ben Saanane alitumiwa na mnafiki bila kujuwa alikuwa usalama wa chama (CISS)

Eti usalama wa chama, mngekuwa na usalama wa chama mngeingia JF na kulauminiana kila kukicha.

Kwa hiyo unatuhakikishia kuwa ni kweli anabeba sumu.

Isije kuwa hata alipolazwa Agakhan Hosp. Zitto ilikuwa ni baada ya shughuli za Ben Saanane.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom