USA yaendelea kuichimba Tanzania

USA yaendelea kuichimba Tanzania

Hapa ndipo tunapopotelea,nchi hii ilikuwepo kabla ya ccm na TANU na itaendelea kuwepo hata ccm ikisambaratika kesho.Akili zetu ndogo na uoga wa mabadiliko ndo unawafanya mnakufa na tai shingoni
Kiukweli ccm hii iliyopo haifai tena. Haifai tokea kitambo tu sema wanalindwa May dola.

Maamuzi yao kuelekea uchaguzi mkuu ndiyo yatakayo determine amani ya nchi yetu. Wakiamuwa kufa kama nzi kwenye kidonda ni juu yao. Lakini cha muhimu ni Taifa kwanza.
 
Leo katika pitapita zangu (browsing) YouTube nimekutana na hii habari ya Tanzanite TV.

Jionee na jisikilizie mwenyewe...



Baada ya kuisikiliza habari hiyo, nikatafuta chanzo walichokielezea, nikakipata na kuipata habari hii...

Magufuli’s Reign and Tanzania’s Creeping Radicalization Issue - Jamestown

By: Brian M. Perkins
January 28, 2020 03:36 PM

Over the past several years, Tanzania has served as an origin and transit point for radicalized individuals fighting alongside terrorist groups operating in nearby countries, particularly al-Shabaab in Somalia and Ansar al-Sunna in Mozambique. Tanzania has not been as internally affected by jihadist groups as nearby Mozambique, Kenya, and Somalia, but it is likely only a matter of time before the threat increasingly turns inward. Following contentious local elections in late 2019 that saw the ruling party run mostly unopposed and with the 2020 presidential elections likely to continue the status quo, Islamist groups in the country are likely to become more active.

A sizeable number of radicalized Tanzanians have historically left the country to join terrorist groups elsewhere, rather than turning their violence toward the state. Similarly, networks of radicalized groups in Tanzania have also facilitated the training and transfer of non-Tanzanians through the country to fight alongside terrorist groups outside of Tanzania. Most recently, Kenyan police confirmed in December that Kenyans radicalized by an al-Shabaab recruitment cell in western Kenya’s Siaya county were using Tanzania as a gateway to Somalia, likely using well-established networks in Tanzania to circumvent Kenya’s more stringent security controls by traveling from Tanzania’s coast. Tanzanian security forces confirmed they had captured and returned several individuals but others remained on the loose (Garowe, December 11, 2019). The structures that facilitate radicalization and recruitment are clearly present and resentment toward the government’s progressively authoritarian rule is growing. As such, it is easy to conceive that the country could see a rise in violent extremism if the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and President John Magufuli continue their reign, hardening the narrative of mfumo Kristo (Christian dominance).

The threat of radicalization on Tanzania’s predominantly Muslim Zanzibar archipelago has been well-documented, but the rising threat on the country’s more homogenous mainland has flown more under the radar. Understanding the nature of violent extremism in Tanzania’s mainland is challenging as Tanzanian police have chronically downplayed the threat and characterized numerous attacks over the past several years as being linked to criminal groups rather than radicalized armed groups, much like the Mozambican government did during the early days of the conflict in Cabo Delgado. Also similar to Mozambique, reporting in many areas is scant due to media restrictions and reporters’ own self-censorship, particularly following the disappearance of multiple journalists (East African, January 18).

Thus far, the government’s increasingly authoritarian tendencies have not explicitly targeted or galvanized Muslim communities, but they have riled other groups. However, restrictions on political and religious organizations, alleged extrajudicial killings and detentions, and unequal economic policies, particularly relating to land management, have only contributed to a further loss of legitimacy for the state’s National Muslim Council of Tanzania (Baraza Kuu la Waislamu Tanzania—BAKWATA). These factors have helped facilitate the advent of fundamentalist challengers who are particularly adept at recruiting vulnerable Muslim youth by playing into the generational conflict between the younger generation of Wahhabi-leaning Muslims and their Sufi-oriented elders, whom they view as complicit in the government, and by association, BAKWATA’s marginalization of certain Muslim communities. [1] The perception of Sufi elders’ pro-government stance is compounded by young fundamental Islamists’ rejection of Sufi practices, particularly relating to burial rituals.

The threat of violent extremism is most prevalent in the coastal regions of Tanga, Pwani, and Mtwara, all of which have seen a rise in militant attacks and activity over the past five years and are uniquely vulnerable to such activity due to a variety of political, economic, and geographic factors. The current political climate and the likelihood of President Magufuli winning the presidential election will exacerbate the factors that contribute to radicalization as he continues to clamp down on alleged Islamists and closes political space for any meaningful opposition or dissent through actions such as banning political rallies, which will increasingly force individuals toward actions outside of the political system.

Tanga, which shares a border with Kenya and has a large coastline, has served as an epicenter of more radical interpretations of Islam since the 1970s with networks of mosques linked to Ansar Youth Centre cropping up across the region. Tanga has also been a hub for radicalized individuals fleeing crackdowns in Kenya as well as militants seeking to join al-Shabaab in Somalia (East African, January 19, 2019). Between 2015 and 2017, a series of violent incidents linked to a well-armed organization police tracked to the Amboni Caves renewed concerns of radicalized youths from nearby mosques joining shadowy armed groups in the area (The Citizen, May 31, 2016). It is also worth noting the prominence of political opposition in Tanga, which was one of three regions that did not hold polling in the 2019 local elections due to the opposition boycott.

In Pwani Region, the district of Kibiti has particularly experienced a similar rise in radicalization as well as targeted attacks against ruling CCM party members and police officials reportedly connected to youths from mosques erected after Islamists clashed with worshippers at preexisting mosques, with dozens being killed since 2017. Kibiti has also historically exported a significant number of fighters to al-Shabaab and Ansar al-Sunna. Security forces responded to the spate of violence in Kibiti by launching a significant crackdown on alleged Islamists in the broader Pwani region, with locals and members of parliament accusing the government of being responsible for the disappearance of 380 people, among other alleged abuses (East African, May 5, 2018).

Mtwara is particularly vulnerable given the escalation of the conflict in nearby Cabo Delgado, Mozambique and those militants’ connections to Tanzanians. Multiple cross border attacks have already taken place and Tanzanian authorities have arrested upwards of a hundred Tanzanians for attempting to cross the border to fight in Mozambique or for attempting to establish training camps (The Citizen, November 13, 2019; East African, August 11, 2019). Tanzanian authorities have also stated that they believe individuals who fled security operations in Kibiti had relocated to Mtwara and fear that fighters will return from Mozambique. Mtwara has long been a peripheral region far removed from the government and has suffered significantly due to fluctuations in cashew yields. The region has increasingly become an opposition stronghold, particularly following harsh crackdowns in response to protests against a planned oil pipeline (Quartz, May 31, 2018). The neglected region of Mtwara, aside from sharing many linguistic and ethnic features with Cabo Delgado, is also facing a similar issue in that the discovery of natural gas reserves threatens to further the economic disparity between residents and those who will benefit from the boom.

The prevalence of radicalized networks in Tanzania and the connections to other militant groups in the region has created an outlet through which marginalized Muslim youth are likely to channel their resentment toward the government and mfumo Kristo, should Magufuli win. The generational religious conflict between younger Islamists and the Sufi community will continue to be amplified by the government’s restrictions on religious and political groups, police crackdowns, matters of land management, and the coming oil boom. Tanzania could be primed to experience an increase in violence directed inward as opposed to exporting its radicalized individuals elsewhere in the region. Meanwhile, the conflict in Mozambique continues to worsen and there is a likelihood that the violence will increasingly spill into Mtwara.

Notes
[1] Author’s interview with Dar es Salaam-based scholar on November 15, 2019.

Source: Magufuli’s Reign and Tanzania’s Creeping Radicalization Issue - Jamestown
Kilichopo kwenye video no tofauti na kilichopo kwenye maandishi. Tanzanite ni li online Tv la Majura, lina chuki na watu ndio maana hadi picha za Zitto zimetumika kwenye hiyo makala. Ni upumbavu kusikiliza video hiyo, lakini pia ni upumbavu uliotopea kuendelea kusambaza hilo li video lenye maneno mengi ya uzushi.

Kuhusu makala mengi yaliyosemwa ni ukweli mtupu.

1. Kwamba extremist wanaweza kuongezeka kwa serikali ya magufuri kubana harakati za kisiasa, hiyo ni kweli maana unapozuia mtu kutoa nyongo yake what do you expect? Atakuchukia tu. Magufuri kama angeendelea na agenda zake lkn akaruhusu uhuru wa watu kusema, uhuru wa siasa, uhuru wa vyombo vya habari, kungemjenga yeye maana changamoto zinazoibuliwa yeye angekuwa anajibu kwa kuzifix na kutatua matatizo.

2. Kuhusu watanzania kuwa recruited kwenye ugaidi, ni mambo ambayo yametokea. Na hivi karibuni tumetuhumiwa kupitisha fedha nyingi ambazo zinakuja kujenga misikiti maeno ya maporini. Yaani waislam hakuna lkn msikiti tena mzuri upo. Mapori ya morogoro hivi vitu siyo vigeni. Kwa suala hili, si busara kuwalaumu hao Jamestown, bali ni kuwashukuru kwa kutupa info za kufanyia kazi. Hata hivyo kote walikotaja kuanzia tanga, pwani na mtwara vyombo vyetu vya ulinzi vimefanya kazi kubwa sana. Ila threat bado zipo hasa huko mtwara na tumeona wakiendelea kuvamia na kuua watu wasio na hatia.

3. Kwa sasa Immigration wameweka utaratibu mgumu kwa mtu kurejesha passport yake. Unadhani kwa nini? Kuna watu wanapata passport hafu wanauzia watu kwenda kujiunga na ugaidi. Ndiyo maana mfumo umeweka utaratibu mgumu wa kupata passport.

4. Makala nimeipenda maana inatoa mwanya kwa sisi kama nchi kujitathimini na kurekebisha namna tunavyoendesha mambo yetu.

Serikali isibane uhuru wa watu, iachie uhuru huo. Tukutane kwenye sanduku la kura. Magufuri anajiharibia taswira yake kwa udikteta wake lkn pia amefanya mengi mazuri tu. Asibane uhuru.

John Locke wa uingereza katika uandishi wa social contract ideas, anasema wazi kama serikali haifikii matarajio ya walioiweka yaani wananchi, basi hao watu wataifungasha virago kwa namna yoyote ile itakayoonekana inafaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona mwandishi kaandika vizuri tu na kunukuu vianzio kadhaa kama tulivyoona hapo.

Nani hajui kuwa makundi mbali mbali ya kigaidi ya kiislam (Islamic Terrorist Groups) yanahaha maeneo mbali mbali duniani kutafuta vijana wa kwenda kupigania "The Global Jihad"?

Tatizo lililopo ni kuwa kuna baadhi ya watu wenye atikadi kali za kidini hupenda kutafuta visingizio kwa kusingizia kuwa wale jihadists huwa recruited na Marekani ili kuichafua dini yao lkn at the same time wanapoulizwa kwa nini sasa vijana hao wa kiislamu wakubali kurubuniwa na "Makafir" ili wapigane vita visivyo vyao, waga hawana jibu.

Waislam hawana hoja za kutumia kuitetea dini yao dhidi ya vitendo vingi vya kigaidi tuvyoona wakitenda kwa kisingizio cha kumpigania huyo wanayemuita "Allah" na kwa visingizio hivi vya kijinga wanavyoleta hakuna mwenye akili timamu watakayemuhadaa. None at all.
 
Kiukweli ccm hii iliyopo haifai tena. Haifai tokea kitambo tu sema wanalindwa May dola.

Maamuzi yao kuelekea uchaguzi mkuu ndiyo yatakayo determine amani ya nchi yetu. Wakiamuwa kufa kama nzi kwenye kidonda ni juu yao. Lakini cha muhimu ni Taifa kwanza.
ccm hawajari juu ya taifa letu,wao wanajari vyeo vya na matumbo yao,kwanza wanatuona wote wajinga na pili wanaamini wafanyakazi wa vyombo vyetu vya dola ni robots so wakiziamlisha zinafanya bila kufikiri.
 
Je, tumuamini nani? Ukitazama kwa haraka utaona hakuna mwenye nia njema na watanzania. Si Marekani wala serikali ya Tanzania. Bora hata marekani hufanya anayofanya duniani kwa maslahi yake na watu wake. Lakini serikali ya CCM inafanya mambo mabaya si kwa maslahi ya watanzania walio wengi. Hili linaleta shida.

Hapa msaliti mkuu ni serikali ya Tanzania ndiyo inayosaliti wananchi wake. Kama viongozi wetu wenyewe sio wazalendo, wananyanyasa na kuua wananchi unategemea nini hapo?

Jiulize ulishawahi Kuona serikali ya marekani inanyanyasa na kuua wananchi wake? Nini kinatokea Tanzania? Polisi akiuawa wananchi wanasheherekea. Unadhani ni kwa nini? Adui wa Tz ni mtanzania mwenyewe.

Tafakari...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je, tumuamini nani? Ukitazama kwa haraka utaona hakuna mwenye nia njema na watanzania. Si Marekani wala serikali ya Tanzania. Bora hata marekani hufanya anayofanya duniani kwa maslahi yake na watu wake. Lakini serikali ya CCM inafanya mambo mabaya si kwa maslahi ya watanzania walio wengi. Hili linaleta shida.

Hapa msaliti mkuu ni serikali ya Tanzania ndiyo inayosaliti wananchi wake. Kama viongozi wetu wenyewe sio wazalendo, wananyanyasa na kuua wananchi unategemea nini hapo?

Jiulize ulishawahi Kuona serikali ya marekani inanyanyasa na kuua wananchi wake? Nini kinatokea Tanzania? Polisi akiuawa wananchi wanasheherekea. Unadhani ni kwa nini? Adui wa Tz ni mtanzania mwenyewe.

Tafakari...

Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli na ccm ndo maadui wa nchi hii ingawa wamejivisha ngozi ya kondoo
 
Nashangaa watu wanavyojifanya hawaoni yanayoendelea, ni kama wamerogwa hivi. Marekani ndo anateka na kuua watu hapa nchini? Akwilina aliuawa na marekani? Marekani ndo anafanya maisha ya watanzania kuwa magumu kiasi hiki?

Leo hii bado watu wanamtetea magu na serikali na maovu yake yote na kuitupia lawama Marekani?

Ujinga gani huu



Magufuli na ccm ndo maadui wa nchi hii ingawa wamejivisha ngozi ya kondoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu nimekuelewa na jioni njema maana kwa hoja hizi nimekuewa na I dont think I should waste my time.All the best na uzalendo wa kununua ndege
You are not wasting time, hili ni jukwaa la kuelimishana kwa nia ya kujenga nchi sio kuibomoa.
 
Kilichopo kwenye video no tofauti na kilichopo kwenye maandishi. Tanzanite ni li online Tv la Majura, lina chuki na watu ndio maana hadi picha za Zitto zimetumika kwenye hiyo makala. Ni upumbavu kusikiliza video hiyo, lakini pia ni upumbavu uliotopea kuendelea kusambaza hilo li video lenye maneno mengi ya uzushi.

Kuhusu makala mengi yaliyosemwa ni ukweli mtupu.

1. Kwamba extremist wanaweza kuongezeka kwa serikali ya magufuri kubana harakati za kisiasa, hiyo ni kweli maana unapozuia mtu kutoa nyongo yake what do you expect? Atakuchukia tu. Magufuri kama angeendelea na agenda zake lkn akaruhusu uhuru wa watu kusema, uhuru wa siasa, uhuru wa vyombo vya habari, kungemjenga yeye maana changamoto zinazoibuliwa yeye angekuwa anajibu kwa kuzifix na kutatua matatizo.

2. Kuhusu watanzania kuwa recruited kwenye ugaidi, ni mambo ambayo yametokea. Na hivi karibuni tumetuhumiwa kupitisha fedha nyingi ambazo zinakuja kujenga misikiti maeno ya maporini. Yaani waislam hakuna lkn msikiti tena mzuri upo. Mapori ya morogoro hivi vitu siyo vigeni. Kwa suala hili, si busara kuwalaumu hao Jamestown, bali ni kuwashukuru kwa kutupa info za kufanyia kazi. Hata hivyo kote walikotaja kuanzia tanga, pwani na mtwara vyombo vyetu vya ulinzi vimefanya kazi kubwa sana. Ila threat bado zipo hasa huko mtwara na tumeona wakiendelea kuvamia na kuua watu wasio na hatia.

3. Kwa sasa Immigration wameweka utaratibu mgumu kwa mtu kurejesha passport yake. Unadhani kwa nini? Kuna watu wanapata passport hafu wanauzia watu kwenda kujiunga na ugaidi. Ndiyo maana mfumo umeweka utaratibu mgumu wa kupata passport.

4. Makala nimeipenda maana inatoa mwanya kwa sisi kama nchi kujitathimini na kurekebisha namna tunavyoendesha mambo yetu.

Serikali isibane uhuru wa watu, iachie uhuru huo. Tukutane kwenye sanduku la kura. Magufuri anajiharibia taswira yake kwa udikteta wake lkn pia amefanya mengi mazuri tu. Asibane uhuru.

John Locke wa uingereza katika uandishi wa social contract ideas, anasema wazi kama serikali haifikii matarajio ya walioiweka yaani wananchi, basi hao watu wataifungasha virago kwa namna yoyote ile itakayoonekana inafaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo kumbe ni kweli madai ya siku zote ya waislamu kwamba Tz kuna mfumo kristo kama makala ilivyoeleza na si kwamba waislamu hupenda kulalamika tu?
 
Mbona mwandishi kaandika vizuri tu na kunukuu vianzio kadhaa kama tulivyoona hapo.

Nani hajui kuwa makundi mbali mbali ya kigaidi ya kiislam (Islamic Terrorist Groups) yanahaha maeneo mbali mbali duniani kutafuta vijana wa kwenda kupigania "The Global Jihad"?

Tatizo lililopo ni kuwa kuna baadhi ya watu wenye atikadi kali za kidini hupenda kutafuta visingizio kwa kusingizia kuwa wale jihadists huwa recruited na Marekani ili kuichafua dini yao lkn at the same time wanapoulizwa kwa nini sasa vijana hao wa kiislamu wakubali kurubuniwa na "Makafir" ili wapigane vita visivyo vyao, waga hawana jibu.

Waislam hawana hoja za kutumia kuitetea dini yao dhidi ya vitendo vingi vya kigaidi tuvyoona wakitenda kwa kisingizio cha kumpigania huyo wanayemuita "Allah" na kwa visingizio hivi vya kijinga wanavyoleta hakuna mwenye akili timamu watakayemuhadaa. None at all.
Kwahiyo ni kweli Tz mfumo kristo upo?
 
Kwahiyo ni kweli Tz mfumo kristo upo?
Hiyo sio concept ya mwandishi, yeye anachokisema ni kuwa kuna watu (Waislamu) wenye hizo fikra.

Tatizo hamsomi with concentration, mnasoma with prejudiced mind ndio maana kuelewa kwenu kunakuwa shida.
 
Mkuu matendo yao yanaongea.

Miaka minne ya JPM tuna ndege tisa mbona miaka iliyopita hatukununua?.

Tuna mashirika yanatoa gawio kubwa hazina mbona huko nyuma hatukuona gawio?.

Kuna meli zinajengwa katika maziwa yote mbona huko nyuma hatukuona mambo haya?.

Tumseme vibaya JPM lakini mioyoni mwetu tuwe wakweli katika kupima akifanyacho.
Huu ndio ujinga wa kuzaliwa africa yaan najuta ata kuwa mtu mweusi nilikuwa namchukja sn michael jackon lkn sasa nimeanza kumuelewa
Mwafrika unaweza kumzaba makofi na kumnyanyasa lkn mkaja kupatana eti kisa kakualika kwenye sherehe
 
Leo katika pitapita zangu (browsing) YouTube nimekutana na hii habari ya Tanzanite TV.

Jionee na jisikilizie mwenyewe...



Baada ya kuisikiliza habari hiyo, nikatafuta chanzo walichokielezea, nikakipata na kuipata habari hii...

Magufuli’s Reign and Tanzania’s Creeping Radicalization Issue - Jamestown

By: Brian M. Perkins
January 28, 2020 03:36 PM

Over the past several years, Tanzania has served as an origin and transit point for radicalized individuals fighting alongside terrorist groups operating in nearby countries, particularly al-Shabaab in Somalia and Ansar al-Sunna in Mozambique. Tanzania has not been as internally affected by jihadist groups as nearby Mozambique, Kenya, and Somalia, but it is likely only a matter of time before the threat increasingly turns inward. Following contentious local elections in late 2019 that saw the ruling party run mostly unopposed and with the 2020 presidential elections likely to continue the status quo, Islamist groups in the country are likely to become more active.

A sizeable number of radicalized Tanzanians have historically left the country to join terrorist groups elsewhere, rather than turning their violence toward the state. Similarly, networks of radicalized groups in Tanzania have also facilitated the training and transfer of non-Tanzanians through the country to fight alongside terrorist groups outside of Tanzania. Most recently, Kenyan police confirmed in December that Kenyans radicalized by an al-Shabaab recruitment cell in western Kenya’s Siaya county were using Tanzania as a gateway to Somalia, likely using well-established networks in Tanzania to circumvent Kenya’s more stringent security controls by traveling from Tanzania’s coast. Tanzanian security forces confirmed they had captured and returned several individuals but others remained on the loose (Garowe, December 11, 2019). The structures that facilitate radicalization and recruitment are clearly present and resentment toward the government’s progressively authoritarian rule is growing. As such, it is easy to conceive that the country could see a rise in violent extremism if the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and President John Magufuli continue their reign, hardening the narrative of mfumo Kristo (Christian dominance).

The threat of radicalization on Tanzania’s predominantly Muslim Zanzibar archipelago has been well-documented, but the rising threat on the country’s more homogenous mainland has flown more under the radar. Understanding the nature of violent extremism in Tanzania’s mainland is challenging as Tanzanian police have chronically downplayed the threat and characterized numerous attacks over the past several years as being linked to criminal groups rather than radicalized armed groups, much like the Mozambican government did during the early days of the conflict in Cabo Delgado. Also similar to Mozambique, reporting in many areas is scant due to media restrictions and reporters’ own self-censorship, particularly following the disappearance of multiple journalists (East African, January 18).

Thus far, the government’s increasingly authoritarian tendencies have not explicitly targeted or galvanized Muslim communities, but they have riled other groups. However, restrictions on political and religious organizations, alleged extrajudicial killings and detentions, and unequal economic policies, particularly relating to land management, have only contributed to a further loss of legitimacy for the state’s National Muslim Council of Tanzania (Baraza Kuu la Waislamu Tanzania—BAKWATA). These factors have helped facilitate the advent of fundamentalist challengers who are particularly adept at recruiting vulnerable Muslim youth by playing into the generational conflict between the younger generation of Wahhabi-leaning Muslims and their Sufi-oriented elders, whom they view as complicit in the government, and by association, BAKWATA’s marginalization of certain Muslim communities. [1] The perception of Sufi elders’ pro-government stance is compounded by young fundamental Islamists’ rejection of Sufi practices, particularly relating to burial rituals.

The threat of violent extremism is most prevalent in the coastal regions of Tanga, Pwani, and Mtwara, all of which have seen a rise in militant attacks and activity over the past five years and are uniquely vulnerable to such activity due to a variety of political, economic, and geographic factors. The current political climate and the likelihood of President Magufuli winning the presidential election will exacerbate the factors that contribute to radicalization as he continues to clamp down on alleged Islamists and closes political space for any meaningful opposition or dissent through actions such as banning political rallies, which will increasingly force individuals toward actions outside of the political system.

Tanga, which shares a border with Kenya and has a large coastline, has served as an epicenter of more radical interpretations of Islam since the 1970s with networks of mosques linked to Ansar Youth Centre cropping up across the region. Tanga has also been a hub for radicalized individuals fleeing crackdowns in Kenya as well as militants seeking to join al-Shabaab in Somalia (East African, January 19, 2019). Between 2015 and 2017, a series of violent incidents linked to a well-armed organization police tracked to the Amboni Caves renewed concerns of radicalized youths from nearby mosques joining shadowy armed groups in the area (The Citizen, May 31, 2016). It is also worth noting the prominence of political opposition in Tanga, which was one of three regions that did not hold polling in the 2019 local elections due to the opposition boycott.

In Pwani Region, the district of Kibiti has particularly experienced a similar rise in radicalization as well as targeted attacks against ruling CCM party members and police officials reportedly connected to youths from mosques erected after Islamists clashed with worshippers at preexisting mosques, with dozens being killed since 2017. Kibiti has also historically exported a significant number of fighters to al-Shabaab and Ansar al-Sunna. Security forces responded to the spate of violence in Kibiti by launching a significant crackdown on alleged Islamists in the broader Pwani region, with locals and members of parliament accusing the government of being responsible for the disappearance of 380 people, among other alleged abuses (East African, May 5, 2018).

Mtwara is particularly vulnerable given the escalation of the conflict in nearby Cabo Delgado, Mozambique and those militants’ connections to Tanzanians. Multiple cross border attacks have already taken place and Tanzanian authorities have arrested upwards of a hundred Tanzanians for attempting to cross the border to fight in Mozambique or for attempting to establish training camps (The Citizen, November 13, 2019; East African, August 11, 2019). Tanzanian authorities have also stated that they believe individuals who fled security operations in Kibiti had relocated to Mtwara and fear that fighters will return from Mozambique. Mtwara has long been a peripheral region far removed from the government and has suffered significantly due to fluctuations in cashew yields. The region has increasingly become an opposition stronghold, particularly following harsh crackdowns in response to protests against a planned oil pipeline (Quartz, May 31, 2018). The neglected region of Mtwara, aside from sharing many linguistic and ethnic features with Cabo Delgado, is also facing a similar issue in that the discovery of natural gas reserves threatens to further the economic disparity between residents and those who will benefit from the boom.

The prevalence of radicalized networks in Tanzania and the connections to other militant groups in the region has created an outlet through which marginalized Muslim youth are likely to channel their resentment toward the government and mfumo Kristo, should Magufuli win. The generational religious conflict between younger Islamists and the Sufi community will continue to be amplified by the government’s restrictions on religious and political groups, police crackdowns, matters of land management, and the coming oil boom. Tanzania could be primed to experience an increase in violence directed inward as opposed to exporting its radicalized individuals elsewhere in the region. Meanwhile, the conflict in Mozambique continues to worsen and there is a likelihood that the violence will increasingly spill into Mtwara.

Notes
[1] Author’s interview with Dar es Salaam-based scholar on November 15, 2019.

Source: Magufuli’s Reign and Tanzania’s Creeping Radicalization Issue - Jamestown


Tatizo lugha...title kiswahili but content in english...wengi wetu tulikimbia umande....
 
Duh...!., Mkuu mpenzi Faiza (NB. Mtu kuwa mpenzi ni ukimpenda tuu, yatosha kumuita mpenzi na sii lazima na yeye akupende au muwe wapenzi), kwanza asante kutuletea hii taarifa, pili kwa ruhusa yako nitaomba kutumia hoja za bandiko lako hili kupandisha bandiko la kutoa angalizo kwa serikali yetu kuhusu haya. Na tatu hiyo conclusion ya Tanzanite TV kuhusu mabeberu hawa Wamarekani wanataka nini Tanzania, hata akina sisi hayo tuliishayasema sana humu


Ila baada ya wewe kusikiliza hiyo taarifa ya Tanzanite TV, umefanya jambo la maana sana kuitafuta source yao na kutuwekea maana hivi vyuma vya Magufuli vilivyokaza kwa baadhi yetu, hata bundle ni issue, hivyo angalau umetusaidia wengi kujua, maana siku hizi hapa Bongo baada ya kushamiri kwa magazeti ya makorokocho, sasa kumeibuka TV nyingi za mitandaoni ambazo ni TV za makorokocho, mimi niliihesabu hata Tanzanite TV pia ni TV ya makorokocho kutokana na yule kichaa mmiliki wake, ila kitendo cha kuleta mada serious kama hii na kuichambua kwa makini vile kwa kuonyesha mchele na pumba, sasa naichukulia hiyo TV ni serious I can watch.

Kwangu the most intresting thing kuhusu hii article the primary source wa article hii, mtu aliyehojiwa akaeleza hayo yote. Japo wenyewe hawajamtaja kwa jina, zaidi ya kumuelezea tuu kuwa ni
" Author’s interview with Dar es Salaam-based scholar" kwa sisi wenye jicho la tatu, kupitia kitu kinachoitwa "graphology" ni sayansi ya maandishi, ukisoma andiko fulani ambalo mwandishi ni anonymous, kupitia andishi hilo, unaweza kumjua mwandishi ni nani, hivyo kupitia makala hii, huyo Dar es Salaam based scholar aliyehojiwa hivyo hoja kama Mfumo Kristu, na kuidogosha Bakwata, then wanye ufahamu wa hoja tayari tumeisha wajua watu wa aina hii baada ya kumchezea sana Jakaya, wakataka kuendelea kumchezea Yohana, walipomgundua kuwa Yohana ni noma, anaweza kuwa fykelea mbali, sasa ndio hawa wenye hoja hizi za urongo wa kidini kwa kufanya mahojiano na vyombo vya mabeberu na kutoa habari za kuitisha, kuifedhehesha na kuibagaza serikali yetu kwa media za kibeberu.

Kwenye bandiko lako mimi nime note oja 33 za mabeberu Wamarekani hawa ambazo ni hoja za msingi sana, japo sio za kuzingatiwa sana kivile lakini sio za kuzipuuzia.
  1. Jee ni kweli "Over the past several years, Tanzania has served as an origin and transit point for radicalized individuals fighting alongside terrorist groups operating in nearby countries, particularly al-Shabaab in Somalia and Ansar al-Sunna in Mozambique?".
  2. Je ni kweli kuwa Tanzania tuna vikundi vya kigaidi, Jihadist groups, vinazotumika Mozambique, Kenya, and Somalia, bila kufanya ugaidi nchini, lakini baada ya ushindi wa kishindo wa rais Magufuli kwenye uchaguzi wa 2020 presidential elections, Islamist groups in the country are likely to become more active na kufanya kweli!. Why?!.
  3. Jee ni kweli Tanzania tuna Watanzania ma ma radicas ambao ambao wameondoka nchini na kujiungana vikundi vya kigaidi, "A sizeable number of radicalized Tanzanians have historically left the country to join terrorist groups elsewhere, rather than turning their violence toward the state"
  4. Jee ni kweli Tanzania tuna mitandao wa kigaidi, " networks of radicalized groups in Tanzania have also facilitated the training and transfer of non-Tanzanians through the country to fight alongside terrorist groups outside of Tanzania"?.
  5. Jee ni kweli magaidi wa Kenya "Kenyans radicalized by an al-Shabaab recruitment cell in western Kenya’s Siaya county were using Tanzania as a gateway to Somalia, likely using well-established networks in Tanzania to circumvent Kenya’s more stringent security controls by traveling from Tanzania’s coast"?.
  6. Jee ni kweli TISS wetu walifanikiwa kuwakamata baadhi na kuwarejesha ila wengine wakawatoroka "Tanzanian security forces confirmed they had captured and returned several individuals but others remained on the loose"?.
  7. Jee ni kweli "The structures that facilitate radicalization and recruitment are clearly present"?, ziko wapi?.
  8. Jee ni kweli chanzo cha radicalism ni kuupinga "udikiteta? "resentment toward the government’s progressively authoritarian rule is growing?. Ni kweli Tanzania tuna udikiteta?.
  9. Jee ni kweli Tanzania tuna Mfumo Kristu? na kuwa rais Magufuli anatumia Mfumo Kristu, hivyo nchi itaingia kwenye machafuko! "As such, it is easy to conceive that the country could see a rise in violent extremism if the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and President John Magufuli continue their reign, hardening the narrative of mfumo Kristo (Christian dominance)?.
  10. Jee ni kweli ugaidi Tanzania unaanzia Zanzibar? "The threat of radicalization on Tanzania’s predominantly Muslim Zanzibar archipelago has been well-documented, but the rising threat on the country’s more homogenous mainland has flown more under the radar".
  11. Jee ni kweli "Understanding the nature of violent extremism in Tanzania’s mainland is challenging"?.
  12. Jee ni kweli jeshi letu la polisi linavipuuza matukio ya kigaidi na kuyahesabu ni uhalifu tuu wa kawaida?. "Tanzanian police have chronically downplayed the threat and characterized numerous attacks over the past several years as being linked to criminal groups rather than radicalized armed groups"?.
  13. Jee Tanzania tuna "galvanized Muslims communities", "Thus far, the government’s increasingly authoritarian tendencies have not explicitly targeted or galvanized Muslim communities, but they have riled other groups".
  14. Japo ni kweli Tanzania tuna "restrictions on political" jee ni kweli kuna anye restrictions on "religious organizations"?.
  15. Jee Tanzania kweli tuna "alleged extrajudicial killings and detentions"?, kuna watu wowote wameshikwa wakauliwa bila kufikishwa mahakamani?., au kuna mahabusu wowote wako kizuizini bila kufikishwa mahakamani?.
  16. Jee ni kweli Tanzania, tuna "unequal economic policies, particularly relating to land management"?.
  17. Jee ni kweli Bakwata imepoteza legitimacy "have only contributed to a further loss of legitimacy for the state’s National Muslim Council of Tanzania (Baraza Kuu la Waislamu Tanzania—BAKWATA)"?.
  18. Jee Tanzania tuna makundi mawili kinzani ya Waislamu?, yaani kuna Wahhabbi ns wa Sufi? "These factors have helped facilitate the advent of fundamentalist challengers who are particularly adept at recruiting vulnerable Muslim youth by playing into the generational conflict between the younger generation of Wahhabi-leaning Muslims and their Sufi-oriented elders, whom they view as complicit in the government, and by association".
  19. Jee ni kweli "BAKWATA’s marginalization of certain Muslim communities"?.
  20. Jee ni kweli Tanzania tuna Muslim extremist mikoa ya Tanga, Pwani na Mtwara?, "The threat of violent extremism is most prevalent in the coastal regions of Tanga, Pwani, and Mtwara, all of which have seen a rise in militant attacks and activity over the past five years and are uniquely vulnerable to such activity due to a variety of political, economic, and geographic factors".
  21. Jee ni kweli "The current political climate and the likelihood of President Magufuli winning the presidential election will exacerbate the factors that contribute to radicalization as he continues to clamp down on alleged Islamists and closes political space for any meaningful opposition or dissent through actions such as banning political rallies, which will increasingly force individuals toward actions outside of the political system?.
  22. Jee ni kweli hili kuhusu Tanga? "Tanga, which shares a border with Kenya and has a large coastline, has served as an epicenter of more radical interpretations of Islam since the 1970s with networks of mosques linked to Ansar Youth Centre cropping up across the region. Tanga has also been a hub for radicalized individuals fleeing crackdowns in Kenya as well as militants seeking to join al-Shabaab in Somalia".
  23. Jee huu ni ukweli kuhusu lile tukio la mapango ya Handeni?. "Between 2015 and 2017, a series of violent incidents linked to a well-armed organization police tracked to the Amboni Caves renewed concerns of radicalized youths from nearby mosques joining shadowy armed groups in the area"
  24. Jee ni kweli Tanga kuna prominence of political opposition?, "It is also worth noting the prominence of political opposition in Tanga, which was one of three regions that did not hold polling in the 2019 local elections due to the opposition boycott".
  25. Jee ni kweli mauaji ya Kibiti ni ya kigaidi? "In Pwani Region, the district of Kibiti has particularly experienced a similar rise in radicalization as well as targeted attacks against ruling CCM party members and police officials reportedly connected to youths from mosques erected after Islamists clashed with worshippers at preexisting mosques, with dozens being killed since 2017".
  26. Jee ni kweli Kibiti ndio chungu cha kuwapika Al Shabaab na kuwa export? " Kibiti has also historically exported a significant number of fighters to al-Shabaab and Ansar al-Sunna".
  27. Jee ni kweli kuna wakazi 380 wa Kibiti wamepotea na ni vyombo vyetu vya usalama ndio vimewapoteza?, "Security forces responded to the spate of violence in Kibiti by launching a significant crackdown on alleged Islamists in the broader Pwani region, with locals and members of parliament accusing the government of being responsible for the disappearance of 380 people, among other alleged abuses". NB. Mwandishi wa Habari wa Citizen Mwananchi, Azory Gwanda alipotea katika kuufuatilia ukweli wa tuhuma hii na hakuna mwandishi au chombo kingine cha habari kimefuatilia!.
  28. Jee ni kweli kuna mamia ya Watanzania wameshikili na polisi huko kwa kuanzisha kambi ya ugaidi?. "Mtwara is particularly vulnerable given those militants’ connections to Tanzanians. Multiple cross border attacks have already taken place and Tanzanian authorities have arrested upwards of a hundred Tanzanians for attempting to cross the border to fight in Mozambique or for attempting to establish training camps"
  29. Jee ni kweli magaidi wa Kibiti wamekimbilia Mtwara?, "Tanzanian authorities have also stated that they believe individuals who fled security operations in Kibiti had relocated to Mtwara".
  30. Jee ni kweli mkoa wa Mtwara umetengwa na unabaguliwa?, "Mtwara has long been a peripheral region far removed from the government and has suffered significantly due to fluctuations in cashew yields. The region has increasingly become an opposition stronghold, particularly following harsh crackdowns in response to protests against a planned oil pipeline".
  31. Jee ni kweli Mtwara ni neglected?, "The neglected region of Mtwara, is also facing a similar issue in that the discovery of natural gas reserves threatens to further the economic disparity between residents and those who will benefit from the boom".
  32. Kuna hoja kuwa Magufuli akishashinda awamu ya pili, Mtwara watalianzisha!. Huu ni uchochezi "The prevalence of radicalized networks in Tanzania and the connections to other militant groups in the region has created an outlet through which marginalized Muslim youth are likely to channel their resentment toward the government and mfumo Kristo, should Magufuli win
  33. The generational religious conflict between younger Islamists and the Sufi community will continue to be amplified by the government’s restrictions on religious and political groups, police crackdowns, matters of land management, and the coming oil boom. Tanzania could be primed to experience an increase in violence directed inward as opposed to exporting its radicalized individuals elsewhere in the region.
    Hoja hizi 33, au maswali hayo 33 ni maswali ya msingi sana, japo kuna hoja za urongo humu sio za kuzizingatia, lakini kuna hoja za ukweli, sio za kuzipuuzi.
    P
Binafsi nilikuwa namuona Musiba chizi nikajua naona pekeyangu
 
Leo katika pitapita zangu (browsing) YouTube nimekutana na hii habari ya Tanzanite TV.

Jionee na jisikilizie mwenyewe...



Baada ya kuisikiliza habari hiyo, nikatafuta chanzo walichokielezea, nikakipata na kuipata habari hii...

Magufuli’s Reign and Tanzania’s Creeping Radicalization Issue - Jamestown

By: Brian M. Perkins
January 28, 2020 03:36 PM

Over the past several years, Tanzania has served as an origin and transit point for radicalized individuals fighting alongside terrorist groups operating in nearby countries, particularly al-Shabaab in Somalia and Ansar al-Sunna in Mozambique. Tanzania has not been as internally affected by jihadist groups as nearby Mozambique, Kenya, and Somalia, but it is likely only a matter of time before the threat increasingly turns inward. Following contentious local elections in late 2019 that saw the ruling party run mostly unopposed and with the 2020 presidential elections likely to continue the status quo, Islamist groups in the country are likely to become more active.

A sizeable number of radicalized Tanzanians have historically left the country to join terrorist groups elsewhere, rather than turning their violence toward the state. Similarly, networks of radicalized groups in Tanzania have also facilitated the training and transfer of non-Tanzanians through the country to fight alongside terrorist groups outside of Tanzania. Most recently, Kenyan police confirmed in December that Kenyans radicalized by an al-Shabaab recruitment cell in western Kenya’s Siaya county were using Tanzania as a gateway to Somalia, likely using well-established networks in Tanzania to circumvent Kenya’s more stringent security controls by traveling from Tanzania’s coast. Tanzanian security forces confirmed they had captured and returned several individuals but others remained on the loose (Garowe, December 11, 2019). The structures that facilitate radicalization and recruitment are clearly present and resentment toward the government’s progressively authoritarian rule is growing. As such, it is easy to conceive that the country could see a rise in violent extremism if the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and President John Magufuli continue their reign, hardening the narrative of mfumo Kristo (Christian dominance).

The threat of radicalization on Tanzania’s predominantly Muslim Zanzibar archipelago has been well-documented, but the rising threat on the country’s more homogenous mainland has flown more under the radar. Understanding the nature of violent extremism in Tanzania’s mainland is challenging as Tanzanian police have chronically downplayed the threat and characterized numerous attacks over the past several years as being linked to criminal groups rather than radicalized armed groups, much like the Mozambican government did during the early days of the conflict in Cabo Delgado. Also similar to Mozambique, reporting in many areas is scant due to media restrictions and reporters’ own self-censorship, particularly following the disappearance of multiple journalists (East African, January 18).

Thus far, the government’s increasingly authoritarian tendencies have not explicitly targeted or galvanized Muslim communities, but they have riled other groups. However, restrictions on political and religious organizations, alleged extrajudicial killings and detentions, and unequal economic policies, particularly relating to land management, have only contributed to a further loss of legitimacy for the state’s National Muslim Council of Tanzania (Baraza Kuu la Waislamu Tanzania—BAKWATA). These factors have helped facilitate the advent of fundamentalist challengers who are particularly adept at recruiting vulnerable Muslim youth by playing into the generational conflict between the younger generation of Wahhabi-leaning Muslims and their Sufi-oriented elders, whom they view as complicit in the government, and by association, BAKWATA’s marginalization of certain Muslim communities. [1] The perception of Sufi elders’ pro-government stance is compounded by young fundamental Islamists’ rejection of Sufi practices, particularly relating to burial rituals.

The threat of violent extremism is most prevalent in the coastal regions of Tanga, Pwani, and Mtwara, all of which have seen a rise in militant attacks and activity over the past five years and are uniquely vulnerable to such activity due to a variety of political, economic, and geographic factors. The current political climate and the likelihood of President Magufuli winning the presidential election will exacerbate the factors that contribute to radicalization as he continues to clamp down on alleged Islamists and closes political space for any meaningful opposition or dissent through actions such as banning political rallies, which will increasingly force individuals toward actions outside of the political system.

Tanga, which shares a border with Kenya and has a large coastline, has served as an epicenter of more radical interpretations of Islam since the 1970s with networks of mosques linked to Ansar Youth Centre cropping up across the region. Tanga has also been a hub for radicalized individuals fleeing crackdowns in Kenya as well as militants seeking to join al-Shabaab in Somalia (East African, January 19, 2019). Between 2015 and 2017, a series of violent incidents linked to a well-armed organization police tracked to the Amboni Caves renewed concerns of radicalized youths from nearby mosques joining shadowy armed groups in the area (The Citizen, May 31, 2016). It is also worth noting the prominence of political opposition in Tanga, which was one of three regions that did not hold polling in the 2019 local elections due to the opposition boycott.

In Pwani Region, the district of Kibiti has particularly experienced a similar rise in radicalization as well as targeted attacks against ruling CCM party members and police officials reportedly connected to youths from mosques erected after Islamists clashed with worshippers at preexisting mosques, with dozens being killed since 2017. Kibiti has also historically exported a significant number of fighters to al-Shabaab and Ansar al-Sunna. Security forces responded to the spate of violence in Kibiti by launching a significant crackdown on alleged Islamists in the broader Pwani region, with locals and members of parliament accusing the government of being responsible for the disappearance of 380 people, among other alleged abuses (East African, May 5, 2018).

Mtwara is particularly vulnerable given the escalation of the conflict in nearby Cabo Delgado, Mozambique and those militants’ connections to Tanzanians. Multiple cross border attacks have already taken place and Tanzanian authorities have arrested upwards of a hundred Tanzanians for attempting to cross the border to fight in Mozambique or for attempting to establish training camps (The Citizen, November 13, 2019; East African, August 11, 2019). Tanzanian authorities have also stated that they believe individuals who fled security operations in Kibiti had relocated to Mtwara and fear that fighters will return from Mozambique. Mtwara has long been a peripheral region far removed from the government and has suffered significantly due to fluctuations in cashew yields. The region has increasingly become an opposition stronghold, particularly following harsh crackdowns in response to protests against a planned oil pipeline (Quartz, May 31, 2018). The neglected region of Mtwara, aside from sharing many linguistic and ethnic features with Cabo Delgado, is also facing a similar issue in that the discovery of natural gas reserves threatens to further the economic disparity between residents and those who will benefit from the boom.

The prevalence of radicalized networks in Tanzania and the connections to other militant groups in the region has created an outlet through which marginalized Muslim youth are likely to channel their resentment toward the government and mfumo Kristo, should Magufuli win. The generational religious conflict between younger Islamists and the Sufi community will continue to be amplified by the government’s restrictions on religious and political groups, police crackdowns, matters of land management, and the coming oil boom. Tanzania could be primed to experience an increase in violence directed inward as opposed to exporting its radicalized individuals elsewhere in the region. Meanwhile, the conflict in Mozambique continues to worsen and there is a likelihood that the violence will increasingly spill into Mtwara.

Notes
[1] Author’s interview with Dar es Salaam-based scholar on November 15, 2019.

Source: Magufuli’s Reign and Tanzania’s Creeping Radicalization Issue - Jamestown
Naomba msisahau mbinu ya Mmarekani siku zote huwaanaanza Kuwait banishes kwanza... Akafu yeye anakaa pembeni.. How come wanasema Magufuli hapendi waislam??

Waziri mkuu Muislam, Makamo pia... Juzi amezindua hoteli Zanzibar ya nyota 5 ya Muislam hawa wanayo sema haya wanataka tuwe kama Libya Uzuri tushawajua

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom