Us embassy na vioja vya baadhi ya wafanyakazi

, Us embassy wana longolongo sana, unakuta wakurugenzi wana watu wao tayari na wakijua wewe ni tishio hawakupi kazi utawapita kwenye interview hawakupi kazi. Pia unaweza ukawa first candidate lakini wakamchagua mtu wa tano ambaye hata haqualify, wanaangalia maslahi yao. hata wafanya kazi wa ndani wakiomba kazi wakifanya interview wakipasi wahachukuliwi kabisa, wanachukua watu wao.
 
Kama nimekusoma vyema, una maanisha huo nao tayari ulikuwa ni mtihani....Ukweli mkuu nipo kwenye game muda mrefu tu wa kutosha, nimeitwa kwa interview kibao na hata zingine zikiwa ni phone conversation na i did well. Iweje leo tu, wakati huo huo nimeshawahi kuitwa na watu hawa hawa nikafanya nao interview?.
Pia iweje wachelewe watu wengine kama mimi waliokuja on the same interview? Walinzi wamethibitisha hilo.

Kwa mtazamo wangu kama umeshawahi kuitwa "kwa interview kibao" na bado unajisifu kuwa you "did well", nadhani una matatizo. Wanaofanya "well" kwenye "interview" sioni sababu ya wao kufanya "interview kibao", moja tu inatosha na wanakuwa wapo kazini, sasa hizo "kibao" za nini tena. Hukufanya "well" katika "interview kibao" ndio maana zikawa "kibao". Nadhani nimeeleweka.
 
Faizafoxy nafikiri mtazamo wako ni finyu. Kama uko Tanzania na umewahi kuomba kazi serikalini, sekta binafsi ama hata katika mashirika ya kimataifa utakuwa na mtazamo tofauti na ulichomjibu Revolutionist.
 
Faizafoxy nafikiri mtazamo wako ni finyu. Kama uko Tanzania na umewahi kuomba kazi serikalini, sekta binafsi ama hata katika mashirika ya kimataifa utakuwa na mtazamo tofauti na ulichomjibu Revolutionist.

Kilamia, kipi ambacho hukukipenda?
 
N aunajuaje umefanya well wakati hujui interviewer anatumia vigezo gani kukupima? Au kwa kua umeongea sana na kujibu maswali yote ndo unahisi umefanya well!? Hapa kuna walakini

Kwa mtazamo wangu kama umeshawahi kuitwa "kwa interview kibao" na bado unajisifu kuwa you "did well", nadhani una matatizo. Wanaofanya "well" kwenye "interview" sioni sababu ya wao kufanya "interview kibao", moja tu inatosha na wanakuwa wapo kazini, sasa hizo "kibao" za nini tena. Hukufanya "well" katika "interview kibao" ndio maana zikawa "kibao". Nadhani nimeeleweka.
 
kaka samahani ni may 2 au april 2 liweke sawa ili tupime mtiririko wa utendaji.
 
Kwa mtazamo wangu kama umeshawahi kuitwa "kwa interview kibao" na bado unajisifu kuwa you "did well", nadhani una matatizo. Wanaofanya "well" kwenye "interview" sioni sababu ya wao kufanya "interview kibao", moja tu inatosha na wanakuwa wapo kazini, sasa hizo "kibao" za nini tena. Hukufanya "well" katika "interview kibao" ndio maana zikawa "kibao". Nadhani nimeeleweka.

Nilipata kazi sehemu fulani baada ya yule waliyemuaanda kuikataa,japokuwa nilifanya 'well' katika usaili kumzidi.,nilielezwa na kigogo mmoja wa hapo..
 
Sometimes the best is not employed! Factors are many: They look on salary (can they afford), mobility, etc
 
Nilipata kazi sehemu fulani baada ya yule waliyemuaanda kuikataa,japokuwa nilifanya 'well' katika usaili kumzidi.,nilielezwa na kigogo mmoja wa hapo..

Iza: Kuna people kama huyu Faizafoxy, sijui wapo dunia gani...either wapo kwenye ule ule mtiririkowa ma-godfather. Hicho unachoongea nimeshuhudia kwa macho yangu, ndani ya ofisi niliyowahi kufanya kazi. Na ikatokea the other time nimefanya interview the same office, nikafanya vizuri sana tu (coz info zili leak baada ya mambo kupindishwa nikapata matokeo yote ya interviews). So what ur trying to explain here is right.
 
Kweli bongo kubaya. Organization kama EWURA unapeleka application na una meet requirements hata kuitwa kwenye interview hawakuiti halafu baada ya muda utasikia ile nafasi imejazwa hata na mtu ambaye hana uwezo kama wa kwako. It is shame kweli kuwa kuna longo longo nyingi. Nadhani nyingi inafanywa na watu wa chini wale wanaopewa jukumu la kuwasiliana na watu. Wao ndiyo wanakua na watu wao hivyo wanaangalia CV kama yako iko juu kuliko ndugu yake hautaitwa kabisa kwenye interview!!!
 
Kwa mtazamo wangu kama umeshawahi kuitwa "kwa interview kibao" na bado unajisifu kuwa you "did well", nadhani una matatizo. Wanaofanya "well" kwenye "interview" sioni sababu ya wao kufanya "interview kibao", moja tu inatosha na wanakuwa wapo kazini, sasa hizo "kibao" za nini tena. Hukufanya "well" katika "interview kibao" ndio maana zikawa "kibao". Nadhani nimeeleweka.

Faizfoxy: Hapa kuna vitu 2 vinaweza kuwa ni sababu ya wewe kuongea utumbo wako (nalazimika kuwa na majibu ya hivi kwa mtu kama wewe), Moja ni kwamba either ndo kwanza unaingia kwenye industry hii ya ajira (means bado umetoka shule jjana au saana juzi), pili ni kwamba unachosema hujui. Naposema nimefanya interview nyingi sina maana ya kujisifu kwa namna yoyote na sijasema nimefanya vyema kila interview nilizowahi kufanya, ila kumbuka nasema kile nilicho experience, na ninaposema nimefanya vyema, nina ushahidi wa hilo, kwa kupewa acknowledgement ila terms ndo imekuwa issue. Ukita ushahidi niambie nikupe kumbukumbu za barua na emails pamoja na reference uende ofisi husika ukathibitishe.
Usikurupuke na ku-post tu coz nobody can stop u doing so....Think!
 
NANU: Kuna vitimbi sana asikwambie mtu, nchi hii inahitaji overhaul ya system yote, na hii inahitaji mtu mwenye moyo wa kidikteta kuweza kuyafanya haya. Unapoambia system imekuwa corrupt its everywhere, hapa tunahitaji neema ya sir God mwenyewe tu. Kuna uozo mwingi sana kwenye hizi ofisi. Siku hizi wanamsemo" its is not a matter of what you know but who knows you" sasa ukishasikia hilo unategemea nini hapo. Sisi wenyewe tumekuwa mashahidi, pale unapopokea simu toka kwa rafiki, ndugu anakupa taarifa ya kazi/ajira kabla hata haijatangazwa, sasa tell me kwa HR ambaye anahusika moja kwa moja inakuwaje?

Note: Kutokana na hoo post niliyoweka hapa, kwa taarifa tu ni kwamba tumegundua vitu vingi sana katika ofisi niliyotolea malalamiko haya, watu ambao wamewahi kufanya huko wametupa habari za ndani na upuuzi unaoendela na kuendelezwa na Watz wenzetu.
 
Du! Walikuwa waswahili au wazungu? Pole sana Ndugu, hiyo ndio indigenous rights tunazozitaka! Hilo ni tatizo letu sisi wenyewe tukipewa nafasi.
 
Huyu anayejiita fox ni zezeta kwani hayo si majibu ya kumpa revolutionist kwani wewe hujawahi kufanya interview zaidi ya moja au wewe ni yale mazezeta ambayo yamekaa tu. nasema hivyo kwa sababu interview nyingi kwa sasa hivi does not depend how bright your but whom you know ndio maana nilikwambia inawezekana wewe ni zezeta ambalo lipo nyumbani hivyo ujaface hizo challenge pole revolutionist
 
Huyu anayejiita fox ni zezeta kwani hayo si majibu ya kumpa revolutionist kwani wewe hujawahi kufanya interview zaidi ya moja au wewe ni yale mazezeta ambayo yamekaa tu. nasema hivyo kwa sababu interview nyingi kwa sasa hivi does not depend how bright your but whom you know ndio maana nilikwambia inawezekana wewe ni zezeta ambalo lipo nyumbani hivyo ujaface hizo challenge pole revolutionist

Zezeta ni wewe, kama hapo US Embassy alishawahi kufanya interview akakosa na hana amjuaye kama utakavyo wewe, kilichompeleka mara ya pili ni nini? Halafu hakuona mahali pa kupeleka hayo malalamiko yake?

Hata alivyoandika hiyo post yake kama ni mimi nnae-mfanyia interview simpi kazi ng'oo, hata nikiwa shangazi yake wacha kujuana nae. Unanshangaza!
 
NANU: Kuna vitimbi sana asikwambie mtu, nchi hii inahitaji overhaul ya system yote, na hii inahitaji mtu mwenye moyo wa kidikteta kuweza kuyafanya haya. Unapoambia system imekuwa corrupt its everywhere, hapa tunahitaji neema ya sir God mwenyewe tu. Kuna uozo mwingi sana kwenye hizi ofisi. Siku hizi wanamsemo" its is not a matter of what you know but who knows you" sasa ukishasikia hilo unategemea nini hapo. Sisi wenyewe tumekuwa mashahidi, pale unapopokea simu toka kwa rafiki, ndugu anakupa taarifa ya kazi/ajira kabla hata haijatangazwa, sasa tell me kwa HR ambaye anahusika moja kwa moja inakuwaje?

Note: Kutokana na hoo post niliyoweka hapa, kwa taarifa tu ni kwamba tumegundua vitu vingi sana katika ofisi niliyotolea malalamiko haya, watu ambao wamewahi kufanya huko wametupa habari za ndani na upuuzi unaoendela na kuendelezwa na Watz wenzetu.

Wewe mwenyewe umejichanganya, ile post yako ya mwanzo (kama hujai edit bado) ilikuwa hovyo hovyo, kwa msingi huo, sijui nani atakupa kazi. Uwe makini kwa unayo yaandika, ndio yana reflect ulivyo. Halafu ubalozi wa Merekani unaweza uka complain kwa maandishi na yakasikilizwa, fanya hivyo.
 
Pole sana. Next time ukiitwa kwenye interview hapo ubalozini unawahi siku moja kabla tena saa mbili asubuhi. Kama interview ni kesho yake unawahi sana ili washindwe cha kukuharibia.

I cant believe this, how come mtu unakuwa na roho mbaya hivi? sio raia wa kenya kweli hapo ubalozini manake ndio zao.
 
Back
Top Bottom