Us embassy na vioja vya baadhi ya wafanyakazi

Wewe mwenyewe umejichanganya, ile post yako ya mwanzo (kama hujai edit bado) ilikuwa hovyo hovyo, kwa msingi huo, sijui nani atakupa kazi. Uwe makini kwa unayo yaandika, ndio yana reflect ulivyo. Halafu ubalozi wa Merekani unaweza uka complain kwa maandishi na yakasikilizwa, fanya hivyo.



Bila shaka u mfanyakazi wa ubalozi, mbona hii ishu umeivalia kaptula?:biggrin1:
 
Faizfoxy: Hapa kuna vitu 2 vinaweza kuwa ni sababu ya wewe kuongea utumbo wako (nalazimika kuwa na majibu ya hivi kwa mtu kama wewe), Moja ni kwamba either ndo kwanza unaingia kwenye industry hii ya ajira (means bado umetoka shule jjana au saana juzi), pili ni kwamba unachosema hujui. Naposema nimefanya interview nyingi sina maana ya kujisifu kwa namna yoyote na sijasema nimefanya vyema kila interview nilizowahi kufanya, ila kumbuka nasema kile nilicho experience, na ninaposema nimefanya vyema, nina ushahidi wa hilo, kwa kupewa acknowledgement ila terms ndo imekuwa issue. Ukita ushahidi niambie nikupe kumbukumbu za barua na emails pamoja na reference uende ofisi husika ukathibitishe.
Usikurupuke na ku-post tu coz nobody can stop u doing so....Think!

Upupu huo. Soma vizuri post yako, uliandika you "did well", sasa kama you "did well" kwa nini huja ajiriwa? to me its rather you didn't do well.

Samahani sana, mimi niko past kuajiriwa, kwa sasa naajiri, tena wenye upeo wa hali ya juu zaidi yako, wengi tu.

Kwa msingi huo, kama ulivyoelezea katika post yako ya mwanzo, mnh mnh, bado. Jirekebishe, do your home work. Usifikiri kwenda kwenye interview ndio kupata kazi.

Kwa kukusaidia tu, na kama utahitaji kusaidiwa, hebu nieleze; ni kazi gani unayoijuwa ili nikuelekeze namna ya kuifanya hiyo "home work" na wapi pa kwenda kuitafuta hiyo kazi vipi kwenda huko, kabla hujaenda kutafuta kazi wacha kufanya interview. Usijifungie milango ya ubongo kwa kusema kuwa Tanzania hupati kazi mpaka ujuane na mtu. Huo si ukweli. Yapo, lakini pia yana mipaka yake. Wengi zaidi huajiriwa kwa kazi zao na ujuzi wao kuliko wanaoajiriwa kwa kujuana.
 
Pole sana!
Mchezo huu upo kwenye makampuni mengi sana nchini.Hata adverts nyingi kwenye magazeti unakuta ni uzushi, kwani tayari kazi zina wenyewe.
 
Iza: Kuna people kama huyu Faizafoxy, sijui wapo dunia gani...either wapo kwenye ule ule mtiririkowa ma-godfather. Hicho unachoongea nimeshuhudia kwa macho yangu, ndani ya ofisi niliyowahi kufanya kazi. Na ikatokea the other time nimefanya interview the same office, nikafanya vizuri sana tu (coz info zili leak baada ya mambo kupindishwa nikapata matokeo yote ya interviews). So what ur trying to explain here is right.

Hapo ndipo unaponikosha mimi, ufanye "vizuri sana tu" na uwe na uwezo wa kupata "info" zilizo "leak" kutoka hapo ulipofanya interview na ukakosa kazi. Haiingii akilini, labda huyo aliokupa hizo "info" zilizo "leak" alikuwa anakupa moyo tu ili usiache kutafuta kazi.
 
Ili kukuthibitishia kwamba, kama ni mimi, hata ningekuwa shangazi yako nisingekupa kazi, ntakuonesha makosa yako yasiyopunguwa 7 kwenye (kipande cha A tu) bila kuingia ndani zaidi kwenye hii post yako:

Habari wana JF.
Leo nakuja na story hii: Muda huu nikiandika ujumbe huu natoka Ubalozini kwa lengo la kufanya usaili (Interview) wa kazi. Ijumaa ya tarehe 29 April majira ya saa 4 asubuhi nilipokea simu ya kupewa taarifa. Taarifa ilikuwa hivi"
Us Embassy: Are you Mr.....? (1)
Mimi: yes..........
Us Embassy: Did you applied (2)for ......job, (3)
Mimi: Yes i did
Us Embassy: Your (4) required to attend the English language test (interview) on Tuesday 2nd May around 11am, we advise to (5) be there at least 15 minutes before time, the interview will last for 1 hrs. (6)
Mimi: Ok. Thank you and i appreciate for your consideration: (7)

Sahihi ingekuwa hivi:

1) Is this Mr.......?

2) Did you apply (sio applied)

3) for the post of.... (sio job)

4) You are (sio your)

5) we advise you to be (sio we advise to)

6) 1 hr (sio 1 hrs)

7) I appreciate your consideration (sio for your consideration).

Upo hapo ulipo?
 
Ili kukuthibitishia kwamba, kama ni mimi, hata ningekuwa shangazi yako nisingekupa kazi, ntakuonesha makosa yako yasiyopunguwa 7 kwenye (kipande cha A tu) bila kuingia ndani zaidi kwenye hii post yako:

Sahihi ingekuwa hivi:

1) Is this Mr.......?

2) Did you apply (sio applied)

3) for the post of.... (sio job)

4) You are (sio your)

5) we advise you to be (sio we advise to)

6) 1 hr (sio 1 hrs)

7) I appreciate your consideration (sio for your consideration).

Upo hapo ulipo?


Faizafoxy (do u know the meaning of your name madam? hilo mosi)....ungekuwa Tanga...mmh sijui?
Nije kwenye kukujibu hoja zako dhaifu:
1. Siku-edit kwa makusudi kabisa, na kama ungekuwa makini ukapitia post zangu tangu mwanzo ungeelewa vyema.
2. Unakurupuka na nina hakina hujafahamu hapa nini kinazungumziwa, wewe umekuja na hoja zako zisizo na tija.
3. As far as i know, mtu na namna yako huwezi kuwa na hata kitu kinachoitwa Partnership achilia mbali kampuni ya kuweza kuajiri, otherwise uuthibitishie umma hapa. Sana sana una vijana wakokta mikokoteni huko then unakuja hapa na kutamba unaajiri. Na katika hili, i can assure you huna uwezo wa kuniajiri sahau huo msaada unaodai kunipatia.
4. Kwa taarifa tu, nilishafanyakazi tangu nilipo graduate, nimeacha kazi kwa ku-resign coz nilihitaji kwenda na plan zangu, na soon baada ya kumaliza shule nimekwenda nje kwa ajira, na nimeacha kazi, ukitaka ushahidi njoo nikupatie.

My Take: Shida yako ni kwamba husomi na kuelewa, umetanguliza majibu bila kutafakari issue hasa.....na hapa kwa taarifa yako, si complain mimi kukosa ajira Us Embassy, napingana na utaratibu mzima ambao unamfanya mtu apoteze resources zingine kama pesa, time na commitments zingine.

Soma Uelewe:
1.Naposema info zili-leak, i meant kupata majibu yote ya interview na interviewees na kugundua i was ranked number 1, lakini kwa sababu binafsi za Mwajiri alibadirisha maamuzi
2. Nilihusika kwenye mchakato wa nafasi moja ya kazi mahali nilipokuwa nafanya kazi before, a guy mwenye sifa zote (CPA, Postgraduate Diploma na Experience ya kazi ya 4+ alinyimwa kazi, akapewa kijana mwenye uzoefu wa 8 months just a graduate no CPA no any other qualifications, kisa Director wanted him coz wanatoka eneo moja)
Get my point?
Conclusion: Sitakuwa na muda wa kujibu hoja zako dhaifu.....i believe wapo vijana smart kabisa hapa JF will help you to understand.
 
Faizafoxy (do u know the meaning of your name madam? hilo mosi)....ungekuwa Tanga...mmh sijui?
Nije kwenye kukujibu hoja zako dhaifu:
1. Siku-edit kwa makusudi kabisa, na kama ungekuwa makini ukapitia post zangu tangu mwanzo ungeelewa vyema.
2. Unakurupuka na nina hakina hujafahamu hapa nini kinazungumziwa, wewe umekuja na hoja zako zisizo na tija.
3. As far as i know, mtu na namna yako huwezi kuwa na hata kitu kinachoitwa Partnership achilia mbali kampuni ya kuweza kuajiri, otherwise uuthibitishie umma hapa. Sana sana una vijana wakokta mikokoteni huko then unakuja hapa na kutamba unaajiri. Na katika hili, i can assure you huna uwezo wa kuniajiri sahau huo msaada unaodai kunipatia.
4. Kwa taarifa tu, nilishafanyakazi tangu nilipo graduate, nimeacha kazi kwa ku-resign coz nilihitaji kwenda na plan zangu, na soon baada ya kumaliza shule nimekwenda nje kwa ajira, na nimeacha kazi, ukitaka ushahidi njoo nikupatie.

My Take: Shida yako ni kwamba husomi na kuelewa, umetanguliza majibu bila kutafakari issue hasa.....na hapa kwa taarifa yako, si complain mimi kukosa ajira Us Embassy, napingana na utaratibu mzima ambao unamfanya mtu apoteze resources zingine kama pesa, time na commitments zingine.

Soma Uelewe:
1.Naposema info zili-leak, i meant kupata majibu yote ya interview na interviewees na kugundua i was ranked number 1, lakini kwa sababu binafsi za Mwajiri alibadirisha maamuzi
2. Nilihusika kwenye mchakato wa nafasi moja ya kazi mahali nilipokuwa nafanya kazi before, a guy mwenye sifa zote (CPA, Postgraduate Diploma na Experience ya kazi ya 4+ alinyimwa kazi, akapewa kijana mwenye uzoefu wa 8 months just a graduate no CPA no any other qualifications, kisa Director wanted him coz wanatoka eneo moja)
Get my point?
Conclusion: Sitakuwa na muda wa kujibu hoja zako dhaifu.....i believe wapo vijana smart kabisa hapa JF will help you to understand.

Kwa upupu huo umeshinda, hujajibu hata moja ya kwa nini uajiriwe ikiwa hata post yako ina makosa kibao, na ndio uliyoibandika kwenye post yako kama vile unaijibu! Paragraph moja ina makosa saba, hayo ya kuandika tu, mbali ya mpangilio wa kuandika, jee ningemaliza para zote, si ingekuwa balaa, halafu wewe ndio uwe namba moja katika interviewees wote? unajuwa kujipamba lakini hupambiki, nashanga! nna uhakika wewe ni cdm.
 
Sasa FaizaFoxy; masuala ya CDM Hapa yamekujaje au unataka kuleta fikla zako mgando za kujivua gamba? Hoja iliyo kuwepo ni suala la ukilitimba uliopo Us embassy aliko omba mwana mapinduz,lakini co we kuja na hoja zako na kutoa makosa kama vile ulikuepo kwenye hio panel,hata kama ulikuepo ye hakufanya interview mandate ya kusema tayari alisha feli unaitoa wapi,kumbuka co wote wanaotafuta kazi hawana kazi au hawana shuguli ya kufanya,wengine wanataka kubadili mazingira ya kazi kutokana na vision zao hapo badae na wengine wanataka expirience ya kufanya kazi sehemu tofauti tofauti,tuondolee umagamba wako nenda kwenye jukwaa la siasa ukapambane na Wenye Cdm orignal uone na co kuleta hoja za CDM Huku ambako unajua wanapita wachache wasaka kazi,shame on u
 
wakitoka kwao wanakuja kama wazungu wakifika Tanzania wana-adopt tabia, ni kama wa-Tz au waafrika wenzetu wakienda ulaya wakirudi huwa hata lugha wanabadilisha ili waonekane bora taaaaaaaaabu kweli kweli.
 
Baadhi ya Watanzania wana roho mbaya kama za nduli
Lakini pia hata hao Americans ni watu wabinafsi sana
kila kitu utasikia "We Americans"..... My foot
Usikate tamaa mkuu, peleka complaints labda zitafika kunakotakiwa
Kila la kheri
 
Mwanamapinduzi pole kwa yaliyokukuta hapo US Embassy! mimi nakushauri kama hizi complaints zako ni genuine uandikie uongozi wa US embassy barua rasmi ya malalamiko yako, tunashukuru kwa kuleta hili suala hapa jamvini lakini kwa uono wangu itakuwa vyema kama balozi na ubalozi wa US kwa ujumla wakijua juu ya madudu haya, maana inawezekana viongozi wa juu wa ubalozi hawajui chochote kuhusu hili na ukiwaandikia rasmi utakuwa umewasaidia kufungua macho yao. na mwisho sina hakika sana na hili kama ulipata taarifa kwa simu tu hakukuwa na other official doc( kama barua au email) itakuwa ngumu kuthibitisha muda uliombiwa pale ubalozini na huyo aliyekupigia simu, maana anaweza kustick kwenye argument yake kuwa alikuwambia usahili ni saa nne!
 
Sasa FaizaFoxy; masuala ya CDM Hapa yamekujaje au unataka kuleta fikla zako mgando za kujivua gamba? Hoja iliyo kuwepo ni suala la ukilitimba uliopo Us embassy aliko omba mwana mapinduz,lakini co we kuja na hoja zako na kutoa makosa kama vile ulikuepo kwenye hio panel,hata kama ulikuepo ye hakufanya interview mandate ya kusema tayari alisha feli unaitoa wapi,kumbuka co wote wanaotafuta kazi hawana kazi au hawana shuguli ya kufanya,wengine wanataka kubadili mazingira ya kazi kutokana na vision zao hapo badae na wengine wanataka expirience ya kufanya kazi sehemu tofauti tofauti,tuondolee umagamba wako nenda kwenye jukwaa la siasa ukapambane na Wenye Cdm orignal uone na co kuleta hoja za CDM Huku ambako unajua wanapita wachache wasaka kazi,shame on u

Hebu kwanza jitoe magamba ya lugha kwa kujifunza kiswahili:

fikla
= fikra

ukilitimba = ukiritimba
 
Ndo ma ujinga ulio kalia,nimeona mau pupu yako unachangia kwenye jukwaa la siasa,wenzako watoa nzito we unajadili pumba 2,nita zi pest hapa uone ma fyongo uliyo kuwa unachangia na wasi wasi na upeo wako shame on u
Hebu kwanza jitoe magamba ya lugha kwa kujifunza kiswahili:

fikla
= fikra

ukilitimba = ukiritimba
 
Ndo ma ujinga ulio kalia,nimeona mau pupu yako unachangia kwenye jukwaa la siasa,wenzako watoa hoja nzito we unajadili pumba 2,nita zi pest hapa uone ma fyongo uliyo kuwa unachangia na wasi wasi na upeo wako shame on u
Hebu kwanza jitoe magamba ya lugha kwa kujifunza kiswahili:

fikla
= fikra

ukilitimba = ukiritimba
 
Ndo ma ujinga ulio kalia,nimeona mau pupu yako unachangia kwenye jukwaa la siasa,wenzako watoa hoja nzito we unajadili pumba 2,nita zi pest hapa uone ma fyongo uliyo kuwa unachangia na wasi wasi na upeo wako shame on u

Afadhali hapo umejitahidi kurekebisha kiswahili, ingawa bado inabidi ukifanyie kazi ya ziada.
 
Hukujibu hoja niliku uliza,masuala ya Cdm hapa yalikujaje au ulitaka upate umaarufu huku,umaalufu hauji hivyo,unakuja kwa kutoa hoja za kufanya mtu utafakari,angalia hoja za M.M. Mwanakijiji zitakujenga uondokane na huo utoto umaurufu wa MMKJJ umejijenga kutokana na hoja jadidi sio hoja zako za upupu,pitia ile thread ya " Kama Cdm ni ya wachaga basi Ccm itakua ya Waislam? Mwanzo mwisho Itakujenga kujenga hoja Achana na jukwaa la vijana wasaka kazi ambao chama unachojitahidi kukipigia debe hawana matumaini nacho tena Tanzania ni "yetu" wote,shame on u wake up
 
Hukujibu hoja niliku uliza,masuala ya Cdm hapa yalikujaje au ulitaka upate umaarufu huku,umaalufu hauji hivyo,unakuja kwa kutoa hoja za kufanya mtu utafakari,angalia hoja za M.M. Mwanakijiji zitakujenga uondokane na huo utoto umaurufu wa MMKJJ umejijenga kutokana na hoja jadidi sio hoja zako za upupu,pitia ile thread ya " Kama Cdm ni ya wachaga basi Ccm itakua ya Waislam? Mwanzo mwisho Itakujenga kujenga hoja Achana na jukwaa la vijana wasaka kazi ambao chama unachojitahidi kukipigia debe hawana matumaini nacho tena Tanzania ni "yetu" wote,shame on u wake up

Unajitahidi lakini tazama kwenye nyekundu, bado unajisahau!

Angekuwa na hoja za maana asingefananisha wachaga na Uislaam. Wewe hujui kuwa kuna wachaga Waislaam? Uislaam ni universal, haubagui kabila wala rangi ya mtu. Hubagua washirikina tu, wanao shirikisha miungu zaidi ya mmoja.
 
Unajitahidi lakini tazama kwenye nyekundu, bado unajisahau!

Angekuwa na hoja za maana asingefananisha wachaga na Uislaam. Wewe hujui kuwa kuna wachaga Waislaam? Uislaam ni universal, haubagui kabila wala rangi ya mtu. Hubagua washirikina tu, wanao shirikisha miungu zaidi ya mmoja.

Bado hujajibu hoja unaluka luka tu,ndo maana nasema tena naludia bado nina shaka na "upeo wako" fyi kesho nikiwa oficn wakati wa break ya chai nitakuwekea upupu ulio changia kule jukwaa la siasa ili uonekane na we umechangia kumbe umechangia mi pumba,pia nitareply hoja yako hii then i wil b waiting ur rejoinder if any
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom