KasomaJr
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 367
- 139
- Thread starter
- #41
Re: Us embassy na vioja vya baadhi ya wafanyakazi
pole sana mwanamapinduzi,
hebu tuanze kufikiria kujiajiri hata kama hatuna mitaji, tujaribu kufikiria utauza nini ili upate chochote na usivunje sheria,
nchi yetu bado mbichi sana
it is better to start from the scruch .
usifikirie mambo makubwa sana . mfano hebu fikiria azam anauza icecream na anapata hela
hata wewe unaweza uza hata samaki, maandazi, hata mapapai au machungwa na ukatoka haya ni mawazo yangu tu. kamayatakukera
nisamehe ila nachukia sana watu wanavyo nyanyasika maana hata mimi nyamenitokea sana. pole sana.
hili ndilo soko holela.
Wewe ni shujaa, wewe ni mwanaharakati, wewe ni mtu makini, hivyo ndiyo navyoweza kuanza kujibu post yako. Mtu mzima, mawazo ya kuajiriwa nimeshaondokana nayo muda mrefu sana (mtu mwingine najua atahoji why attending interview and all these complains-Hicho si kigezo wala si sababu), nimefanya kazi karibu 6 years kwangu mimi nimeshachoka sana, na mahali fulani nilifanya kwa 4 years consecutively nilikuwa tayari nimechoka to the extent ilifika mahali nataka kuandika resignation in 24 hrs bila sababu yoyote nyingine zaidi ya kuchoshwa na mazingira yale yale ya kazi, kazi zilezile, watu wale wale, ofisi ile ile, meza, computer, vitendea kazi etc. Hivyomawazo ya kuajiliwa ni 5% katika maisha yangu, na tayari nilishachukua hatua naendelea vyema.
Nimefurahi sana kwa ushauri wako mkulu, na nijuavyo mimi wewe utakuwa mjasiliamali wa ukweli. Hebu niku-pm tupeane strategies.
Waitwao wasomi wengi wa Tanzania wameishia kuonekana smart sana kwa mavazi lakini ni matatizo matupu, mishahara wanayolipwa, benefits wanazopata ni nonsese, there are very few ambao wanaweza simama na kusema we achieved in employments, but majority hakuna kitu, ucharwa mtupu. Vijana wengi wameingia mikopo ya kununua mitumba ya magari, na usiku hawana hata pa kuyalaza zaidi ya za ofisi za chama au Polisi...aibu sana. Na mwisho wa siku kwa sababu ya mishahara isiyotosha wamekuwa kwenye frustration nyingi sana.
Tunahitaji kuubadirika sana katika fikra zetu ili kujikomboa.
Stay blessed.