OBAMA:
..hivi mbona Obama pia amesema Hillary alikuwa ni 1st lady tu, na hana hiyo experience ya kutosha? au kosa ni Hillary kuongezea kwamba McCain ana experience?
..Obama pia amesema Hillary atakata mishahara ya wananchi ili kulipia bima za afya.
..Obama vilevile amesema Democrats wakimchagua Hillary basi USA itarudi kwenye divisive politics of the past.
....
HILLARY:
..kwa upande mwingine Hillary amesema Obama ni mtu wa maneno matamu lakini vitendo hakuna.
..Hillary amedai mpango wa afya wa Obama utawaacha mamilioni ya Wamarekani wakiwa hawana health insurance.
..Hillary amedai Obama amekuwa akipata ushindi kwenye majimbo madogo madogo ambayo hayawezi kuwasaidia Democrats ktk uchaguzi mkuu.
....
NB:
..Nafikiri kila mgombea anajaribu kujitofautisha na mwenzake.
..kwasababu wengine hapa tumejipachika ukereketwa, na kuchukua upande, basi kila mgombea wetu anapokosolewa tunapata mshituko.
..hivi mbona Obama pia amesema Hillary alikuwa ni 1st lady tu, na hana hiyo experience ya kutosha? au kosa ni Hillary kuongezea kwamba McCain ana experience?
..Obama pia amesema Hillary atakata mishahara ya wananchi ili kulipia bima za afya.
..Obama vilevile amesema Democrats wakimchagua Hillary basi USA itarudi kwenye divisive politics of the past.
....
HILLARY:
..kwa upande mwingine Hillary amesema Obama ni mtu wa maneno matamu lakini vitendo hakuna.
..Hillary amedai mpango wa afya wa Obama utawaacha mamilioni ya Wamarekani wakiwa hawana health insurance.
..Hillary amedai Obama amekuwa akipata ushindi kwenye majimbo madogo madogo ambayo hayawezi kuwasaidia Democrats ktk uchaguzi mkuu.
....
NB:
..Nafikiri kila mgombea anajaribu kujitofautisha na mwenzake.
..kwasababu wengine hapa tumejipachika ukereketwa, na kuchukua upande, basi kila mgombea wetu anapokosolewa tunapata mshituko.