Luo Ltd its all good,acha pressure lakini obama is not yours,we're all behind him ,lakini bad news ni pale Republican machine ikianza with relentless attack sijui tutafanya nini?
Koba,
1.Obama atafika mbali na safari ya mbali inaanza kwa hatua moja,mbili .. na kuendelea.
2. Mimi ni mjaluo kwa kabila kama Obama lakini siyo mmarekani wala sitakuwa wala sitaki kuwa mmarekani. Kwa hilo Obama is not mine - I do agree! La ujaluo linaongeza ushabiki tu lakini sote tuko nyuma yake kama mweusi mwenzetu!
3.Watakao mmaliza Obama watakauwa hao wanaosema he is not black enough, hao ndugu zake weusi. Republican machine itawatumia hao weusi kumchafua kama vile kina Armstrong Williams; Si unakumbuka alivyopewa pesa kiduchu kumpigia Bush debe kuhusu program yake fake ya "No Child Left Behind" akafukuzwa CNN!
Hata sasa hivi huyo jirani yako Magic Johnson yuko NH anampigia debe HRC. Weusi ndio watatumiwa kummaliza kama litatokea. Hebu ona hao ma-star weusi wanapondana ile mbaya na wanamwona Obama kama vile mimi na wewe tu - Not American Enough (NAE. Juzi kwenye kwa kuusherekea mwaka mpya kwenye restraunt moja hapa kwetu tukawa tunaongea kijaluo na tunacheka na mke wangu tukisubiri huduma, basi pembeni ndugu zetu weusi watatu wakatusalimia "Jambo" mimi nikawajibu "Jambo sana". Wakaniuliza kuwa tunaongea kiswahili kipi mbona tofauti na wanachokijua, basi nikawajibu kuwa ni Kijaluo. "What language is that" yule aliyetusalimia kiswahili; nikawajibu kuwa hiyo ni lugha ya baba yake Obama, basi ndugu yangu ikawa kama nimewamwagia maji ya barafu, jibu likawa "OK!", na mawasiliano yakaisha palepale nasi tukaendelea kukichapa kijaluo makusudi na vicheko. Hata walipoondoka hatukuagana wakati meza zetu zilikuwa jirani.
Kwa hivyo tumwombee ndugu yetu Inshallah kesho amkungute HRC na kumweka sehemu yake maanake mama mzima kachanganyikiwa, mume BC ndiye basi tena hasikiki wala kuonekana (sijui anafukuzia totos) na hadi leo jioni Obama alikuwa anaongoza kwa double digits >> 15%.
Hebu sikiliza VOA na msikilize HRC akitoa machozi .. kaishiwa points [media]http://www.voanews.com/mediaassets/english/2008_01/Audio/Mp3/LCR%20Buel%20New%20Hampshire%20Democrats%202344652%20010708%20vb.Mp3[/media]
Alamsiki
BTW Koba, Jaluo Jaluo tu; awe Kenya Tanzania au Marekani - (JJ = Jaluo Jeuri)