YNIM
JF-Expert Member
- Aug 29, 2007
- 2,236
- 63
Mie na-enjoy "status quo" inavyopata kipigo kwenye ballot box......
Kuna mvt mpya in USA, vijana, wasomi na wapo colorblind, ol' fratboyz in the northeast tayari kwisha jump bandwagon............yeyote anaye underestimate hii campaign ni kipofu. Kunataka kutengenezwa america isiyojua rangi!!!!.
Watu walisema hivi hivi wakati wa kampeni za ugavana hapa Taxachussetts(Massachussetts) mwaka juzi. Kwamba Duval Patrick(black man from southside Chicago, moved to Milton, MA wakati yupo highschool kwa scholarship.....then Harvard law) hatotoka kwenye primaries, mara oooh bingwa akaibuka.......same night Kerry Healy(white girl, originally from Florida...Lt Governor wa Mitt Romney) pale backbay, akatoka ana-swing kusema Tyson na ku-rally watu wake as if wameshashinda ugavana, kwa imani hizo hizo "ati mswahili" hawezi kushinda!!! Akapigwa na "landslide" come January '07 "Caddilacduvall" akachukua corner office pale Beacon Hill... kwa mshangao wa wengi wasiojua nini kinachoendelea.
Obama sio Jesse au Sharpton, ni seasoned politician with a different way of solving problems. Americans are tired of same ol' same bs toka familia za "kifalme" za hapa unyamwezini. Clinton ana-lose NH, then anaenda kupata kibano kingine South Carolina....halafu kampeni yake(Clinton) inakuwa irrelevant, watu wanasubiri ku-make history come November. "You gotta believe." Sen. Barack Obama, D-Ill.
Kuna mvt mpya in USA, vijana, wasomi na wapo colorblind, ol' fratboyz in the northeast tayari kwisha jump bandwagon............yeyote anaye underestimate hii campaign ni kipofu. Kunataka kutengenezwa america isiyojua rangi!!!!.
Watu walisema hivi hivi wakati wa kampeni za ugavana hapa Taxachussetts(Massachussetts) mwaka juzi. Kwamba Duval Patrick(black man from southside Chicago, moved to Milton, MA wakati yupo highschool kwa scholarship.....then Harvard law) hatotoka kwenye primaries, mara oooh bingwa akaibuka.......same night Kerry Healy(white girl, originally from Florida...Lt Governor wa Mitt Romney) pale backbay, akatoka ana-swing kusema Tyson na ku-rally watu wake as if wameshashinda ugavana, kwa imani hizo hizo "ati mswahili" hawezi kushinda!!! Akapigwa na "landslide" come January '07 "Caddilacduvall" akachukua corner office pale Beacon Hill... kwa mshangao wa wengi wasiojua nini kinachoendelea.
Obama sio Jesse au Sharpton, ni seasoned politician with a different way of solving problems. Americans are tired of same ol' same bs toka familia za "kifalme" za hapa unyamwezini. Clinton ana-lose NH, then anaenda kupata kibano kingine South Carolina....halafu kampeni yake(Clinton) inakuwa irrelevant, watu wanasubiri ku-make history come November. "You gotta believe." Sen. Barack Obama, D-Ill.