US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

Haya bana kwa nini tuandikie mate wakati wino upo? Naomba maMods waiwekee sticky hii topic hadi Novemba. Sitaki tena kubishania kuhusu nani atashinda Novemba lakini nitamtetea kwa nguvu zangu zote Mama kila atakapopakwa matope. Sio haki kabisa jinsi anavyotendewa.
 
Haya bana kwa nini tuandikie mate wakati wino upo? Naomba maMods waiwekee sticky hii topic hadi Novemba. Sitaki tena kubishania kuhusu nani atashinda Novemba lakini nitamtetea kwa nguvu zangu zote Mama kila atakapopakwa matope. Sio haki kabisa jinsi anavyotendewa.

..safi sana ila acha kudharau jaluo,na usiwe na wasiwasi mama akitushinda Nov tutakuwa nyuma yake maana republican ni devils!
 
Hater....halafu kumbe uko wakuja hivyo...yaani unaona kumtokea Chelsea ndo ujanja? You're a Lamo dude!!!

..sio ujanja nawala sio mzuri sana ila ukweli uko palepale ni mtoto wa CLINTON!
 
.... aaargh bana, yaishe wakuu! daah, msitoane macho bure!

Kwa wale wanaotaka kupata synopsis ya voting mpaka hivi sasa, hii hapa (mind you, kwa watumiaji wa tigo na celtel internet picha inaweza kuchelewa kuonekana), kama unapata flash ad wee bonyeza 'close' tu haitaonekana tena:

Bonyeza HAPA Kuona Mchakato wa Kura Unavyoenda.

SteveD.
 
..sio ujanja nawala sio mzuri sana ila ukweli uko palepale ni mtoto wa CLINTON!

Hey uzuri uko kwa aonaye...so kwangu mimi ni kifaa cha uhakika na kuwa ni binti wa Clinton ni bonge la bonus!!!
 
..safi sana ila acha kudharau jaluo,na usiwe na wasiwasi mama akitushinda Nov tutakuwa nyuma yake maana republican ni devils!

Osama akishinda mimi nahama kambi....nahamia kwa McCain
Sifurahishwi kabisa na jinsi Mama anavyochukiwa bila sababu
 
Mbona nimekuuliza kuhusu wajomba zako Bichwa na Fli-Flopper hujanijibu?

Bichwa na Flip Flopper wapo DC, kulikuwa na votes nyeti sana jioni ya leo nadhani hata mama na Obama nao wapo kwa tauni!!!

Wewe na "tumepanda mabasi mawili kwa nauli moja" mnakwenda mbali ooooooh i hope ni mechi za kirafiki tu!!.
 
Nini McCain, amia kwa Huckbees au Romney kabisa tujue moja! hiyo ngoma "jaucho" mzee nanilii, kampeni zikianza kukopa wafanyakazi, mara nyingi huwa ndio dalali za awali...........kama vile night sweats, kwa walio athirika!!! hiyo ndio bye bye........if you do the speed limit, get the f@&k out of my waaaaaaaaay, mooooove, get out of the way, bi#@h!!!! Obama anamkoromea Hillary.....mama anaisumbua mahakama tu saa hii.
 
Romney suspends his presidential bid!!! Hold on a minute......sio kwamba amedrop!, bali ka-suspend tu. Kwahiyo anaweza kurudi.......lakini hizo ndio dalili za awali za ku-withdrawl completely.
 
Romney suspends his presidential bid!!! Hold on a minute......sio kwamba amedrop!, bali ka-suspend tu. Kwahiyo anaweza kurudi.......lakini hizo ndio dalili za awali za ku-withdrawl completely.

Nimeona hapa!! anafanya tathmini, vipi boat ya mama imeshanyanyua bendera nyeupe? alafu kuna mtu alimsikia Dick Morris jana kwenye O'reilly factor?
 
Nimeona hapa!! anafanya tathmini, vipi boat ya mama imeshanyanyua bendera nyeupe? alafu kuna mtu alimsikia Dick Morris jana kwenye O'reilly factor?

Clinton hater #1 huyo...kwa hiyo sidhani kama alisema lolote zuri. Mimi nilianza kumsikiliza akaniboa. Sijui kwa nini ana kinyongo na kina Clinton.
 
NN,
Dick Morrison, alikuwa kwenye ile original team ya Clinton toka AR enzi za 1991-92. Kwahiyo kuna mengi anayajua/walimfanyia mpaka kuwa hapo alipo leo hii!!.

Icadon,
Mie sikuona hiyo Factor yenye Morrison, so unaweza kunimegea kidogo kana una nafasi.
 
Romney kajitoa kijumla......McCain kidedea kwani Huckbees ni cha mdoli tu!!! Tuna subiri mama nae kujitoa, come November kiulaini WH.......kwani kibabu McCain kinapigwa stroke mitaa ya late sept/early oct, kwahiyo kutakuwa hakuna upinzani!!! LOL.
 
Romney kajitoa kijumla......McCain kidedea kwani Huckbees ni cha mdoli tu!!! Tuna subiri mama nae kujitoa, come November kiulaini WH.......kwani kibabu McCain kinapigwa stroke mitaa ya late sept/early oct, kwahiyo kutakuwa hakuna upinzani!!! LOL.

Ha ha eti anapigwa na stroke,
anyways jana O'reilly anasema kama Obama akishinda delegates wengi akienda kwenye convention wakamtosa wakampa mama basi kutakuwa na revolution kwenye chama.

nahisi itakuwa McCain/Huckabee.
 
Jaluo azidi kumwumiza kichwa Bibi!
(hata asipopata nomination kwa kweli he gave her the run for the money - oops! Couldn't resist the pun baada ya kusoma eti Bibi aliishiwa pesa na alijikopesha)
Time.com wamefanya poll and summary yake ni kwamba :
--Obama fares somewhat better against McCain than Clinton; much of the difference can be attributed to the way independents would seem to break in the two different match-ups.

--There’s a split in the way voters regard the effects of Obama choosing Clinton as a running mate and vice versa.

--Also, when we drilled down into the data, we found that Clinton supporters were more enthusiastic about having Obama on the ticket than Obama supporters were about having Clinton on the ticket
Nadhani Bibi ameanza kuplay the victim eti hana hela, na kwamba ni mwanamke ndiyo maana she is loosing and she says 'It's our time'. Lakini that's true for all non-whites who vote for Obama and say "it's our time"
Anyway, MSNBC are in trouble for saying that the Clintons are pimping out Chelsea, but honestly - they said it! Bibi hana aibu anamtumia mtoto wake! Kwani Kerry si naye alikuwa ana watoto wakubwa, even McCain etc, lakini hawatumii watoto wao because it is disturbing! Bibi is desperate.
Wacha Jaluo aendeleze jeuri yake!
 
Susu,

Ulisikia ile dini ya Uranium Kazhakstan ambayo Bubba alimfanyia yule mshikaji wetu Frank Giustro? Unaambiwa Frank ana-finance Mama si kawaida. Pesa zapelekwa maktaba ya Bubba, halafu wanatoa kama trust/estate money ndio maana wameongeza mtaji wa $5m!
 
Susu,

Ulisikia ile dini ya Uranium Kazhakstan ambayo Bubba alimfanyia yule mshikaji wetu Frank Giustro? Unaambiwa Frank ana-finance Mama si kawaida. Pesa zapelekwa maktaba ya Bubba, halafu wanatoa kama trust/estate money ndio maana wameongeza mtaji wa $5m!

Nilisikia REv Kishoka, na ninakumbuka u had caught scent before! Sasa it is a matter of time that the US media will catch the story of Andrew Young na Clinton! Tatizo ni kwamba CNN na NY times are Clinton faithfuls. Lakini story italeak tu! Hakuna njia!
 
Back
Top Bottom