US Election Coverage 2008


sasa hapa ndio hao democrats wajiulize kama kweli wanataka wapate kiti cha urais this time, wanataka kumteua mtu ambaye anashangiliwa na Republicans au yule ambaye atawafanya Republicans wenywee. Na mimi nimeona ma white wengi sana hapa nilipo kutoka US ambao ni core republicans yaanafurahi sana Obama akishinda, yenyewe yanawaita eti "Clitoris" wakishinda yataugua maana yanajua urais kwa republicans utakuwa ndio basi in the next 8 years, I dont how true this is.
 
ujana na naivette pia ni matusi toka kwa Clintons juu ya Obama campaign, inasikitisha kuwa na wewe ume-fall kwenye hiyo trap!!! ukweli ni kwamba Obama is older than Bill Clinton alipo run na kushinda mwaka 1992, pia ni older than JFK alipopata uraisi........sasa argument ya ujana inatoka wapi??
Obama ame-run a very dignified and honest campaign in SC. Base yake ya suppoters ipo palepale na ime-prove kwamba inaweza kushinda ktk white states na black states. Mambo mengine ni kwamba tunaenda in cycles, none new!!!
Victory speech ya jana ime-address hizo concerns zote na kusisitiza kwamba ni past against the future na sio vinginevyo.
 
YNIM,

you are quite right.........people have been overtaken and ultimately fallen onto trap of the Billary Clintons.........politcs ni mchezo mchafu....na ndicho walichofanya the Clintons........because they loose nothing kwa kuanzisha hii notion ya race......infact wana-gain.

Obama anachofanya ni kupangua ukiritimba wa kisiasa uliokuwa initiated na teh Clintons..........kama unawafahamu vizuri whites nafikir utaelewa nini nasema hapa.....kutokana na maneno yao na pia kutumia vyombo vya habari kulikuza sana jambo hili la race...........
 
Ogah,
Thank you again kwa kuliona hilo!!! kuna watu kama Pat Buchanan( senior adviser Nixon admin, presidential candidate na etc) anadai kwamba what happened ni exactly what the clintons wanted!!! to polarize the dem voters ktk color lines!!!!. Ni vigumu kujua nani hasa ananufaika na strategy yao ya kifisadi, kwani wao pia wanazidi kuwa isolated na watu muhimu chamani.

Local news hapa Boston zinaripoti kuwa a seasoned, and very popular politician in MA and US, Senator Edward "Teddy" Kennedy ( young brother of JFK and RFK) ata-endorse Obama mapema kesho!!!!.

Watu wasema watakavyo, lakini something terribly evil and wrong happened/done in the Clintons campaign!! vitu viwili vitatokea hapa, kwanza wanaweza kushindwa mchakato huu au hata wakishinda basi general election in november itakuwa a disaster.Pili incase hayo kama hayatatokea basi legacy yao itakuwa tarnished na wata suffer unforgiving punishment in history. Kwa bahati mbaya sidhani kama wanajali chochote kati ya hivyo, wao wanajali tu kwamba mke na mume walikuwa maraisi wa US.......regardless and by any means necessary!!!!.
 
Kitila,
Hapa Marekani kuna usemi " be careful what you wish for." Republicans wanadhani Obama atakuwa easier target in November. Lakini hivi sasa Obama is becoming a national phenomenon. Tutaona baada ya Tuesday. Majority ya waliompigia kura jana huko Carolina walikuwa ni youth--ambao wanachangamkia muziki wa rap, and r&b na hawana racial hang ups za wazazi wao. Kuna movement ya kutaka mabadiliko na akina Clinton ni part of the old guard. So the Republicans ought to be careful for what they are wishing for. The political dynamics in the US are not static.
 
Masanja,
Yes, the fairy tale quote was related to race.
All he needed to say was that Obama was black and inexperienced. Leo kanisani kwangu my preacher touched on it. Akasema fairy tales do sometimes come true. Martin Luther King's struggle was a fairy tale. The movement to abolish slavery was a fairy tale. Obama's dare to run for the presidency is a fairy tale. But fairy tales do come true. Soote tukasema, amen!
 
ST. HELENA ISLAND, S.C. - As a black woman, Jeanettea Bryan had been waiting eight years to cast a presidential vote for Hillary Rodham Clinton, until the rhetoric in the Democratic primary got rough and racial.

ADVERTISEMENT

Whoever was to blame for the nasty tone of the South Carolina race in its final days, it caused the 45-year-old nanny to question her loyalties.

Bill Clinton, Bryan says, was the one president who deserved a third term. Barring that, she'd wanted Sen. Clinton to run since her husband left office in 2000.

But reminders of America's racial divisions run deep on this quiet sea island that's home to many blacks descended from the slaves who worked its plantations. Bryan switched her support to the man who would be America's first black president.

"Before they started getting into the ugly stuff, I really wanted Hillary to win," Bryan said as a stylist cut her hair inside a tiny salon at the corner of Sea Island Parkway and Martin Luther King Jr. Drive. "I prayed about it, and I decided I was going to back Obama."

Barack Obama's supporters chanted "Race doesn't matter" at a Columbia rally Saturday after his landslide victory in South Carolina. But black voters here, the first primary state where they counted in large numbers, said the chance to send a black man to the White house mattered greatly, even if it wasn't their first concern.

While blacks overwhelmingly favored Obama, the exit poll showed he got only about 25 percent of the white vote. The racial split raises fresh questions about whether Obama can win in states outside the South, despite his early victory in overwhelmingly white Iowa.

In South Carolina, scene of plenty of racially tinged campaigns, black voters who had been leaning toward Clinton turned against her after the mudslinging with Obama became more personal.

"African-American leaders took umbrage with the Clintons, who otherwise are seen as supporters of the African-American community, for what they saw as slights and insults" aimed at Obama, said Todd Shaw, a political science professor at the University of South Carolina who specializes in racial politics.

An exit poll conducted for The Associated Press and the networks showed eight in 10 black voters backed Obama. They made up 55 percent of voters Saturday in South Carolina, which shattered its Democratic primary record with more than 532,000 ballots cast.

"It was pretty much a no-brainer," said Warren Bolden, 57, a retired maintenance man who voted for Obama in Columbia. "I was raised in the Civil Rights era. I remember when it was said blacks couldn't play quarterback in the NFL, they didn't have the brain power. Our kids should see we can be whatever we want to be."

Shaw said the lack of white support for Obama in South Carolina might not carry over to states outside the South. But it's hard to tell, because Obama is America's first serious black contender for the presidency.

"Right now, we have two different messages from Iowa and South Carolina," Shaw said. "I have to admit, we're still in uncharted territory."

Looking ahead to the Super Tuesday primaries Feb. 5, Emory University political science professor Merle Black said Obama's strength among black votes in South Carolina should carry over to Georgia, Alabama and Tennessee.

He'll have a tougher time in states such as California, where blacks make up a far smaller share of the electorate.

"His challenge will be to get larger shares of white Democrats," Black said. "I think he'll go back to his main issues and not talk so much about race. Now you would assume he'll get the majority of African-American votes."

Oddly, while Obama's campaign has inspired hope in many black voters, his race has dredged up decades-old anxiety and fear in others.

Factory worker Loretta Miller, 54, limited her choices to Clinton and John Edwards when she went to her precinct in rural Orangeburg, site of the 1968 "Orangeburg massacre" in which state police fired on demonstrators trying to desegregate a bowling alley, killing three civil rights protesters and wounding 27.

She couldn't bring herself to vote for Obama, "though I would love for him to win," because she was too afraid Obama would suffer the fate of two other heroes of black Americans - John F. Kennedy and Martin Luther King Jr.

"Maybe I'm wrong, but I think we're not quite ready for that, a black man being president," said Miller, whose concerns were echoed by other black voters interviewed. "I don't want him to get hurt."

Kenneth Wright wasn't sold on Obama at first. The self-employed house painter, folding his clean shirts and jeans at a coin laundry in Charleston, recalled previous black presidential hopefuls, the Revs. Jesse Jackson and Al Sharpton, as more symbolic candidates than serious contenders.

Obama seemed different to Wright after he drove 115 miles last month to see the Illinois senator at a campaign stop with celebrity supporter Oprah Winfrey. Wright found himself in a crowd of 30,000 people, and decided Obama had a real shot at the White House.

"It takes a lot of money to win the presidency, and I had my doubts about whether he could do it," Wright said with a grin. "But when I saw Oprah, it was over."
 
Hellooo! Weekend nimejilalia nakuta discussion on this thread imepamba moto. NImekosa uhondo! Kwa kweli ilibidi nifanye sherehe ndogo nyumbani ya kumpongeza Jaluo Jeuri - Barack Hussein Obama! I just want to say may the best Man or Woman win!
But to get a bit more serious:
- Issue ya race was first raised by my 'best friend' Andy Young 2 months before the primaries when he said that BO is not 'balck enough' in fact 'Bill Clinton is more black than BO and probably had more black women than BO!' Huwa wanaonyesha sana hiyo quote on CNN. AY is close friend and campaign financier of the Clintons. Kwa zaidi kuhusu AY na Clintons check my thread on the Sullivan Summit. So the race issue was raised by the Clinton camp

- Issue ya BO being inexperienced and that it's a 'fairy tale' was spoken LIVE na Bill. Hakuna mjadala

- Strategy ya Billary kuinject race was there from the beginning they have fed the media with it, so it came to the surface.

- Many blacks voted for BO in SC: True. Many whites voted for BO in SC: not true. But it was more than predicted, they said 10% but it was 25% approx. Question: did they check whether the disabled half Caucsian, half Latino voted in what percent for BO? I mean if you want to look very hard you will find anything.

- But to be more precise about the break down of the vote: check cnn.com, BO led Hillary in every group in the polls except older whites age 30 -44 the ratio was 41% to 25% in favor of Billary, age 45 - 59 the ratio 40% to 23% in favor of Billary and age over 60 the ratio was 42% to 15% in favor of BIllary.

Sasa some of you mnasema tatizo ni kwamba too many blacks supported Obama, but my question kwa nini isiwe tatizo too many white women supported Hillary in NH? Before walisema eti Bill is a huge asset maana anapendwa sana na Blacks! Story inazidi kubadilika as HIllary keeps loosing. About the Latino votes again it's speculation, nobody knows. MI nitaendelea kusubiri. Going into SC primaries, HIllary was still leading in 1 week she was beaten badly! So taking polls now and projecting means nothing. Vice versa for BO in New Hampshire! So let's 'chill a bit, BIll' and see what will happen

- Argument ya race kwa kifupi, blacks will vote partly for BO because he makes them proud same way baby boomers (60+ old) women vote overwhelmingly for Hillary. So once and for all, tuache hii longolongo let us look at real issues like economy, healthcare etc.

- BTW, BO alikubaliana na BIll that the media is the one that blew up the race issue and he laid the things to rest. He might have thought differently but he knew hakuna haja ya kushinkia bango this issue. Great character siyo makelele kama Billary especially "Chill Bill".

Go Obama!
 
Susuviri,

..Obama ana delegates 20 zaidi ya Hillary. sidhani kama Hillary anaweza kumkimbiza na kumpita Obama.

..Wazee kama Ted Kennedy naona wameona mbali na wameamua kumu-endorse Obama.
 
haya endorsement hiyooooo toka kwa Kennedys!! au na wao pia ni weusi? LOL.
 
Duh! Mkuu YRS,

Hii ya Kennedys imenitoa jasho, na leo kambi ya mama wamemwambia Bill, ajiepushe kabisa na kampeni watampa role ndogo sana from now on,

Ukweli ni kwamba hii endorsement ni nzito sana, hilo halina ubishi ingawa kuna analysis moja nimeisoma leo, inayomuita Ted kuwa ni political opportunist, lakini mkuu nimetoa heshima mbele kwa Jaluo!

Huyu Jaluo, wanahitaji kumuongezea ulinzi halafu ni lazima ashinde all the way, maana asiposhinda itakuwa noma sana kwetu weusi, unajua mkuu mara ya mwisho nilipokuwa Shangai, ilikuwa marufuku mweusi kutoka Afrika, kuoneakana na denish wa ki-china, lakini ilikuwa okay kwa mweusi wa US, sijui kama uliwahi kumsikia kijana wa kihaya Kamala, aliywewahi kukamatwa na denish wa ki-China kule, kidogo wamtundike risasi mkuu ikabidi ubalozi wetu ulie sana, sasa huyu Jaluo akishinda, basi itatuondolea hizo noma, lakini akishindwa basi tumekwisha,

However, naona huu uchaguzi utakuwa mkali sana na siwezi ku-predict tena, maaan sasa tumbo langu liko motot sana mkuu!
 
haya endorsement hiyooooo toka kwa Kennedys!! au na wao pia ni weusi? LOL.

Huyo bichwa Kennedy si lolote na si chochote na hiyo endorsement haina maana yoyote. Kwanza endorsements huwa hazimletei mtu kura na inavyoonekana hapa jamaa ni kama wana kinyongo na Clinton. Huyo bichwa yeye keshagombea uraisi mara ngapi? Mambo iko Supa Dupa Tuesday....
 
Mkuu Nyani,

Lakini angalau some respect kidogo, yaaani Kennedys kumpa Jaluo, mkuu walahi some respect kidogo mkuu!
 
Mkuu Nyani,

Lakini angalau some respect kidogo, yaaani Kennedys kumpa Jaluo, mkuu walahi some respect kidogo mkuu!

Hamna lolote hapo. Huyo bichwa liberal naye ni mtu hatari kuji-associate naye....mbona hakumsaidia chochote Kerry...muda wake umeshapitwa....aende nursing home
 
FMES,
nasema AMEN kwa kila kitu ulichosema!!! Nyani Ngabu, ushindwe na ulegee.....fathead "Uncle Ted" anatisha wewe!!!

Lakini vi-denish vya kichina siku hizi watu wanavigalagaza kama kawa tu, tena huko huko kwao....kuanzia guangjou, shanghai mpaka huko beijing. nawashakaji zangu walikuwa wanasoma kule na wangine wamelikita china, kuna baadhi yao wameoa wachina!!! kuna hii business ya washkaji zangu inside china..gonga www.TanChin.com
 

Aaaah hii ya kulegea miye sijui...labda hayo ni mambo ya kiliberali ya Northeast...lol

Ila kweli Uncle bichwa anatisha....tishatoto...

And check this...if you believe in Polls SuperDupa Woman anaongoza ktk states 20 kati ya 22 za super tuesday...so it is still hers to lose
 
polls zilikuwa kichekesho NH na SC, so hizo si za kuamini sana!!!. Pia hizo polls zilichukuliwa kabla au baada tu ya SC.....maana watu wanaweza kubadili mawazo tokana na ushindi ule. Ukiweka na hili la Uncle Ted kumu-endorse Baraka "Mr. Change" Obama, sijui kama mama atasalimika come tsunami tuesday!!.

Boston ni kama San Fransisco, if you know wht I'm talkin' abt!!(joke....queer!!! LOL). Spirit of America, tuna governor mweusi hapa MA na sie ndio tunaongoza charge ya kuweka 1st black in WH.
Sisi tuna amini whts right will work!! wakina nanilii wana amini whatever works must be right. Nadhani umeona tofauti hapo dugu langu.!!

Wanako wameshatinga Glendale, AZ. kulikuwa na Bonge la send off party pale Gillete Stadium in Foxborough......watu wanapamba mji tayari kwa parade!!!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…