US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

Mimi from the beggining niliona Democrats walifurahi sana na media ika-over hype uwezo wao wa kuchukua WH this year, lakini reality ni kwamba Democrats mwaka huu wana mtihani MGUMU SANA siyo Obama wala HRC. wote wawili wana natural disadvantages ambazo inahitaji miracles kuziovercome!

I bet mtu kama AL Gore angeweza kuwa very appealing (ingawa hard core dems hawajamsamehe kwa kumuavoid Clinton in 2000 election) na wengi hawasemi but most dems wameanza kuona uwezekano wa kupoteza WH unazidi kuwa mkubwa this year , kifupi hawana candidate ambayo yuko cross cutting. Edward ni zero hakuna kitu.

Labda HRC/BO wawe kwenye ticket moja. Iam sure there are dems wanaoona mbali wanaweza kufanya hicho kitu, but hata hiyo haiwapi guarantee ya WH kwa sababu Republicans watawaponda wote vibaya mno (ingawa Clintons nao ni sadist ikija kwenye swala la charactersasination) its sad really. politics za Obama ni nzuri sana, lakini kwa USA when it comes to the issue of presidency, politics of hope inawekwa kwenye capeti.

I tend to believe kama Al Gore angeingia kwenye race, HRC asingegombea, na, well ndizo siasa lakini ukweli unauma sana. Demz mwaka huu wana task kubwa saana, than you might see. na wala tatizo siyo HRC wala BO sema walikosa cross cutting candidate ambaye haatract natural prejudices za binadamu kama race (which is hot in US) Au gender which is really divisive (though people cant publicly admit)
 
By the way naona WaShington Post imeamua kuwa against mama kabisa while NY Times imemuendorse. Kwa mnaojua ni kweli kwamba Post inapenda BO apate nomination au ndo ule unafiki wa wenzetu tulio uzoea? maana in my memory hakuna paper ambayo imekuwa supporter wa Clintons kama Washington post! Anyway ALL POLITICS IS LOCAL!
 
Huu uchaguzi unaendelea kuwa kitendawili kizito sana, kwa sababu nasikia kuwa Giuliani sasa anafikria kujitoa, maana inaonekana kuwa hana mafanikio tena au?
 
Ama kweli BC is still a master of "spin". This dude is a master of "doublespeak".But this again plays right into the Clinton Campaign. He is playing the media for " I didn't want race to be an issue"... but that is EXACTLY what the campaign wanted.. as the Clinton's are seasoned in fighting dirty political battles and they wanted to drag Obama into this "mess".



Bill Clinton: Obama Will Win SC Just Because He's Black


http://www.usatoday.com/news/politics/election2008/2008-01-24-sc-bill-clinton_N.htm
Bill Clinton said black civil rights leaders Andrew Young and John Lewis have defended his wife. "They both said that Hillary was right and the people who attacked her were wrong and that she did not play the race card, but they did," he said.

Clinton said the news media is much tougher on his wife than on Obama. At the end of the exchange, he told the CNN reporter, "Shame on you."
 
Mimi from the beggining niliona Democrats walifurahi sana na media ika-over hype uwezo wao wa kuchukua WH this year, lakini reality ni kwamba Democrats mwaka huu wana mtihani MGUMU SANA siyo Obama wala HRC. wote wawili wana natural disadvantages ambazo inahitaji miracles kuziovercome!

I bet mtu kama AL Gore angeweza kuwa very appealing (ingawa hard core dems hawajamsamehe kwa kumuavoid Clinton in 2000 election) na wengi hawasemi but most dems wameanza kuona uwezekano wa kupoteza WH unazidi kuwa mkubwa this year , kifupi hawana candidate ambayo yuko cross cutting. Edward ni zero hakuna kitu.

Labda HRC/BO wawe kwenye ticket moja. Iam sure there are dems wanaoona mbali wanaweza kufanya hicho kitu, but hata hiyo haiwapi guarantee ya WH kwa sababu Republicans watawaponda wote vibaya mno (ingawa Clintons nao ni sadist ikija kwenye swala la charactersasination) its sad really. politics za Obama ni nzuri sana, lakini kwa USA when it comes to the issue of presidency, politics of hope inawekwa kwenye capeti.

I tend to believe kama Al Gore angeingia kwenye race, HRC asingegombea, na, well ndizo siasa lakini ukweli unauma sana. Demz mwaka huu wana task kubwa saana, than you might see. na wala tatizo siyo HRC wala BO sema walikosa cross cutting candidate ambaye haatract natural prejudices za binadamu kama race (which is hot in US) Au gender which is really divisive (though people cant publicly admit)


TATIZO NI KUWA OBAMA IS FIGHTING A TWO HEADED MONSTER AMBAYE SASA TUNAMWITA BILLARY CLINTON

billary.jpg
 
simple calculus for complicated minds............sijui mtu kama John Stuart Mills angesemaje kuhusu hizi arguments!!.

FMES,
Giuliani kajikanga mwenyewe, politics za 911 zimekubwa na uzee. He will lose in FL, one state strategy proved disastrous......out of gas na kampeni yake itaingia kwenye history books kama "dumpest" ever kwa mtu jina kubwa kama yeye!!.
 
Wananchi walioamuka kisiasa huko ma-US, hakuna guarantees nani atashinda au atatumia rushwa zaidi kushinda, ni kuweka sera zako tu wazi na wananchi kufuatilia rekodi yako ya uongozi na kuamua wanataka nini,

Giuliani alikuwa akiongoza nationally kwenye polls, lakini the minute wananchi wameamua kum-dig rekodi yake wamekuta aliwahi kutumia hela za serikali kwa ajili ya kimada, na rafiki yake wa karibu Kerik ana kesi mahakamani, wananchi wameamua kuwa hafai, FULL STOP!
 
Down to the wire, make it or break it for Obama and especially Edwards. Polls will be closing in few moments in SC, its looks good for "Mr Change." Hopeful "feel good" campaign will pick up some momentum going to super tuesday. Go Obama.
 
WHAT A BIG WIN!!!!??? Baraaaaack win BIG in South Carolina, actual a land slide!..........you gatta believe, mwendo mdundo kuelekea "tsunami tuesday."
Kazi kwenu ma-pundits, mnaweza ku-spin mtakavyo, lakini ukweli ni kwamba clinton divisive strategy backfired and BACKFIRED BIG....atleast for now!!!.
 
Mkuu YRS,

Ushindi ni mzito na mzuri sana kwa Obama, lakini pia kuna faida na hasara, faida ameshidna, hasara ni kwenye jimbo la weusi wengi, sasa kwenye majimbo mengine ambayo weusi sio wengi itakuwaje? Weupe huko kwingine hawatakumbuka haya?

Othewise ni ushindi saafi ila ulitarajiwa kutokana na wingi wa weusi huko.
 
Mkuu YRS,

Ushindi ni mzito na mzuri sana kwa Obama, lakini pia kuna faida na hasara, faida ameshidna, hasara ni kwenye jimbo la weusi wengi, sasa kwenye majimbo mengine ambayo weusi sio wengi itakuwaje? Weupe huko kwingine hawatakumbuka haya?

Othewise ni ushindi saafi ila ulitarajiwa kutokana na wingi wa weusi huko.

He's the next President. I mean looking at the last few debates. Obama is not a good debater. He's reached the point where it doesn't matter. I remember when Bush got there... I call it Fuzzy Math...
 
Mkuu FMES,
napenda kutokukubaliana nawe hapo juu, kwanza among whitemen Obama na Clinton wamepata support sawa. Generally Obama kapata 24 per ya whites, hiyo ni 1/4 ya votes which is very good ktk threeway election iliyoingizwa rangi na clintons!!. Good news nyingine ni kuwa, supporters wa Obama wapo palepale regardless of color. Watu hao ni, vijana wasomi na watu wa middle and upper middle class. Issue ipo kwenye gender kwani white women voted big for Billary. Overall jamaa ka-prove kwamba yupo electable anywhere in America. Politics za color zimechokwa na watu wa rangi zote!!!!!

Florida governor Charlie Crist ana-endorse McCain right now!!! LOL masikini Rudy "the rude" Giuliani....a testemony kwamba politics za vitisho na ku-capitalize kwa matukio angamizi nazo pia zimechokwa. Intriguing!!!
 
Clinton campaign strategists denied any intentional effort to stir the racial debate. But they said they believe the fallout has had the effect of branding Obama as "the black candidate," a tag that could hurt him outside the South.


Wakuu hiii ndiyo my concern, otherwise hongera nyingi kwa Obama, isipokuwa urais bado sana kuufikia, ila ni very interesting race!
 
Clinton hakusema kuwa King alisaidiwa na rais mweupe; alichosema ni kuwa ndoto ya King isingetimia kama kusingekuwa na rais aliyejua umuhimu wa ndoto ile. Message yake ilikuwa kuhusu umuhimu wa kuwa na rais anayejua mambo; hakuwa na maana ya kumdharau King.

Hili swala la race limetumbukizwa kwenye kampeini hizi na watu wasiohusika na Obama wala Clinton. Unfortunately, Obama alifanya makosa sana kushindwa kuli-control, na akaamua kulitumia indirectly. Alitakiwa achukue lead ya kuliondoa kabisa kwenye mjadala.

Baada ya kuliendeleza, linaweza kupunguza sana nafasi ya democrats kushinda White House. Kwa nini, endapo Obama atateuliwa, kuna hatari kubwa sana watu weupe wasimpigie tena kwa vile atakuwa ameshapakwa rangi ya "Black candidate"

Iwapo Clinton atateuliwa, inawezekana asipigiwe kura na watu weusi ambao ni voting block ya muhimu sana kwa democrats kwa vile ameshapakwa rangi ya "Kudharau watu weusi."


Habari njema zaidi kwa Obama ni kuwa amekuwa endorsed na Calorine Kennedy; sijui kama itasaidia kitu, lakini ni endrsement nzuri.
 
Clinton hakusema kuwa King alisaidiwa na rais mweupe; alichosema ni kuwa ndoto ya King isingetimia kama kusingekuwa na rais aliyejua umuhimu wa ndoto ile. Message yake ilikuwa kuhusu umuhimu wa kuwa na rais anayejua mambo; hakuwa na maana ya kumdharau King.

Hili swala la race limetumbukizwa kwenye kampeini hizi na watu wasiohusika na Obama wala Clinton. Unfortunately, Obama alifanya makosa sana kushindwa kuli-control, na akaamua kulitumia indirectly. Alitakiwa achukue lead ya kuliondoa kabisa kwenye mjadala.

Baada ya kuliendeleza, linaweza kupunguza sana nafasi ya democrats kushinda White House. Kwa nini, endapo Obama atateuliwa, kuna hatari kubwa sana watu weupe wasimpigie tena kwa vile atakuwa ameshapakwa rangi ya "Black candidate"

Iwapo Clinton atateuliwa, inawezekana asipigiwe kura na watu weusi ambao ni voting block ya muhimu sana kwa democrats kwa vile ameshapakwa rangi ya "Kudharau watu weusi."


Habari njema zaidi kwa Obama ni kuwa amekuwa endorsed na Calorine Kennedy; sijui kama itasaidia kitu, lakini ni endrsement nzuri.

superman.jpg
 
Mmeisikia hiyo hotuba? Weren't you guys moved? Yes, we can....
 
Another special delivery from Obama, wht a great speech!!!! good and incredibly diverse crowd........YES, WE CAN!!!. You gotta believe. Go Obama.
 
Back
Top Bottom