Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 5,455
- 10,867
Mimi from the beggining niliona Democrats walifurahi sana na media ika-over hype uwezo wao wa kuchukua WH this year, lakini reality ni kwamba Democrats mwaka huu wana mtihani MGUMU SANA siyo Obama wala HRC. wote wawili wana natural disadvantages ambazo inahitaji miracles kuziovercome!
I bet mtu kama AL Gore angeweza kuwa very appealing (ingawa hard core dems hawajamsamehe kwa kumuavoid Clinton in 2000 election) na wengi hawasemi but most dems wameanza kuona uwezekano wa kupoteza WH unazidi kuwa mkubwa this year , kifupi hawana candidate ambayo yuko cross cutting. Edward ni zero hakuna kitu.
Labda HRC/BO wawe kwenye ticket moja. Iam sure there are dems wanaoona mbali wanaweza kufanya hicho kitu, but hata hiyo haiwapi guarantee ya WH kwa sababu Republicans watawaponda wote vibaya mno (ingawa Clintons nao ni sadist ikija kwenye swala la charactersasination) its sad really. politics za Obama ni nzuri sana, lakini kwa USA when it comes to the issue of presidency, politics of hope inawekwa kwenye capeti.
I tend to believe kama Al Gore angeingia kwenye race, HRC asingegombea, na, well ndizo siasa lakini ukweli unauma sana. Demz mwaka huu wana task kubwa saana, than you might see. na wala tatizo siyo HRC wala BO sema walikosa cross cutting candidate ambaye haatract natural prejudices za binadamu kama race (which is hot in US) Au gender which is really divisive (though people cant publicly admit)
I bet mtu kama AL Gore angeweza kuwa very appealing (ingawa hard core dems hawajamsamehe kwa kumuavoid Clinton in 2000 election) na wengi hawasemi but most dems wameanza kuona uwezekano wa kupoteza WH unazidi kuwa mkubwa this year , kifupi hawana candidate ambayo yuko cross cutting. Edward ni zero hakuna kitu.
Labda HRC/BO wawe kwenye ticket moja. Iam sure there are dems wanaoona mbali wanaweza kufanya hicho kitu, but hata hiyo haiwapi guarantee ya WH kwa sababu Republicans watawaponda wote vibaya mno (ingawa Clintons nao ni sadist ikija kwenye swala la charactersasination) its sad really. politics za Obama ni nzuri sana, lakini kwa USA when it comes to the issue of presidency, politics of hope inawekwa kwenye capeti.
I tend to believe kama Al Gore angeingia kwenye race, HRC asingegombea, na, well ndizo siasa lakini ukweli unauma sana. Demz mwaka huu wana task kubwa saana, than you might see. na wala tatizo siyo HRC wala BO sema walikosa cross cutting candidate ambaye haatract natural prejudices za binadamu kama race (which is hot in US) Au gender which is really divisive (though people cant publicly admit)