US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

polls zilikuwa kichekesho NH na SC, so hizo si za kuamini sana!!!. Pia hizo polls zilichukuliwa kabla au baada tu ya SC.....maana watu wanaweza kubadili mawazo tokana na ushindi ule. Ukiweka na hili la Uncle Ted kumu-endorse Baraka "Mr. Change" Obama, sijui kama mama atasalimika come tsunami tuesday!!.

Boston ni kama San Fransisco, if you know wht I'm talkin' abt!!(joke....queer!!! LOL). Spirit of America, tuna governor mweusi hapa MA na sie ndio tunaongoza charge ya kuweka 1st black in WH.
Sisi tuna amini whts right will work!! wakina nanilii wana amini whatever works must be right. Nadhani umeona tofauti hapo dugu langu.!!

Wanako wameshatinga Glendale, AZ. kulikuwa na Bonge la send off party pale Gillete Stadium in Foxborough......watu wanapamba mji tayari kwa parade!!!.

Inachekesha kwa mtu anayeimba change change kufurahia endorsement ya mtu ambaye ni esablishment ya Washington...hii wapi na wapi?

Sasa kuhusu Pats mjomba...naungana na wewe mia kwa mia...hapa nilipo I can't wait for Sunday
 
Inachekesha kwa mtu anayeimba change change kufurahia endorsement ya mtu ambaye ni esablishment ya Washington...hii wapi na wapi?

Sasa kuhusu Pats mjomba...naungana na wewe mia kwa mia...hapa nilipo I can't wait for Sunday

Halafu ooooooh unajifanya unanisubiri mimi ku-spin!!! wakati wewe ni "JF GREATEST SPINNER." utaikimbia hiyo kampeni siku nyingi......dizaini ya flip flopper, welcome to Marthas' Vineyard au labda Nantucket. Upo kwenye losing side kaka. Ted kasema leo kwamba, Obama anawasikilisha ile "rhetoric" ya fierce urgency of now!!! MLK kwenye "letters from Birmingham jail." Go Obama.
 
Jamani lazima tumpe Jaluo halali yake! Hii recognition ya Kennedy ni nzito!!!!

kweli kama BO akishinda November, basi I will believe kwamba USA as a superpower will continue to prosper! Maana they will go beyond conventional wisdom to decide what is right for their future. BO angekuwa white man hapa tungekuwa tunasubiri jamaa kuapishwa tuu! Ila so far so good.

Aise BO hongera sana.....Ingawa endorsements si lolote, lakini Kennedy ni senator mliberali anayeheshimika, Vipi Al Gore? kakataa kuchukua sides? Anyway all politics is local..
 
You guys lets leave piliticking here, let me ask a qn, why do you think a democrat should win this election and not Republican?

What is at stake in this coming election for democrats? You just want change for the sake of it or there is something as the party you really want to accomplish?

Maana tangia tuanze huu mjadala wengi wetu ni rhetorics za support kwa BO or HRC. But do we really know what is at stake? is it simply that DEMOCRATS HAVE LOST SEVEN OF THE LAST TEN PRESIDENTIAL ELECTIONS IN US and they want to avoid this embarrasment for the democratic party or there is something else?

I think in our analysis, we should go deep kidogo to realize why these people dems really want this thing in 2008.

Iam asking this because I have heard people from different forums saying that if BO doesnt win this primary they will vote independent or Maccain-kama akipita, au HRC asipowin primary watavote kwingine...It leaves me wondering what really democrats are up to. Are they interested in personalities or there is something they are inherently fighting as party to remain relevant in the US politics? Lets try to ponder this issue. Its very relevant to cool down rhetorics and see the bitter reality.
 
There was an excellent statement in one of the weekly magazines that said " the Democrats have a knack of snatching defeat from the jaws of victory"
Excellent summary of the Democratic party!

Lakini kujibu swali lako Masanja:
- Democratic party underwent a great shift after the 1968 Democratic convention. The Civil rights act meant loosing the South which always voted Democratic. Because of that Republicans feel secure there which makes up a big chunk of the delegates for the general election. However there's also the East and West coast that traditional vote Democratic. Now the fight is for the middle or what some dubbed Jesusland when Bush won in 2004. These are predominantly white bible thumbing Christians. Often rural farmers. But there are more and more demographic shifts; Bill Clinton for example was able to capture the South that is what got him to the White House.
Now the question is can BO capture Republican strong holds?
So these are geopolitical factors

- Then there's the economy! Bill Clinton won during a recession, it seems when there's a recession the sitting president's party looses. (E.g. Carter lost to Reagan) Will this be true in 2008?

- I think that only an Obama/Clinton ticket can be a sure winner in the general elections, because they will combine forces. I think that both have become aware of this and Hillary and Barack have both said in the past few days that despite our differences 'We will come together as one at the Democratic convention' and I agree with that. Putting Bill on a leash will help because Hillary can then come out as the 'victim' of an overzealous spouse.

- There's the X factor or charisma. I think that among both republicans and democrats only BO has the X factor and that is acknowledged by everyone. Reagan won because of that, JFK won because of that etc. And often times this happens when the people are unsure about the future, they are gloomy and feel that they need a visionary leader. That is why the Kennedys have recognized this quality and jumped on the Obama wagon. How this will play out in the General elections as BO is black? that is going to be historic.

- Sheer machinery: Republicans have proved to be more disciplined in voting as their members vote come rain or shine, they make sure that they are galvanized etc. However this year turnout has been very low in the Republican primaries. Democrats are worried that a Hillary candidacy will galvanize the Republican machinery to go into full gear (they HATE Billary). They will be more careful with Obama as they are worried about several factors including backlash from independents who love Obama. If McCain wins the nomination for the Republican party, then some Democrats beleive that they are ones who need to be more discipline and get the party faithful out for the vote, because independents like McCain too. So maybe in this case you need Hillary who galvanizes the base of DP. But this theory is eroding as Obama is getting more support from this base that is why the endorsement of the Kennedys and John Kerry is important! Ted Kennedy said he will personally campaign for Obama, tht means taking out the big guns!

Jamani naona nimeandika vya kutosha kama kuna mwingine anataka kuongezea karibuni.
 
Thanks for the above analysis. I greatly think that more than ever Dems need to be united to whoever wins the nomination. Just know as BO has his suppporters so is HRC. Establishment vs young turks, can they combine forces and win something? we cant trully tell because we are still in unchatted waters (black man and a woman). Again we cant know unless we try.

Now I think BO should go beyond the message of change aangalie akina Kalumanzira atawasaidia vipi? ambao mpaka leo wako very greatful kwa Clinton na sera zake.The message of change resonates well with elites who in most cases are the beneficiaries of the system. Unless BO aanze kushapern sera zake za Uchumi on how he will adress real challenges, Iam afraid message ya change is not sinking in the minds of rank and file who are unfortunately the voters. HRC is winning on this because people want to know exactly what will you bring on the plate (ndo tunawauliza akina Zitto kila siku, we know CCM ni fisadi, but what are you bringing as alternative)

Kwamba watu wanataka mabadiliko, thats true but who is coming in? Thats the question, my worry even in Africa has been how to connect to the real voter whose interests is just a bread. Wengi tunashindwa. Ndo maana siku hizi TZ watu tumekuwa frustrated mpaka tumeanza kuwalaumu wananchi wanaoipigia kura CCM! amidist poverty. Lakini ukiangalia matatizo wanayo na wanalijua hilo, lakini akina Slaa wanashindwa kuconnect na hawa wananchi in their message. This is everywhere and to anybody awe msomi au not! Kwa hiyo usishangae mtu kama McCain akawa more appealing than any other..its a sad reality ambayo wewe na mimi elites hutuioni...

It will be a shame kama dems watapoteza hii nafasi na as always Clinton will be vindicated as a person who resurrected the Dems and perhaps God-Forbid it will take another forty years from his stepping down to have another two term Democratic presidenct. As he was after FDR!
 
"Mr. Change" Obama, sijui kama mama atasalimika come tsunami tuesday!!.

Very realistic mkuu YRS, isipokuwa ndugu yangu I am nervous na huu uchaguzi, leo Conservatives Rush Limbaugh na Mark Levine, kule ABC radios, walikuwa na a big fun na hiyo endorsement, wanaiita the best joke of the century, haiwezi kumuwezesha kushinda, lakini it is what it is a high profile political endorsement, tunaendelea kusubiri,

Sasa Pats, kumbe Brady haumwi mguu je Jints watapona kweli? Maana Eli ukimcheki kwa wasi wasi anaonekana kama anavuta ugoro wa kubwiya kweli ataweza huyo? I can't wait na Sunday duh!
 
Limbaugh ni comedian, kwahiyo usiwe na hofu nae.
lakini nilikuambia siku ile, kwamba ishu ya kuumia ni "bobishi" alikuwa anawazeveza Giants!!! Eli Manning, alikuwa slow growing up, kuna wanaodhani ana mild mild form of autism......nadhani ni quaterback mzuri, na anaweza ku-deliver come sunday.
 
YNIM,Susuviri,Masanja,FMES,

..itakuwa story nzuri for media kama Obama atashinda. naona hata media wanaonekana kuchangamka na kufurahi zaidi kila mara Obama anaposhinda.

..nadhani wote mliona ushindi wa Iowa ulivyoripotiwa tofauti na ule wa New Hampshire na Nevada. Mwisho ni ule wa South Carolina.

..vilevile media imeamua kumkandamiza Mzee Bill Clinton. for sure he his statements have been mischaracterized.

..Ukweli ni kwamba Clinton hakumlinganisha Obama na Jesse peke yake, he mentioned other candidate like Jack Kennedy ambao walishinda South Carolina. Pia hiyo statement aliitoa kabla Obama hajashinda South Carolina.

..Mimi nimeona kwa macho yangu mtu aliyekuwa na Clinton akitoa ufafanuzi huo. Kitu cha ajabu on the next interview the TV anchor stuck to the same story kwamba Bill Clinton kamlinganisha Obama na Jesse!!

..vilevile ile quote ya "fairy tale" haikuhusu Obama's candidacy, bali Obama's vote and record on Iraq war. Now, Clinton amejieleza mpaka kwa Rev.Al Sharpton, lakini story imebaki ile ile kwamba he called Obama a "fairy tale" candidate.

..Sasa kama liberal media imemkataa Hillary sidhani kama ataweza kushinda hiyo Super Tuesday, na zaidi general elections.

..Hakuna "uchafu" wowote wa maana kuhusu Obama. vilevile Republicans walikuwa wamejiandaa kupambana na Hillary. Obama kwa kweli amewashtukiza and now they must be scrambling to find any dirt about him.

..sana sana conservartives wanapenda kusema jina kamili, Barack Hussein Obama. They like insisting on that middle name. Naona hapo wanajaribu kusema kwamba Barack ni Muislamu. for some reasons Wamarekani hawaoni haya kuwanyanyapaa Waislamu.

..Watazamaji wengi wa TV wanategemea vyombo hivyo kuwafanyia homework/research na wanaamini kila kinachosemwa humo. sijui hizi distortions zitakuwa na madhara gani.
 
Unajua kama Obama akishinda nomination Republican watakuwa na wakati mgumu sana kumkosoa wakihofia kuitwa wabaguzi. Huu ni ukweli ambao haupingiki. Na tuseme ashinde general election na akawa raisi, mtu yoyote atakayemkosoa ataitwa mbaguzi. Huo ndio ukweli wenyewe...mtake msitake. So bado sidhani kama atapata nomination na sidhani kama atashinda general election akipata nomination. Kama mnadhani Obama ataleta unity...you ain't seen nothing yet. Race still does matter in this country though people, hypocritically want to act as if it doesn't!!!
 
Nyani Ngabu,

..uliyoyaeleza yana ukweli mkubwa ndani yake.

..lakini conservatives hawababaishwi na hayo mashambulizi ya liberal media.

..liberal media ndiyo inaona haya kumkosoa Mmarekani mweusi.
 
Unajua kama Obama akishinda nomination Republican watakuwa na wakati mgumu sana kumkosoa wakihofia kuitwa wabaguzi. Huu ni ukweli ambao haupingiki. Na tuseme ashinde general election na akawa raisi, mtu yoyote atakayemkosoa ataitwa mbaguzi. Huo ndio ukweli wenyewe...mtake msitake. So bado sidhani kama atapata nomination na sidhani kama atashinda general election akipata nomination. Kama mnadhani Obama ataleta unity...you ain't seen nothing yet. Race still does matter in this country though people, hypocritically want to act as if it doesn't!!!

Actually maneno unayosema Nyani yana ukweli ndani yake kwani nimewasikia Republicans wengi wanasema wanaombea Hillary Clinton ashinde nomination ili iwe rahisi kwao kumkandamiza. Na wamesema wazi itakuwa ngumu kushinda against Obama. Jamaa hana dirt yeyote ya maaana zaidi ya huyu fundraiser wake wa zamani Rezko ambaye jana bond yake imekuwa revoked na amepelekwa jela. Kuhusiana na suala la kutumia drugs, Obama alikuwa mjanja akaamua kuji-pre-emptive.
 
Actually maneno unayosema Nyani yana ukweli ndani yake kwani nimewasikia Republicans wengi wanasema wanaombea Hillary Clinton ashinde nomination ili iwe rahisi kwao kumkandamiza. Na wamesema wazi itakuwa ngumu kushinda against Obama. Jamaa hana dirt yeyote ya maaana zaidi ya huyu fundraiser wake wa zamani Rezko ambaye jana bond yake imekuwa revoked na amepelekwa jela. Kuhusiana na suala la kutumia drugs, Obama alikuwa mjanja akaamua kuji-pre-emptive.

Mazee
Pamoja na kwamba hana ufisadi wowote...yeyote atakayemshambulia kama yeye ni mzungu...atakuwa ana hatarisha kuitwa mbaguzi na hakuna mtu anayependa hiyo label. Hata wabaguzi hawajioni kuwa ni wabaguzi. Mimi nimeshawahi kuwasikia KKK wakisema wao sio "racists"!!! Sasa kwa jinsi weusi wanavyompenda Obama sasa, hata mweusi mwenzao akimkosoa Obama tayari wanamwita Uncle Tom, sell-out, n.k. Leo nilikuwa nasikiliza commentary ya Tavis Smiley kwenye kipindi cha Tom Joyner. Jinsi watu (wapiga simu) walivyomkandia Tavis ilinishangaza kwa sababu alikuwa anasema ukweli mtupu na hakuna alichokuwa anaongopa. Anyway, such is life.
 
Hamna lolote hapo. Huyo bichwa liberal naye ni mtu hatari kuji-associate naye....mbona hakumsaidia chochote Kerry...muda wake umeshapitwa....aende nursing home
NGABU WACHA HIYO MANENO YAKO "MBOFUMBOFU"KWANZA UNAELEWA MAANA YA LIBERAL?AMA BUSHI AKIPANUA MDOMO NA WEWE UNASHABIKIA TU!HAKUMSAIDIA KERRY MAANA YAKE NINI?HIVI WE UNAZIJUA SIASA ZA MAREKANI AMA STILL NI SHABIKI TU?HALAFU TENA WEWE NI SENIOR EXPERT MEMBER?
 
Actually maneno unayosema Nyani yana ukweli ndani yake kwani nimewasikia Republicans wengi wanasema wanaombea Hillary Clinton ashinde nomination ili iwe rahisi kwao kumkandamiza. Na wamesema wazi itakuwa ngumu kushinda against Obama. Jamaa hana dirt yeyote ya maaana zaidi ya huyu fundraiser wake wa zamani Rezko ambaye jana bond yake imekuwa revoked na amepelekwa jela. Kuhusiana na suala la kutumia drugs, Obama alikuwa mjanja akaamua kuji-pre-emptive.
NONSENSE!KUKOSOLEWA KIVIPI?KWAMBA SI MWEUSI VYA KUTOSHA AMA SI MWEUPE VYA KUTOSHA?
KUKOSOLEWA KUPO ILIMRADI SI KWA NAMNA AMBAYO CLINTON NA MKE WAKE WALIFANYA!WAMKOSOE KIUTENDAJI NA SI VINGINEVYO!JAMAA ANA QUALIFICATION ZA KUWA RAIS..TATIZO NI RANGI YAKE NA JINA LAKE!
 
unajua kuna watu bado hawaamini kama Obama anaweza kufanya aliyofanya,huyu jamaa hajabebwa wala kupendelewa na media au mtu yeyote,jamaa is a skilled political genius na kizuri zaidi he can connect na watu,najua at the end of the day mama atashinda lakini atleast Obama amempa challenge ya kutosha na kama mnakumbuka N.H ilikuwa almanusura mama afungishwe virago na alianza kulia lia kama mtoto,anyway mimi any Democrats akishinda i'm fine maana hawa republican siwazimii kabisa na policy zao za kishenzi
 
Jamani Rudy Giulian naona leo ndio mwisho wa safari na siasa zake za 911.
 
Mkuu Koba,

Ahsante mkuu, hilo Ri-jamaa linanikera kweli, I can't wait Ri-kiondolewa, maana ni muhuni tu huyu!
 
polls zinaonyesha a "bloody shootout" kati ya Mr. Change na Billary in MA........the picture is grim, Clintons wanakuwa exceendingly isolated by the day!!.

Namba zinaingia toka Florida, so far McCain on top!! Nitafurahi sana kama tapeli Romney akishindwa leo.....he is a bad man, was a terrible governor, type ya say anything to win. He is bad for America!!.
 
Back
Top Bottom