US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

..nina hakika hotuba ya Obama inaweza kuipiku ile aliyotoa Hillary.

..sina uhakika na perfomance ya Joe Biden na Bill Clinton.

..hotuba ya Mama itaingia kundi moja na ile hotuba ya Ted Kennedy aliyosema "the dream shall never die", na nyingine aliyotoa Mario Cuomo, kama one of the best speeches given at the democtratic national convention.

..kuna pundits ambao bado wanamng'ang'ania Hillary kwamba she didnt do enough. kwamba alipaswa kukanusha na kuungama kwa doubts zote alizo-raise kuhusu Obama wakati wa primaries.
 
..nina hakika hotuba ya Obama inaweza kuipiku ile aliyotoa Hillary.

..sina uhakika na perfomance ya Joe Biden na Bill Clinton.

..hotuba ya Mama itaingia kundi moja na ile hotuba ya Ted Kennedy aliyosema "the dream shall never die", na nyingine aliyotoa Mario Cuomo, kama one of the best speeches given at the democtratic national convention.

..kuna pundits ambao bado wanamng'ang'ania Hillary kwamba she didnt do enough. kwamba alipaswa kukanusha na kuungama kwa doubts zote alizo-raise kuhusu Obama wakati wa primaries.

Hotuba ya Mama ilikuwa generic na haikuwa ya kusisimua hivyo. Ungeweza kuchomeka hata jina la Nyani McCain na bado ingekuwa kama ilivyokuwa jana. Sidhani kama itakumbukwa hivyo.
 
Nyani,
Umeshawaona Wakenya kwenye marathon? They never lead, but win eventually. It is the same strategy this time.

Jibu swali:How can the underdog be the odds on favorite to win?

Na kuhusu Wakenya, they are always the favorites to win and never the underdogs....
 
..nina hakika hotuba ya Obama inaweza kuipiku ile aliyotoa Hillary.

..sina uhakika na perfomance ya Joe Biden na Bill Clinton.

..hotuba ya Mama itaingia kundi moja na ile hotuba ya Ted Kennedy aliyosema "the dream shall never die", na nyingine aliyotoa Mario Cuomo, kama one of the best speeches given at the democtratic national convention.

..kuna pundits ambao bado wanamng'ang'ania Hillary kwamba she didnt do enough. kwamba alipaswa kukanusha na kuungama kwa doubts zote alizo-raise kuhusu Obama wakati wa primaries.[/QUOTE]

...hata mie nafikiri alipaswa kufanya hivyo!! ilibidi aponde, Makopo kutumia picha zake kwenye Ads na kadhalika!!
 
Jibu swali:How can the underdog be the odds on favorite to win?

Na kuhusu Wakenya, they are always the favorites to win and never the underdogs....
Nyani,
Seriously now! I believe Obama will win this election because of what the polls are not showing. The polls are focusing mainly on traditional voters. Barack Obama has cultivated and tapped into a current of young voters who are yet to appear in the polls. Just follow the trail of where his money is coming from, the power of the internet and the role of Face Book and you will see why Obama will win. I hear the Republicans have begun to tap into the Face Book generation but I think Obama is way ahead with this generation. He is simply the underdog because of his race and the traditional history of this country.
 
Nyani,
Seriously now! I believe Obama will win this election because of what the polls are not showing. The polls are focusing mainly on traditional voters. Barack Obama has cultivated and tapped into a current of young voters who are yet to appear in the polls. Just follow the trail of where his money is coming from, the power of the internet and the role of Face Book and you will see why Obama will win. I hear the Republicans have begun to tap into the Face Book generation but I think Obama is way ahead with this generation. He is simply the underdog because of his race and the traditional history of this country.

Young voters my where the sun don't shine!!! The same thing you guys said in 2004 about young voters and who won? We will see come Nov.4th. You guys are overly over-confident.
 
YNIM,

..actually Hillary alimponda McCain, na akamaliza kwa kusema "no way, no how, no mccain."

..kuhusu ads Hillary has come out more than once na kusema " i am hillary clinton and did not approve that message."


Nyani Ngabu,

..labda waliomtangulia Hillary jana performed so poorly kiasi kwamba nikaona hotuba yake ni nzuri.

..lakini hata kama hotuba haikuwa nzuri, i think it was very well delivered and received.

..zaidi kwa jinsi kampeni ilivyochukua muda mrefu imefika wakati candidates hawana jipya la kusema. inawezekana hata hotuba ya Obama ukaona kama umeshawahi kuisikia.
 
YNIM,

..actually Hillary alimponda McCain, na akamaliza kwa kusema "no way, no how, no mccain."

..kuhusu ads Hillary has come out more than once na kusema " i am hillary clinton and did not approve that message."

Ahahahahaaaaaa.....but she said on many occassions that she approved that message....ahahahahahhaaaa.....I'm having fun in this campaign....ahahahahaaaa
 
Ahahahahaaaaaa.....but she said on many occassions that she approved that message....ahahahahahhaaaa.....I'm having fun in this campaign....ahahahahaaaa

...acha fix,naona bado mna ndoto ya kushinda kwa kutumia negative campaign kama 00,04...not this time mazee,anza kuzoea President Obama!
 
...acha fix,naona bado mna ndoto ya kushinda kwa kutumia negative campaign kama 00,04...not this time mazee,anza kuzoea President Obama!

Duh, afadhali Koba na YNIM, mmekuja kumweleza Nyani McCain ukweli maana nimeanza kuona kama tunasutana! Lakini amekiri he is on natural high kwikwikwi. Nyani unabadili jina, hubadili? Sema tukusaidie....

YNIM, mi kwa kweli nimefurahia sana speech ya Hillary na kwa kweli she did her best, lakini usitegemee awe mnafiki sana and she is doing what she needs to, uniting the party. She will come out stronger.
Pia kumbukeni Biden ni very old friends with the Clintons and their team, kwa hiyo ni kama kiunganishi Biden will play a big role.
 
Duh, afadhali Koba na YNIM, mmekuja kumweleza Nyani McCain ukweli maana nimeanza kuona kama tunasutana! Lakini amekiri he is on natural high kwikwikwi. Nyani unabadili jina, hubadili? Sema tukusaidie....
YNIM, mi kwa kweli nimefurahia sana speech ya Hillary na kwa kweli she did her best, lakini usitegemee awe mnafiki sana and she is doing what she needs to, uniting the party. She will come out stronger.
Pia kumbukeni Biden ni very old friends with the Clintons and their team, kwa hiyo ni kama kiunganishi Biden will play a big role.

Nimeomba msaada kwa Invisible lakini naona kanichunia. Sijui na yeye Obama kool-aid drinker....

Nisaidie basi maana mwenzio siko inclined na haya mambo....
 
Nimeomba msaada kwa Invisible lakini naona kanichunia. Sijui na yeye Obama kool-aid drinker....

Nisaidie basi maana mwenzio siko inclined na haya mambo....
Kumbe wewe na McCainmambo ya mitandao yamewapiga chenga ya mwili...?
 
Nyani,

Weye Darkie, sasa angalia usimponze babu yako the way atakavyofanya makosa kumchagua Darkie mwingine Jindal!
 
Nyani: hujui kuomba vizuri nadhani ulitaka kuleta staili ile ya babu yako wakati wa kuomba msaada wa ma-admin. 😉 Usijali my dear friend, nimeshawasilisha ombi lako, nadhani utasaidiwa hivi punde.
NImemwona bibi yako wa kambo Cindy amefunga crip bandage mkononi huko Georgia, alipata ajali gani? Mpe pole mwambie asimeze dawa ile addiction yake isije ikarudi bure!
 
Nyani,

Weye Darkie, sasa angalia usimponze babu yako the way atakavyofanya makosa kumchagua Darkie mwingine Jindal!

Wewe siku hizi unaongea kama sio mchungaji. Najua unajua kuwa "darkie" ni perjorative term sasa kwa unaniita mimi "darkie"? Oh wait a minute, wewe ni kama Jesse Jackson and Al Sharpfoot.....
 
Wewe kweli ni Obama kool-aid drinker!!! Yaani ni current situation gani hiyo unayoizungumzia wewe? All the fundamentals are favoring the Democraps...you've got an unpopular two-term Republican president, the economy is doing so-so (supposedly), Obama has raised more money and skipped federal funding, he's young and fresh and much more. How can he be the underdog? The underdog here is McCain....

... crap,old & tired lines za Repubs ndio unatuletea hapa naona...!
 
Back
Top Bottom