William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
YournameisMINE; Mie nipo upande unaojaribu ku-defy the odds said:siku za kukaa kwenye sidelines na kuwa mashabiki[/COLOR] au kuwa na comedians kama sharpton zimekwisha!!.
...."I like Obama, lakini the idea kwamba anaweza akashinda national election ya US, inanitisha sana kwamba the time is not ready maana hao walinzi alionao damn...!!"
[B]FM ES, hivyo ndivyo ambavyo historia huwekwa au kutokea!, Historia haitokea katika vitu vya kawaida, inatokea kama hivi tuonavyo hiyo Barack Obama Phenomenon! [/B]
SIZE="4"]Kwa bahati mbaya dunia tumejaa sisi tupendao kutojiamini au tufatao mkumbo tu!.....[/SIZE]
......ile ya Jesse haifikii hata kidogo hii ya Obama. Jesse alishinda South Carolina, kwenye blacks kama asilimia 50, Obama kashinda IOWA so far state ambayo ni zaidi ya asilimia 99.8 wazungu!!!. Pia anapamba na Clintons machine, ambayo ni dynasty ktk politics za marekani.....!!!.
Nyani actually its otherway round, kama atapata nomination its gonna be all the way....
Ugumu upo hapo tu hao Rep weupe tu kama Simba kumfunga Yanga....
Kitu kinanitatiza kwa Obama ni uwezo wake ktk public address- e bwana- yaani si uongo huyu jamaa amejaliwa na kipaji!
May be Martin Luther King- ndo alikuwa na huu uwezo!
Hatumii desa- je huwa anakariri au niaje?
Siasa za akina Jesse Jackson zimepitwa na wakati hazina nafasi karne hii ya 21.
Quote:-
"All the way una maana gani...destination 1600 Pennsylvania Avenue..? Hell to tha no..the overwhelming white majority is not ready for that yet..."
Mkuu Nyani,
Ahsante sana mkuu,
Mkuu YRS,
Hakuna ubishi ila tunaongelea reality, Jesse Jackson alishinda majimbo mengi tu, Obama ndio kwanza kashinda moja, I understand your love kwa Obama, we all do lakini pia kuna reality ambazo hatuwezi kuzikwepa kwamba US bado haijawa tayari kwa rais mweusi, NY majority ya wapiga kura ni Spanish, lakini Mayor ni Mzungu, hizi ni reality of life in US, Otherwsie wote tunamtakia mema Obama,
Mkuu wa Phenomen,
Sikujua na hilo nalo ni jina lako, duh kweli hii forum ina watu wakali, wajanja na wenye akili nyingi sana!