US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

Anaumwa nini? Umempima? Hillary ni fighter. Mpaka sasa Hussein Obama haja close deal. Wewe umeona wapi mpaka sasa frontrunner bado anashindwa tena vibaya sana (ala WV and KY)? There is a reason for it. I tell you, come November 4th, these Democraps (aka Obama-maniacs) will have buyer's remorse after the devastating arse whuppin that Mac is going to lay on their guy. Only Mama can go toe to toe with Mac.


Kwa kweli hii ni issue. Yaani hata watu kujua kwamba jamaa atashinda nomination bado wanaendelea kumpa Hillary kura. Haikuwa hivi kwa MacCain. This smells trouble in November and there is plenty of work to be done by Obama and the team!
 
khe, kumbe mama anasubiria possibility ya BHO assassination!!? kaaazi kwelikweli....yaani Ted Kennedy alivyokuwa anamzimiaga kaka lake RFK, hii itakuwa ni ngumu sana hasa wakati huu wa yeye ku-fight cancer!!

shame, shame and shame.........
 
Kwa kweli hii ni issue. Yaani hata watu kujua kwamba jamaa atashinda nomination bado wanaendelea kumpa Hillary kura. Haikuwa hivi kwa MacCain. This smells trouble in November and there is plenty of work to be done by Obama and the team!

..kitila,

..hao jamaa waliompa kura mama wanafanya hivyo b'se she's white and anaendelea kugombea. that's it. hizo states si zinafahamika!

..kimsingi,wao mawazo yao ni kuwa hiyo ndio "ge",lol!

..mama akiondoka kwenye picha na "kurudi kundini" wengi wao wataunga tela!
 
khe, kumbe mama anasubiria possibility ya BHO assassination!!? kaaazi kwelikweli....yaani Ted Kennedy alivyokuwa anamzimiaga kaka lake RFK, hii itakuwa ni ngumu sana hasa wakati huu wa yeye ku-fight cancer!!

shame, shame and shame.........

..nimeona kwenye bbc mama kaomba msamaha.

..unajua,huyo mama hana akili hata kidogo. she's so cheap!

..nyani,matamshi ya mama[mtu ambaye anategemea awe na busara za kuendesha nchi]ni ya kitoto na ya kutowajibika kabisa. simply,anakubali ameshindwa!
 
..kitila,

..hao jamaa waliompa kura mama wanafanya hivyo b'se she's white and anaendelea kugombea. that's it. hizo states si zinafahamika!

..kimsingi,wao mawazo yao ni kuwa hiyo ndio "ge",lol!

..mama akiondoka kwenye picha na "kurudi kundini" wengi wao wataunga tela!

Oh yeah....blame racism for everything......why? dunno..
 
DAR SI LAMU said:
..unajua,huyo mama hana akili hata kidogo. she's so cheap!

..nyani,matamshi ya mama[mtu ambaye anategemea awe na busara za kuendesha nchi]ni ya kitoto na ya kutowajibika kabisa. simply,anakubali ameshindwa!


Dar-Si-Lamu,

..Mama hakumaanisha kwamba anasubiri kuona kama Obama atakuwa-assasinated. nadhani ppl are just paranoid, na wengine wana ajenda ya kumuua HRC kisiasa.

..HRC alikuwa akielezea kwamba KIHISTORIA ziko Democratic primaries ambazo ziliendelea hata baada ya mwezi June.

..Zaidi HRC alieleza kwamba Bill Clinton ali-win nomination in June. Halafu akaongeza RFK alikuwa assasinated in mid June. Kwa msingi huo, the democratic primary which RFK was contesting was still not decided by mid June. That is a Historical Fact.

..Labda ni mimi tu, lakini naamini kabisa mtu yeyote makini akisikiliza interview nzima ya HRC atafikia conclusion kwamba huyu mama wa watu hakuwa na maana ya kusema kuwa Barack anaweza kuuwawa au yeye HRC anasubiri kuona kama Barack hatauwawa.

..Binafsi nadhani watu ambao ni IRRESPONSIBLE ni hawa MA-PUNDIT wanaosisitiza kwamba matamshi ya HRC yanahusu a possible assasination on Barack.

..Kuongezea tu Sen.Ted Kennedy aliamua kumpinga Raisi wa chama chake Mzee Jimmy Carter. Ted Kennedy alikuwa na kura chache kuliko alizonazo HRC, lakini aliendeleza kampeni zake mpaka kwenye Convention.

..Sasa hivi Ted Kennedy anam-support Barack Obama na ni kati ya wale wanaomfokea HRC asitishe kampeni yake.

..Fikiria shutuma ambazo HRC angepewa ikiwa angekumbusha kampeni ya Ted Kennedy, ukizingatia kwamba Ted sasa hivi anasumbuliwa na brain-tumor.

NB:

..nadhani hizi habari zinapindishwa ili TV ratings ziende juu. hapa nawazungumzia MSNBC.

..CNN walimpa nafasi campaign manager wa HRC kutoa clarification did not report the incidence any more. kuna channels nyingine hata hawajalizungumzia hili suala kwasababu halihitaji hata maelezo.
 
yeah jokakuu umelielezea vyema hili suala.

nadhani mama ailkuwa hamaanishi kwamba huenda janga likamkuta obama halafu yeye akadaka nomination kiulaini. alikuwa anamaanisha kwamba historically ni fact iliyowazi kwamba process ya kumtafuta nominee ilishapata kuchukua kitambo kirefu mfano ni ile ya billy na RFK.
mimi nadhani angeclarify sentensi yake badala ya kuomba msamaha. kwa sababu sioni kosa lake
 
MIDDLETOWN, Conn. - Filling in for Sen. Edward M. Kennedy and tying himself to the family's legacy, Democratic presidential candidate Barack Obama urged college graduates Sunday to "make us believe again" by dedicating themselves to public service.

"We may disagree as Americans on certain issues and positions, but I believe we can be unified in service to a greater good. I intend to make it a cause of my presidency, and I believe with all my heart that this generation is ready and eager and up to the challenge," Obama told Wesleyan University's Class of 2008.

The Illinois senator peppered his speech with references to the Kennedy legacy: John F. Kennedy urging Americans to ask what they can do for their country, the Peace Corps and Robert Kennedy talking about people creating "ripples of hope."

He devoted special attention and praise to Edward M. Kennedy, the longtime Massachusetts senator who had planned to deliver the graduation address but backed out last week after he was diagnosed with a cancerous brain tumor.

Obama, who leads in the race for the Democratic presidential nomination, said he and Kennedy had talked last week about Obama delivering the speech. Kennedy has endorsed Obama in the nominating contest against fellow Democrat Hillary Rodham Clinton and has campaigned for him.

Obama said Kennedy has helped provide health care to children, given parents leave time to spend with new babies, raised the minimum wage and let people keep health insurance when changing jobs "and I have a feeling that Ted Kennedy is not done just yet."

Kennedy's stepdaughter, Caroline Raclin, is a member of Wesleyan's Class of 2008. Her mother, Kennedy's wife, Vicki, attended the ceremony.

Obama, with a presidential campaign appealing to youth and emphasizing change, often evokes comparisons to the Kennedys, particularly Robert Kennedy and his 1968 bid for the White House.

Clad in a black academic robe, Obama received an honorary doctorate. Some of the graduates had stencils of Obama's face and the word "hope" - a theme of his campaign - on their mortarboards.

Only briefly did Obama veer into campaign territory, rattling off a list of education changes he promised to make as president. The rest of the 25-minute speech urged students to focus on more than "the big house and the nice suits and all the other things that our money culture says you should buy."

"At a time of war, we need you to work for peace," Obama said. "At a time of inequality, we need you to work for opportunity. At a time of so much cynicism and so much doubt, we need you to make us believe again. That's your task, Class of 2008."

courtsey ya YAHOO......do you yahoo!!?
 
Dar-Si-Lamu,

..Mama hakumaanisha kwamba anasubiri kuona kama Obama atakuwa-assasinated. nadhani ppl are just paranoid, na wengine wana ajenda ya kumuua HRC kisiasa.

..HRC alikuwa akielezea kwamba KIHISTORIA ziko Democratic primaries ambazo ziliendelea hata baada ya mwezi June.

..Zaidi HRC alieleza kwamba Bill Clinton ali-win nomination in June. Halafu akaongeza RFK alikuwa assasinated in mid June. Kwa msingi huo, the democratic primary which RFK was contesting was still not decided by mid June. That is a Historical Fact.

..Labda ni mimi tu, lakini naamini kabisa mtu yeyote makini akisikiliza interview nzima ya HRC atafikia conclusion kwamba huyu mama wa watu hakuwa na maana ya kusema kuwa Barack anaweza kuuwawa au yeye HRC anasubiri kuona kama Barack hatauwawa.

..Binafsi nadhani watu ambao ni IRRESPONSIBLE ni hawa MA-PUNDIT wanaosisitiza kwamba matamshi ya HRC yanahusu a possible assasination on Barack.

..Kuongezea tu Sen.Ted Kennedy aliamua kumpinga Raisi wa chama chake Mzee Jimmy Carter. Ted Kennedy alikuwa na kura chache kuliko alizonazo HRC, lakini aliendeleza kampeni zake mpaka kwenye Convention.

..Sasa hivi Ted Kennedy anam-support Barack Obama na ni kati ya wale wanaomfokea HRC asitishe kampeni yake.

..Fikiria shutuma ambazo HRC angepewa ikiwa angekumbusha kampeni ya Ted Kennedy, ukizingatia kwamba Ted sasa hivi anasumbuliwa na brain-tumor.

NB:

..nadhani hizi habari zinapindishwa ili TV ratings ziende juu. hapa nawazungumzia MSNBC.

..CNN walimpa nafasi campaign manager wa HRC kutoa clarification did not report the incidence any more. kuna channels nyingine hata hawajalizungumzia hili suala kwasababu halihitaji hata maelezo.

......kwa hiyo Jaluo aliyesema kutokana na shida/tabu/umaskini wanazozipata watu...........cling....to guns and religions....ndio ilikuwa maana yake Jaluo???

.....unajua wakati mwingine hawa mapundits hawako fair na TV zao......aka kamama kangeshikiwa bango kama alivyoshikiwa Jaluo kuhusu "guns and religion"........kamama kasingekwenda kokote
 
Mama katoa Fatwa ala RFK!

Hiyo ni overreaction ya haters tu kwa sababu si mara ya kwanza yeye kumtolea mfano Bobby Kennedy. Kwa bahati mbaya ukiwa na watu wengi wanaokuchukia kila utakachosema ama kufanya wao watakitafsiri vibaya kujipatia points za reja reja.
 
..
..CNN walimpa nafasi campaign manager wa HRC kutoa clarification did not report the incidence any more. kuna channels nyingine hata hawajalizungumzia hili suala kwasababu halihitaji hata maelezo.

Baadhi ya liberal media na wapenzi wa Obama wananachofanya sasa hivi ni kama witch hunting. Wanatafuta kila loop hole ku-justify mapenzi yao kwa Barack Obama. Lakini ukweli ni kwamba ukisikiliza yale maongezi ya Hillary, hata kwa akili ya kawaida kabisa, hakuna mahala panapojitokeza kwamba Hillary alikuwa anamtakia mabaya Barack. The good thing Barack mwenyewe na wale innercycle campaign team hawakuifanya hii kuwa ni issue. Wenye kimdomo ni watu wa pembeni kabisa. Hata hivyo tusishangae sana kwa sababu ni kawaida kwa washabiki wa pembeni, hata katika mpira, kupagawa kuliko hata wachezaji wenyewe! Ndio maana huko nyuma nikasema katika thread hii, percentage ya pundit ni .0000, wengi wetu arguments zetu zinaongozwa zaidi na mapenzi na ushabiki wetu kwa hawa wagombea wawili kuliko ukweli wa mambo.
 
Back
Top Bottom