Gigo'sFather
Member
- Nov 11, 2006
- 50
- 0
Mengi yanaweza kusemwa kwa nini alishindwa lakini kushindwa nyumbani kwake...that was a first!!
Siwa elewi!!....
Mengi yanaweza kusemwa kwa nini alishindwa lakini kushindwa nyumbani kwake...that was a first!!
Kilichomwangusha Gore si ilikuwa mambo ya NRA na bunduki na ile ban ya assault weapons waliyopitisha Gore na Clinton!
Go Mama Go!!!
ok...Kumbe ulikua Haujui!....test the sky high!!
Duh! nipo pombe kimtindo!! sio sanaa...
true true, na misimamo yake against "big tobacco"....unajua TN kwa kiasi flani wanategemea sana zao hili!!!!!! lakini hata hivyo ni upuuuzi kwa watu wa TN kumnyima uraisi mtu wa kwao...ni u-partisan wa kipuuzi kabisa.
Kwa watu wenye akili finyu kama wewe mnaona upuuzi lakini kwa watu kama sisi tunaona watu wa TN ni werevu wanaoweka principle ahead of loyalty.....
...thats all?? brilliant, Nyani Ngabu.
Kwa watu wenye akili finyu kama wewe mnaona upuuzi lakini kwa watu kama sisi tunaona watu wa TN ni werevu wanaoweka principle ahead of loyalty.....
principle?? labda kama hilo neno huko GOP lina maana nyingine.......principle ndio ku-run ads kama lile la "call me"?? principle?? talking about principle? nadhani hata ushasahu kinamna gani TN imeingia kwenye gumzo hapa!! rudi nyuma kijana, pekuapekua kabla ya kukurupika kama yule ndugu yako alosema Obama ni appeaser bila hata ya kujua maana ya neno husika!!! shame on you.........ZIRO kabisa wewe tena "toto hasira."
I told you to stop drinking your own bath water but then again you never listen....so knock yourself out......
Ha! unataka kuzungumzia matangazo sio...unakumbuka Missouri democraps wali-run matangazo gani kule MO mwaka 2000?
nilikuwa MO kama mkazi mwaka 2000, tena Uncle Jesse alikuja kwenye Chimbo langu kukampeni.......that semester nilikuwa na darasa la american political system( just for curiosity)!!!! hivyo basi nilifatilia kwa karibu sana ule uchaguzi, kabla na baada ya Gavana Mel Carnahan kufariki katika ile ajali ya ndege.......hata siku ya uchaguzi ile November kulikuwa na chaos kibao in Kansas City na St. Louis, stori ilikuwa kwamba sio kuokoa Al Gore bali ni Kuchagua the dead guy over John Ashcroft!!!! sasa ni tangazo gani baya lilo-run MO mwaka 2000???? kama ume-miss point ya bandiko langu ni kuwa...mwaka 2000 Dems walikuwa wame-concede MO ktk urais hata kabla ya siku ya uchaguzi.............lete maneno!
Democraps wali-run matangazo yaliyokuwa yakisema ukichagua GOP makanisa yataanza kuunguzwa tena....implying kwamba GOP ni KKK.....
...in your dreams!! hakukuwa na kitu kama hicho...chances are GOP na Karl Rove wao manufactured huo upuuzi ili ku-rally christian conservatives in south east missouri!!!! kama nilivyosema hapo juu Dems ua wanashinda Missouri kwa kutumia hizo pop centers za STL, KC, Columbia na kwa kiasi flani Jefferon City...all they do is to give this people a reason to turn out in big numbers na ndio maana siku zote chaguzi za MO iwe GE au primaries uwa very close na anybody can be a winner!!! GET IT, FOOL??
Now you have graduated from drinking your own bath water to drinking toilet water....yuuuuck!!!!! You need help for you're deep in denial