US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

Oh Robert KKK Byrd has endorsed Hussein Obama.....bwahahahahaaaa

Sijakuelewa Nyani! Hapa the joke is on Hillary ambaye ni champion wa hardworking Americans AKA white Americans. Sasa mpaka Byrd amemtosa, ina maana Hillary anawadanganya hao West Virginians ambao wana elimu ndogo.
Byrd is one of the most respected Democratic senators ambaye amekiri kutoka mbali na kujifunza mengi kuhusu civil rights. This is good news hata ukitaka isiwe hivyo.
Kibibi chenu Ferraro naona is a sore looser na ameanza kuongea pumba eti hatampigia kura Obama kumbe she is working for McCain lobbyist firm!
By THE NEW YORK TIMES
Published: February 1, 2007

Geraldine A. Ferraro, the former New York representative who was the Democratic candidate for vice president in 1984, will join the lobbying and public relations firm Blank Rome Government Relations as a principal, the firm said yesterday.

Ms. Ferraro, 71, will work out of New York City for the firm, a subsidiary of the Blank Rome law firm.

Ms. Ferraro served for six years as a representative from the Ninth Congressional District of New York.

Before Blank Rome Government Relations, she worked as a managing director of the Global Consulting Group, a communications company. She also provides political commentary on the Fox News Channel.

By the way, it just so happens that Blank Rome is one of THE VERY TOP campaign contributors to John McCain!!! And they are involved in many contracts for our Dept of Homeland Security!

Sasa 2 failed Democratic VP are advising McCain - Joe Liberman and Geraldine Ferraro! Kwikwikwi
 
And how many Democratic presidential wannabe losers are supporting Hussein Obama..?

Screaming Howard Dean, Flip-flopper John Kerry, $400 Haircut Edwards, Ted 'Fathead' Kennedy, Jimmy 'the worst US president in modern American history' Carter aka Terrorist appeaser, Bill 'Ngongoti' Bradley, Jim McGovern, and the list is endless....
 
And how many Democratic presidential wannabe losers are supporting Hussein Obama..?

Screaming Howard Dean, Flip-flopper John Kerry, $400 Haircut Edwards, Ted 'Fathead' Kennedy, Jimmy 'the worst US president in modern American history' Carter aka Terrorist appeaser, Bill 'Ngongoti' Bradley, Jim McGovern, and the list is endless....

That's ok, maana it is within the party, lakini you don't have failed Republican VP candidates crossing over and supporting Obama! Hahahaha!
Your argument would be valid if we were takling about Hillary. Don't confuse Hillary and McCain! They are not in the same party although they could be....
 
That's ok, maana it is within the party, lakini you don't have failed Republican VP candidates crossing over and supporting Obama! Hahahaha!
Your argument would be valid if we were takling about Hillary. Don't confuse Hillary and McCain! They are not in the same party although they could be....

Sijakuelewa kabisa...
 
Halafu Hussein Obama leo alikuwa analialia eti wamwache kumsema vibaya mke wake....what ze ***? She's fair game....but the guy doesn't get it! Another proof of inexperience.....
 
Sijakuelewa kabisa...

Ok, let me keep it simple:
McCain = Republican
Lieberman = Democrat failed VP
Ferraro = Democrat failed VP

So Lieberman and Ferraro crossed party line to advise/support MCain

Obama = Democrat
Hillary = Democrat
McGovern = Democrat failed VP candidate first supported Hillary then Obama
Dean = Democrat - neutral
Kerry = Democrat endorsed Obama
Sasa hapa ungetaka kufanya tit for tat ungeniambia Bob Dole endorsed Obama we are even. Lakini Democrat kumendorse Democrat mwenzake ni kitu cha kawaida, Losers crossing party lines to endorse Babu is not good news.
 
Halafu Hussein Obama leo alikuwa analialia eti wamwache kumsema vibaya mke wake....what ze ***? She's fair game....but the guy doesn't get it! Another proof of inexperience.....

Weee! Huyo Cindy McCain alivyosema wasimfuatilie na pesa zake?! no way! Obama amefanya something very strong, because he made GOP look like very low class, na wasipochukua ushauri wa Karl Rove na kuacha personal attacks against Obama and his family, watashindwa vibaya sana. Karl Rove na slimeball wake wote is a shrewd operator na aliwashauri GOP wasim-attack personally or smear Obama.
GOPers are the girly men, wamebaki to do some underhand attacks about candidate's wife, wamekosa point za kuongea. Hebu tuongee kuhusu hao ma-lobbyists wanaofanya kazi na Babu! Now that will come back to bite them in the ass!
 
Weee! Huyo Cindy McCain alivyosema wasimfuatilie na pesa zake?! no way! Obama amefanya something very strong, because he made GOP look like very low class, na wasipochukua ushauri wa Karl Rove na kuacha personal attacks against Obama and his family, watashindwa vibaya sana. Karl Rove na slimeball wake wote is a shrewd operator na aliwashauri GOP wasim-attack personally or smear Obama.
GOPers are the girly men, wamebaki to do some underhand attacks about candidate's wife, wamekosa point za kuongea. Hebu tuongee kuhusu hao ma-lobbyists wanaofanya kazi na Babu! Now that will come back to bite them in the ass!

Listen, your guy should understand that his 'cute' little pumpkin is fair game so long as she puts her ass out there on the campaign trail...
 
Listen, your guy should understand that his 'cute' little pumpkin is fair game so long as she puts her ass out there on the campaign trail...

Sure. just like Cindy McCain will be fair game with her history of stealing drugs from her own charity.... [[sigh]] Sijui kwa nini unashindwa kuelewa kwamba the poltics of smear is coming to an end, people are tired and will vote on issues, we kaa unashabikia ujinga wa GOP. Hata some within your precious Ole Party know that there's serious trouble!
 
Sure. just like Cindy McCain will be fair game with her history of stealing drugs from her own charity.... [[sigh]] Sijui kwa nini unashindwa kuelewa kwamba the poltics of smear is coming to an end, people are tired and will vote on issues, we kaa unashabikia ujinga wa GOP. Hata some within your precious Ole Party know that there's serious trouble!

Fine, let Cindy be fair game. I have no problem with it. What I have a problem with is you left wing crazies whining and moaning every time you get criticized. Toughen up, damn it!!
 
Nyani umesahau South Carolina primaries za Republican 2000? Ile picha ya "Baba" yako akiwa na kitoto cheusi wakasemaje vile tena wale malepablikani walio walokole? Helll to ze no, Awwnaw to the darky! Sasa hivi ndio mgombea wao sasa ile one drop syndrome ndio inkunkuaje tena?
 
Eee bwana kumbe bado watu wana uchungu, inaonekana hii campaign ya kuelekea Novemba itakuwa kali. Naisubiri kwa hamu sana. Hebu soma hii email ya mama moja wa huko Oregon.

Dear Susan,

This email is very difficult for me to write. I am a forty-five year old woman that at first was interested in Obama and thought I could see myself voting for him if Hillary did not win the nomination.
I set out to do my due diligence, researching the background of this inspirational man. Unfortunately, what I found has been very disquieting.
Obama has repeatedly chosen to associate himself with dubious people and seems to have actually sought them out to help further his political career. People like Tony Rezko. Jeremiah Wright. Nadhmi Auchi (Saddam oil for food scandal). Frank Marshall Davis (Communist). Louis Farrakhan. Reverend James Meeks. Cousin Odinga. William Ayers, who, besides bombing the pentagon, actually paid Obama to be director of one of his "charities" for many years.
Obama tried to diminish the connection, but in fact, he cannot – he was essentially employed by Ayers. Obama made a very hinky deal with the devil on that house he lives in, and it will come back to haunt him.
Obama's wife seems to be a very angry person that appears to only see the worst in our country. Could it be something that she picked up while listening to the vitriolic, hate-filled speeches of Jeremiah Wright in her church?

The church that Obama is still a member of is one that believes in a "Black Value System" that follows the teachings of James Cone. If you research Cone's idea of Black Liberation Theology, it is a victim-based marxist theology that engenders distrust and resentment towards white people. It is a world we are trying to leave behind as a country and the fact that Obama still is a member tells me all I need to know about him. His emergence out of the cesspool that is Chicago politics, makes it impossible for me to believe that he is not already corrupt, and his wishy washy positions on healthcare, banking industry reform and nuclear power make me suspect that he is being propped up by big business interests.

Obama is far from a uniter, in fact, he has managed to divide nearly everyone in the democratic party - and that with the complicity of the top echelon of the DNC, which is doing its darnedest to lance the working class whites from the party by proclaiming that they don't really need them to win. The willingness at all costs to throw one of the best candidates the party has ever seen off the train is emblematic of what women in this party feel is being done to them. Party members that think we will just pull the lever for Obama in the fall are smoking the hopium. Many of us will never, never, ever, vote for Obama. At least we know that McCain has experience and is a true patriot.

It is definitely time for a new party to rise to power…one that is centrist with true democratic values and a platform of compassion and that is a champion of the working class that makes this country great.

As soon I have voted in Oregon, I will be changing my affiliation to independent. I do not recognize the democratic party as sharing my values any more. Maybe next election cycle will see the emergence of a true viable third party. I do not want to vote Republican, but it won't keep me from writing in Hillary Clinton in the fall.

Pamela
– location and phone number snipped out
 
Eee bwana kumbe bado watu wana uchungu, inaonekana hii campaign ya kuelekea Novemba itakuwa kali. Naisubiri kwa hamu sana. Hebu soma hii email ya mama moja wa huko Oregon.

kaka kitila,
...usinichekeshe, hivi unaamini kabisa huyu ni mtu tu wa kawaida aliyeandika hiyo email?? na unaamini kabisa kwamba kafanya research? kipi hapo ambacho ni kipya? emails kama hizo zipo kibao........lengo la email hiyo ni kumpunguzia maumivu mama ktk primaries za leo kule Or, lakini its too lil' too late!!
 
Eee bwana kumbe bado watu wana uchungu, inaonekana hii campaign ya kuelekea Novemba itakuwa kali. Naisubiri kwa hamu sana. Hebu soma hii email ya mama moja wa huko Oregon.

Lol...hizi email mbona zinatumwa sana tuu wanazibadilisha kidogo lakini contents ni zile zile...zinakuwa kama 419 sasa maana ukisoma mistari ya mwanzo unajua itaisha vipi.
 
Lol...hizi email mbona zinatumwa sana tuu wanazibadilisha kidogo lakini contents ni zile zile...zinakuwa kama 419 sasa maana ukisoma mistari ya mwanzo unajua itaisha vipi.

Ebwana si unajua Vernon Jones anagombea useneta sio.....what is funny is....eti anasema alimpigia kura George Bush mara zote mbili (2000 na 2004) na eti yeye ni conservative....bwahahahahahaaaa.....ukisikia pandering ndo hiyo sasa.....anajua Georgia ni red state na hawezi kushinda jimbo zima kwa kura za weusi tu.....bwahahahahahaaa
 
Ebwana si unajua Vernon Jones anagombea useneta sio.....what is funny is....eti anasema alimpigia kura George Bush mara zote mbili (2000 na 2004) na eti yeye ni conservative....bwahahahahahaaaa.....ukisikia pandering ndo hiyo sasa.....anajua Georgia ni red state na hawezi kushinda jimbo zima kwa kura za weusi tu.....bwahahahahahaaa

ha ha that is some funny issh...ila yule msela naye ni controversial figure nilikuwa nasoma handling yake ya issues za cops kupiga raia risasi na jinsi alivyomhire yule jamaa ex Dallas Police Chief....sijui kama atashinda lol... Ila hiyo statement imenichekesha sana.
 
Mimi nahisi MacCain anaweza akaamua kujitoa kwenye kugombea kabla ya November, unless ana roho kama ya fighter Hillary. America mwaka huu imekumbwa na ghalika!!

..this's another one,for y'all!

..[media]http://graphics8.nytimes.com/images/2008/05/18/us/politics/obama-oregon533.2.jpg[/media]
 
ha ha that is some funny issh...ila yule msela naye ni controversial figure nilikuwa nasoma handling yake ya issues za cops kupiga raia risasi na jinsi alivyomhire yule jamaa ex Dallas Police Chief....sijui kama atashinda lol... Ila hiyo statement imenichekesha sana.

It's true man...I'm not making it up....as funny and weird as it may sound...he said it. For anybody who wants to win in the south, you have to be a conservative. Hata wale jamaa walioshinda MS na LA, wote ni conservative (at least walisema hivyo) democraps......ila hii ya Jones ni ya mwaka
 
..wakati napitia picha za portland,oregon.

..[media]http://graphics8.nytimes.com/images/2008/05/18/us/politics/obama-orego3.jpg[/media]

..mwangalie vizuri huyo demu mwenye red or so dress!

..brazameni?
 
It's true man...I'm not making it up....as funny and weird as it may sound...he said it. For anybody who wants to win in the south, you have to be a conservative. Hata wale jamaa walioshinda MS na LA, wote ni conservative (at least walisema hivyo) democraps......ila hii ya Jones ni ya mwaka

Ha ha mkuu hii kitu kila nikiikumbuka nacheka mwenyewe lol...ila yule jamaa naye duh!!!
 
Back
Top Bottom