US Election Coverage 2008


Vying for power has proven to be such an unavoidable consequence!

Na ndio maana wanataka sasa waanze kuzungumzia issues!

Tatizo hapa ni kuwa issue zao sasa zinajulikana na basically people now knows where they exactly stand on basically most of the issue the deem matters to them!

Na ndio maana delegates pamoja na wengine wanamwambia hivi huko kwenye kampeni ili ushinde utawaambia nini wananchi zaidi ili ushinde? Basically kashfa mpya kwa jaluo ni wazo zuri lakini lenye kuzidisha chuki na migawanyiko!

Because we now know their positions then the next thing ni kuanza kampeni za kuwawin baadhi ya repubs na independent!

Muda wa ku heal ni muhimu sana uwe mrefu kidogo!
Njia ya kumshinda Obama haiwezi kuwa zaidi ya mudsliding!


Na kuboronga ni posible kwasababu ya woga wa kisaikolojia! Hata CCM huwa wanautumia...Upinzani hivi upinzani vile..Kabila hili sio safi kabila hili vile,wapinzani wata iua nchi nk..Psychologically wananchi huwa wana cling on what they deem is safe to them and familiarity also counts! ndio maana Mc Cain keshagundua hilo na anataka makubaliano ya kampeni safi yaishe kwani anajua kama si kampeni chafu Mama asingekuwa hapo alipo wala Bush asingekuwa hapo alipo! Sasa wanataka walete uwoga kuwa huyu jamaa sio jasiri na hana uwezo wa kumwaga mibomu huko middle east kwa maadui wao!

Huseni ampige bomu huseni..Hawaoni possible na kuna wale wanaoingiza ile notion kuwa ni pandikizi la waislam!
Na unajua kwenye dola"in God we Trust"
This is a christian country lakini wright keshawaambia kiarabu sio kiislam!

Kazi bado ipo!
 
.......ngoja nimwangalie COMEDIAN Keith Olbermann, si unajua tena uki-miss leo mpaka monday(sie wengine tupo addicted)

laterz.
 
Narudia tena..Mama yeye ni Mzungu! Anawajua fika wazungu wenzake, na kama vile Nyani anavyobisha..anaelewa wazi kuwa ubaguzi uko nje nje!
Kuna baadhi wanaotaka issues za race ziendelee kuibuliwa ili ifike bottom line kuwa sasa wako comfortable kuwa hakuna kisingizio kingine cha kutompigia kura jaluo zaidi ya the fact kwamba ni mweusi!
Kwa hiyo tunaweza kumlaumu mama lakini tusisahau Baniani mbaya...
 

Milevi utaijua tu...
 
.......ngoja nimwangalie COMEDIAN Keith Olbermann, si unajua tena uki-miss leo mpaka monday(sie wengine tupo addicted)

laterz.

Hivi rating za huyo jamaa zikoje....watu 500 wewe ukiwa mmojawapo? Yaani hili lijamaa lijinga kweli....kila siku lina ugomvi na Bill O lakini Bill O kila siku ana li ignore....
 
Kura za wana democrat zilikuwa nyingi na pengine zaidi ya mara mbili ama tatu za kura republikans..Hivyo wanajua there's no way Dems watashindwa next election unless waharibu wenyewe kama mama anavyofanya now!

Wewe endelea kwa kujidanganya eti kura za primary zina reflect kura za uchaguzi mkuu. Novemba 4 mida ya saa tatu EST. FOX News waki-call uchaguzi kwa Mac utajinyea....
 
Jamani the Democratic primaries are over, Hata Rasmussen poling imeacha kucheki electability ya Hillary wanaona kama Hillary anawatumia tu kama kisingizio wakati the writing is on the wall. Aisee, hii about-turn ya media na pundits inanishangaza, just a week ago walikuwa wameshupalia Rev Wright watu wakajua Obama kwisha, kumbe hawajui Jaluo jeuri! Haya read this from one of the leading polling websites:
BTW kabla ya HIllary camp haijasema kwamba something unforeseeable applies to Obama, naomba kukumbusha that it applies to McCain as well especially as 72 year old guy, former POW who had melanoma (skin cancer)
 

Mhhh..sensiless fighter indeed! Hii ni kama bongo watu watang'ang'ania kuruka na helkopta nchi nzima wakati wakijua kabisa candidate wao hachaguliki..wastage of resources....makombati all the time..fighting for nothing. Huyo mke wa Clinton anaharibu sasa kuliko kujenga..it's over, then she should join Barack for Democrats betterment. Watu wasipokukubali, usilazimishe..watazidi kukuona hufai..kind of greedy.
 

Kama unaleta mambo ya Chadema hapa na Freeman then nenda kwenye ile thread ya kiongozi anayefaa tutakutana huko!
Hata hivyo nyie watu wa Chadema nimesahwapa changamoto!
Anapozungunka na helicopter na nyie jeshi la ardhini mlifanya nini kuhakikisha ngome inabaki kwenye vita hivyo vya kura?

Badala ya kuwa pamoja na kusaidiana kufanikisha malengo na nyie mnataka mruke na helicopter? Kwani kuruka na helicopter hapo ndio muhimu ama kuwafikia wananchi kwa muda mfupi huku jeshi la ardhini likihakikisha lina waunganisha na kukeep in touch!

Tukutane kwenye ile thread pls!

Kuhusu Obama...

Mjifunze pia na kampeni ya jaluo!
Huyu mtu kaanza juzi tu na hakuna anayemjua lakini grassroot movement vimemfikisha hapa alipo!

Ashinde urais ama asishinde tayari ana movement ambayo anaweza kuibadilisha ikawa ya civil rights movement kwa taarifa zenu!

Na hapa wanagwaya wazungu kwasababu hawataki siasa za Martin Luther King za mika ya 60 zirudi!

Haki walizopata weusi hazikuja kwasababu wananchi wa marekani walitaka!

Bali ni baada ya uongozi wa juu kuwekewa presha!(Jim Crowe, the 60's black boycott, rights to vote etc etc)

Hilo tatizo bado liko!


Watu mnaokurupuka na kua analyze siasa za marekani halafu hamjui historia yake ni upotevu wa muda!


Sehemu alizoshinda mama za kibaguzi kama PA wote walipata a strong million votes mama alimzidi kwa kura laki na ushee tu!


Na indiana together with other states ni the same case!

Na ndio maana superdelegates ambao wanajua historia ya marekani wanaona huo ni ushindi mkubwa kwa jaluo na wa kihistoria...Licha ya kwamba ni wazi kuwa hakushinda ila ukaribu wa kura unatosha kwa waelewa!


We unafikiri ni kwanini wao wanaendelea kumpa sapoti Obama huku ni kweli kuwa mama kashinda? Kampeni chafu zilimpa mama tafu!

Siasa za kampeni chafu ziliwawekea Bushi madarakani!

Wamechoshwa na hilo na wanataka wabadili hilo! Kwamba kampeni chafu zisipewe kipaumbele kwani zina distort the thruth na kuleta uwezekano wa kuweka vichaa madarakani!


Tumieni akili ama someni historia! Siasa bila historia ni upungufu wa akili!


Wakongwe wanaojua siasa na historia ya nchi hii wanakubali kuwa wananchi wanavyopiga kura sasa sio neccessarily watakavyopiga kwenye general election!


Mifano mingi ipo kama ya Gore na Bushi mwaka 2000!

Hii ni ku counter balance pointi ya mama kuwa hawa watu wanaojiita White blue color workers hawatampigia kura Obama November!


Pigeni kampeni kwa ushirkiano wa kweli na si unafiki nyie watu wa Chadema na si kubakia kwenye chuki binafsi na siasa hopeless!
 
Wewe endelea kwa kujidanganya eti kura za primary zina reflect kura za uchaguzi mkuu. Novemba 4 mida ya saa tatu EST. FOX News waki-call uchaguzi kwa Mac utajinyea....

Unachanganya mambo fuatilia utajua nilichosema!
 
Hujasema chochote cha maana zaidi ya ushabiki tu. Utaamka ifikapo Nov.4....

Ushabiki?
Mshabiki mimi ama wewe usiyejua unachokisema?

Nyie watu wenye fikra kama hizi ndio mliwauza mababu zetu utumwani!

I aint got time to waste!

Tukutane kwenye jukwaa la kisiasa kujadili mustakabali wa nchi yetu!

Huko ndio penyewe na hakuna ushabiki kwani mawazo ya kitumwa huanikwa!

Hapa si unafunikwa na blanketi la "Siasa za Marekani?"

Njoo kwenye ulingo wa siasa za nyumbani na fikra zako za kibeberu zitagonga mwamba kwenye mijadala yenye kulenga kuisukuma nchi yetu mbele kimaendeleo!

 

Unachekesha unapozungumza lugha kama hii huku ukiwa una enjoy comforts za ughaibuni (kwa mabeberu).....bwahahahahaaaa....Kama kweli una nia ya kuchangia maendeleo ya taifa lako rudi kwenu halafu ndo uanze kuzungumza kama mwanamapinduzi.
 
Unachekesha unapozungumza lugha kama hii huku ukiwa una enjoy comforts za ughaibuni (kwa mabeberu).....bwahahahahaaaa....Kama kweli una nia ya kuchangia maendeleo ya taifa lako rudi kwenu halafu ndo uanze kuzungumza kama mwanamapinduzi.

Nitafanya hivyo nikishamaliza masomo yangu!

Kwa taarifa yako nitaenda kuanzia vijiji,mijini everywhere kukampeni kwa yule nitakayeona ana nia nzuri na sisi!

Naitumia kampeni ya Jaluo kujinoa...We subiri 2010!
Nitaenda kutwangwa na jua kama kawa!
 
Unachekesha unapozungumza lugha kama hii huku ukiwa una enjoy comforts za ughaibuni (kwa mabeberu).....bwahahahahaaaa....Kama kweli una nia ya kuchangia maendeleo ya taifa lako rudi kwenu halafu ndo uanze kuzungumza kama mwanamapinduzi.

Waliotoa "LIST OF SHAME" Wana comfort gani ughaibuni?

Enzi za kina Kambona zimepita..Its the new era where tumekubali kuukumbatia ubepari kwa style yetu maarufu ya "FULL KUJIACHIA"

Tuwe makini tusijiachie hovyo hovyo! Itasadia tusiendelee kuliwa liwa ovyo!

Tunachotakiwa ni kuwapa sapoti wale wenye fikra za kimapinduzi!

WE WILL START AND CONCENTRATE WITH THE NEED FOR CHANGE IN THE US THEN THE REST OF THE WORLD NYANI SO BE WARE!
 

All the best...
 
 

......ukiwa unaenda Bongo kupiga hizo kampeni, holla @ me ili nikutilia vijisenti kama mchango wangu ili kufikia adhima yako!!.

sio Ngabu ati anamchangia HRC buku, wakati Kampeni "imeathirika" na ipo ktk siku za ukingoni!!! bure kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…