US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

Nafikiri Obama angekuwa anajua uchawi angeshawaroga hawa Fox News🙂 Eee bwana wanamuua, hadi nimechoka na wanajua spinning hawa jamaa. Nimewakubali kwa hilo.

Hivi Fox News inaangaliwa kwa kiasi gani, kama ina waangaliaji wengi ni mauaji kwa Obama, poleni sana jamaa maana huu ni msiba kwenu, inabidi niwahurumie japokuwa kimoyomoyo nachekelea!

inaangaliwa sana kwenye "red states" huko south, audiance yake ni almost sawa na ile ya limbaugh! kuna kipindi baada ya Bush ku-win his first term ilikuwa ni number one channel mbele ya CNN na MSNBC......inaonyesha kwamba watu wamechoka na tactics zao, wanapotosha sana ukweli!!.
 
inaangaliwa sana kwenye "red states" huko south, audiance yake ni almost sawa na ile ya limbaugh! kuna kipindi baada ya Bush ku-win his first term ilikuwa ni number one channel mbele ya CNN na MSNBC......inaonyesha kwamba watu wamechoka na tactics zao, wanapotosha sana ukweli!!.

Ongea ukweli wewe na acha ushabiki! Fox news inatesa kila mahali. Halafu hii ya kusema ni red states tu unakuwa unapotosha. Hapa Georgia wanaangalia pia CNN (home state network). Hata ukienda Alabama, Tennessee, North and South Kakilak...kote huko CNN inapendeka. Kiri tu ukweli kwamba FOX wanatesa across the board.....kwani hapo hospitalini kwenu TV mmezityuni kwenye chanel gani...Fox news? Lol
 
Kitendo cha FOX news kukaa kwenye kanisa la OBAMA leo ni kitendo cha kinazi...
 
Ongea ukweli wewe na acha ushabiki! Fox news inatesa kila mahali. Halafu hii ya kusema ni red states tu unakuwa unapotosha. Hapa Georgia wanaangalia pia CNN (home state network). Hata ukienda Alabama, Tennessee, North and South Kakilak...kote huko CNN inapendeka. Kiri tu ukweli kwamba FOX wanatesa across the board.....kwani hapo hospitalini kwenu TV mmezityuni kwenye chanel gani...Fox news? Lol

seriously, nimefanyakazi na clinical rotations ktk 'spitali zaidi ya kumi hapa Mass.....karibu zote zina CNN tu, wanadai kwamba Fix News inatisha wagonjwa!!! LOL.....hata hapo "Big Apple" ambayo ndio home state ya Fix News, haina ushabiki kabisa compared na huko kwenu swekeni kwa ma-red necks na wala ugolo!! I hate fix news.
 
Simtetei Obama wala yeyote yule anayejikuta katika kanisa au sinagogi lenye itikadi tata au wachungaji / viongozi tata. Ijulikane tu kwamba japo kweli makanisa au madhehebu mengi kiasasi ni sehemu ya watu kuunganika na kumtukuza Mungu au kusali, bado hiyo haiyaondolei udhaifu wa kibinadamu ndai yake, kwani yanaongozwa na watu wenye udhaifu wao wa kibinadamu. Hata zile itikadi zake zimeundwa na watu, japo wengi kwa kisingizio cha kuongozwa na uvuvio au maono ya kimungu.
Hivyo kuyakimbia makanisa au kuhamahama kamwe haitakuwa utatuzi wa busara. Hatima ya mtazamo wa kuyakimbia makanisa ni ama kuanzisha lako mwenyewe au kuishia kuwa ama non-deniminational (actually ni aina ya denimination pia!) au atheist (kama ukikata tamaa). Sidhani kama Obama ni mtu wa aina hiyo kwa kiasi ninachomfahamu. He is definitely above that. Na amiishaiwekawazi hiyo, kwamba hawezi kuliacha kanisa lake.
Lakini madamu haya ni mambo ya kisiasa na ukishajiweka katika kurunzi la siasa utegemee mambo hayo, sishangai!!
 
seriously, nimefanyakazi na clinical rotations ktk 'spitali zaidi ya kumi hapa Mass.....karibu zote zina CNN tu, wanadai kwamba Fix News inatisha wagonjwa!!! LOL.....hata hapo "Big Apple" ambayo ndio home state ya Fix News, haina ushabiki kabisa compared na huko kwenu swekeni kwa ma-red necks na wala ugolo!! I hate fix news.

Nyumbani kwangu ni marufuku kuangalia MSNBC au CNN....
 
Nyumbani kwangu ni marufuku kuangalia MSNBC au CNN....

hivi bongo sheria zinaruhusu kuanzisha TV au redio itakayo peperusha matangazo nchi nzima!!?? kama yes, basi hapo ndipo pa kuwamwaga sisiemu......dawa ni kuanzisha moja yenye attitude za ki-fix newz, na kuwa hammer 24/7!! kama sheria haziruhusu basi hiyo ndio nadhani iwe fight kubwa ya upinziani bungeni ili sheria hiyo ipitishwe.....
 
hivi bongo sheria zinaruhusu kuanzisha TV au redio itakayo peperusha matangazo nchi nzima!!?? kama yes, basi hapo ndipo pa kuwamwaga sisiemu......dawa ni kuanzisha moja yenye attitude za ki-fix newz, na kuwa hammer 24/7!! kama sheria haziruhusu basi hiyo ndio nadhani iwe fight kubwa ya upinziani bungeni ili sheria hiyo ipitishwe.....

Kumbe unakubali majamaa yako effective eeehhh...lol!!
 
Kumbe unakubali majamaa yako effective eeehhh...lol!!

ukiwa unakubaliana nao yes wapo effective, vinginevyo ni mijitu ya hovyo tu!!

unajua hata nchi nyingi za afrika ambazo upinzani umefanya vizuri, ni kwamba wana vyombo vya habari hasa redio ambazo ni za nchi nzima!! nakumbuka 1998, nilienda Zambia nikakuta kituo flani cha redio pale downtown Lusaka kimepigwa kiberiti na Chiluba...kisa, jamaa walikuwa wanamfanyizia kama hawa akili nzuri. hata hivyo nadhani hatima yake unaijua!! kwikwikwikwi.
mie, nadhani tu-push hii idea ya kuanzisha redio nchi nzima.....tu brainstorm hapa tuone feasibility yake, ama sivyo sisiemu watakuwa madarakani mpaka siku ya kiama.
tatizo wajua, magazeti hayafiki vijijini na ni rahisi kuyafanyia ufisadi, lakini redio mmmmh... hiyo ni another monster!! wakati nikiwa bongo, kuna karedio flani hivi ka kanisa katoliki(kama sikosei) nilikuwa nakazimia sana, kalikuwa na father mmoja mzungu kama mtangazaji mara moja moja..je bado kapo??

kenya asilimia zaidi ya 80 ya raia wanasoma na kufikiwa na magazeti, je tanzania ni ngapi??
 
Basi bwana kama Fox News inashika hata nambi mbili kwa ukubwa wa audience ni mauaji makubwa kwa Obama. Katika kusikiliza hoja kuhusu huyu mchungaji wa Obama sikuwahi kuona jinsi hoja ilivyojengwa na jambo hili likaonekana baya kwa kiwango alichoonyesha yule O'Really Factor. Mbaya zaidi jamaa wanasema walimualika Obama kwenda kwenye kipindi chao bado ameshindwa ku-respond-tena wamehasababu miezi, wiki, siku,masaa, dakika hadi sekunde zilizopita tangu wamwalike. Kama unataka kujua namna ya ku-spin basi inabidi mtu uende kwa hawa jamaa.
 
ukiwa unakubaliana nao yes wapo effective, vinginevyo ni mijitu ya hovyo tu!!

unajua hata nchi nyingi za afrika ambazo upinzani umefanya vizuri, ni kwamba wana vyombo vya habari hasa redio ambazo ni za nchi nzima!! nakumbuka 1998, nilienda Zambia nikakuta kituo flani cha redio pale downtown Lusaka kimepigwa kiberiti na Chiluba...kisa, jamaa walikuwa wanamfanyizia kama hawa akili nzuri. hata hivyo nadhani hatima yake unaijua!! kwikwikwikwi.
mie, nadhani tu-push hii idea ya kuanzisha redio nchi nzima.....tu brainstorm hapa tuone feasibility yake, ama sivyo sisiemu watakuwa madarakani mpaka siku ya kiama.
tatizo wajua, magazeti hayafiki vijijini na ni rahisi kuyafanyia ufisadi, lakini redio mmmmh... hiyo ni another monster!! wakati nikiwa bongo, kuna karedio flani hivi ka kanisa katoliki(kama sikosei) nilikuwa nakazimia sana, kalikuwa na father mmoja mzungu kama mtangazaji mara moja moja..je bado kapo??

kenya asilimia zaidi ya 80 ya raia wanasoma na kufikiwa na magazeti, je tanzania ni ngapi??

I couldn't agree with you more. Kwa kweli kama vyombo vyetu vya habari vitaendelea kuwa hivi tulivyo navyo mchana kutwa usiku kucha ndombolo hata vinaishia pale Kibaha tusahaue kuwatoa CCM. Kibaya zaidi, vyombo vingi ambavyo vinaonekana serious vipo sympathetic na CCM au vinamilikiwa na maguru wa CCM. Tazama IPP media ambayo nafikiri ndiyo yenye mtandao mpana zaidi, tazama Radio Free Africa na TV Star, tazama Radio Clouds, wote hawa bado wanaona CCM ni mjomba wao. Tunahitaji tuwashawishe akina Mwanakijiji wapeleke radio zao kwa wananchi huko vijijini.
 
Basi bwana kama Fox News inashika hata nambi mbili kwa ukubwa wa audience ni mauaji makubwa kwa Obama. Katika kusikiliza hoja kuhusu huyu mchungaji wa Obama sikuwahi kuona jinsi hoja ilivyojengwa na jambo hili likaonekana baya kwa kiwango alichoonyesha yule O'Really Factor. Mbaya zaidi jamaa wanasema walimualika Obama kwenda kwenye kipindi chao bado ameshindwa ku-respond-tena wamehasababu miezi, wiki, siku,masaa, dakika hadi sekunde zilizopita tangu wamwalike. Kama unataka kujua namna ya ku-spin basi inabidi mtu uende kwa hawa jamaa.

hamna kitu, majority na kama sio wote, wasikilizaji wa fix news hawatavote Obama.....kwahiyo ni sawa tu kuwa ignore!!.
 
Basi bwana kama Fox News inashika hata nambi mbili kwa ukubwa wa audience ni mauaji makubwa kwa Obama. Katika kusikiliza hoja kuhusu huyu mchungaji wa Obama sikuwahi kuona jinsi hoja ilivyojengwa na jambo hili likaonekana baya kwa kiwango alichoonyesha yule O'Really Factor. Mbaya zaidi jamaa wanasema walimualika Obama kwenda kwenye kipindi chao bado ameshindwa ku-respond-tena wamehasababu miezi, wiki, siku,masaa, dakika hadi sekunde zilizopita tangu wamwalike. Kama unataka kujua namna ya ku-spin basi inabidi mtu uende kwa hawa jamaa.

Haya majamaa ya FOX ni kiboko bwana. Na hayashiki namba mbili au tatu. Yako namba moja. Bila yenyewe hii ishu ya Wright ingekuwa pumba tu!!
 
Haya majamaa ya FOX ni kiboko bwana. Na hayashiki namba mbili au tatu. Yako namba moja. Bila yenyewe hii ishu ya Wright ingekuwa pumba tu!!

mzee,
8pm ni Keith ndio anatesa, 9pm sina uhakika lakini Larry King hakuna mtu anayeangalia kihivyo siku hizi, hivyo H&C wanaweza kuwa namba one.....mitaa ya 4pm mpaka 7pm CNN zile "situation room" by Wolf Blitzer na Jeff Caferty na Yule mpuuzi Lou Dobbs na Kate Pilgrim wanafanya vizuri!!
mwisho wa siku major 24/7 news networks zipo kama balanced flani......na overall fix news imepungua umaarufu compared na wakati wa peak yake 2000-2004. kisa namba moja ni iraq war, walishadadia na vita nzima imefail, pili, bush administration kiujumla imekuwa disappointment kwa conservatives across the board, tatu, watu wamechoka na "no spin zones" ambazo hazi-exist, na mwisho, ni kwamba walikuwa hawapati counter lakini siku hizi MSNBC wamewatolea macho hasa Keith na Dan Abrams wa Verdict........so fix news inatamba huko huko kwa wapeperusha confederate flags!!.
 
mzee,
8pm ni Keith ndio anatesa, 9pm sina uhakika lakini Larry King hakuna mtu anayeangalia kihivyo siku hizi, hivyo H&C wanaweza kuwa namba one.....mitaa ya 4pm mpaka 7pm CNN zile "situation room" by Wolf Blitzer na Jeff Caferty na Yule mpuuzi Lou Dobbs na Kate Pilgrim wanafanya vizuri!!
mwisho wa siku major 24/7 news networks zipo kama balanced flani......na overall fix news imepungua umaarufu compared na wakati wa peak yake 2000-2004. kisa namba moja ni iraq war, walishadadia na vita nzima imefail, pili, bush administration kiujumla imekuwa disappointment kwa conservatives across the board, tatu, watu wamechoka na "no spin zones" ambazo hazi-exist, na mwisho, ni kwamba walikuwa hawapati counter lakini siku hizi MSNBC wamewatolea macho hasa Keith na Dan Abrams wa Verdict........so fix news inatamba huko huko kwa wapeperusha confederate flags!!.

Toka zako hapa wewe...kama huyo Keith anatesa mbona kila siku anamsakama Bill O? Mtu ambaye anatesa kwa nini afanye hivyo? If anything basi ingekuwa Bill O ndio anayemsakama Keith kwa sababu anataka ampiku. You make absolutely no sense. Kweye 8PM hour Bill O ndio anatesa. Check your Nielsen ratings
 
No more kitchen sink stratergy!

Kama mama anashindwa ku uphold basic rules za chama chake ataweza kweli kuhandle haki nzito za waamerica kama zilivyokuwa analysed katika constitution?.

Kama mama anabadilisha misimamo kila kukicha ,mara nafta kasema hivi ghafla kabadirika anasema kile, iraq nayo mara kaunga mkono, mara kapinga, kweli huyu ataweza kusimamia agreement nzito za kimataifa?
 
Kitila ,


Lazima ujue ya kuwa siasa ina change kutokana na muda , hakuna mtu yeyote anayejua nini kitatokea . Tuna miezi kama nane kufikia uchaguzi kwa hiyo kusema Obama atamalizwa na FOX ni premature . Watu hawavote base kwenye issue moja tuu , zaidi hatujui Mccain kama Mccain atakosea tena kujua tofauti za Sunni na Shiite kwa sababu jamaa ni 71 yrs old.

Hii race bado ni mbichi sana , kama FOX kweli ni mabingwa kwa nini walishindwa kuspi 2006 wakati waliposhindwa vibaya na democrats?
 
Kitila ,


Lazima ujue ya kuwa siasa ina change kutokana na muda , hakuna mtu yeyote anayejua nini kitatokea . Tuna miezi kama nane kufikia uchaguzi kwa hiyo kusema Obama atamalizwa na FOX ni premature . Watu hawavote base kwenye issue moja tuu , zaidi hatujui Mccain kama Mccain atakosea tena kujua tofauti za Sunni na Shiite kwa sababu jamaa ni 71 yrs old.

Hii race bado ni mbichi sana , kama FOX kweli ni mabingwa kwa nini walishindwa kuspi 2006 wakati waliposhindwa vibaya na democrats?

Sasa hii ndio tunaita gross exaggeration of titanic proportions!!! Hebu angalia senate halafu uniambie Democrats ni wangapi na Repulicans ni wangapi na Independents ni wangapi halafu ulinganishe na statement yako ya "2006 wakati waliposhindwa vibaya na democrats" halafu niambie kama kuna vinalingana. Karibu na wewe nitakuweka kwenye kundi moja na rafiki yangu Yourname katika kundi la wanywa gongo!!!
 
Sasa hii ndio tunaita gross exaggeration of titanic proportions!!! Hebu angalia senate halafu uniambie Democrats ni wangapi na Repulicans ni wangapi na Independents ni wangapi halafu ulinganishe na statement yako ya "2006 wakati waliposhindwa vibaya na democrats" halafu niambie kama kuna vinalingana. Karibu na wewe nitakuweka kwenye kundi moja na rafiki yangu Yourname katika kundi la wanywa gongo!!!
Hawa wajamaa sio wanywa gongo wala nini..Ni kweli uchaguzi wa 2006 Democrats waliwabwaga Marepablikan kinoma na hivyo kuwashtusha na wengine kuanza kupinga vita vya iraq ili walau wapate tukura twa kuweza kuwarudisha madarakani!Umeona mifano ya kina Ron Paul ambao walikuwa na support ya young/educated and economy conservatives ambao walimpa kiburi kwa mamilioni ya pesa waliokuwa wakimchangia na ambayo bado wananendelea kumchangia kupitia mitandao!Kwa kumalizia nyani..angalia mifano mingi tu ambapo Bush hivi sasa amekuwa branded "lame duck" and the only thing he upholds and depends on as his last defense is the "veto"Mfano mkubwa ni issue ya makampuni ya simu ambayo inaelekea kuwa atai veto!Na kikubwa zaidi pia kilichowafanya washindwe uchaguzi wa 2006 was iraqi war!Na hivi sasa inaelekea tunarudi 2006 na media imeamua kurudi na kuanza kubroadcast war na kuilink na economy ambayo ni miserable na jaluo anasema its in "shambles"Na sasa jana likuwa ndio milestones a 4000 troops dead huko iraqi!economy ndio issue namba one hivi sasa lakini ujumuishwaji wa uchumi na vita huku habari za vita zikiendelea kuletwa ni wazi jaluo atakuwa favored!
 
Back
Top Bottom