ame admit nini?? hajasema kwamba alikuwepo wakati Wright anafanya zile comments kwasababu hakuwepo!! ila ameshawahi kumsikia Wright akifanya comments ambazo yeye hakubaliani nazo.
hata mimi growing up back in TZ, nimeshasikia sheikh wangu msikitini akitoa maneno ambayo sikubaliani nayo!! nani hapa anakubaliana na Pastor wake au Sheikh wake kwa asilimia 100!!????
inashangaza kwamba NN una-distort facts kwa makusudi!! huu mjadala utakuwa kama ile ya kule kwa kina MKJJ, Kadampinzani, MWK na kina Kubwajinga!!!
Hamna haja ya kupotoshana, kwani ukisema jamaa exactly alichosema na kumaanisha, utapungukiwa na nini??....i mean c'mon, man.
.....it's as impossible to convince Pat Buchanan as it is to convince Nyani Ngabu!!
Jamaa kawa rigid na mwenye mawazo mgando(Nyani Ngabu), loosen up a lil' bit or take a chill pill...negativity itakusababishia peptic ulcers!! LOL.
Game Theory,
..Hotuba nzuri sana.You always expect that from Obama.
..Nimeona kuna matatizo mawili yanaweza kujitokeza hapa.
..Tatizo la kwanza, Barack anafikiri mahusiano yake na Pastor Wright, ni sawa na mahusiano yake na Bibi Mzaa Mama yake.
..Tatizo la pili, Barack amegeuka na kudai alimsikia Pastor Wright akitamka maneno machafu ya kibaguzi. Mwanzo alidai kwamba hakuwahi kumsikia!!
..Hii hotuba itakuwa imewapoza Democrats na watampa nomination. Lakini sijui kama Republicans hawatakuja kumuandama wakati wa General Elections.
ebwana hivi hizi speech jamaa anazitoa kichwani au kuna mechanism fulani fulani?.
Did I ever hear him make remarks that could be considered controversial while I sat in church? Yes
Elezea hiyo maana iko wazi kabisa.
Kwani hukumuona anatoa kichwani ? Yule ni mtoto wa East Africa kama Mwalimu vile hajawahi kusoma hotuba katika maisha yake .
Speech ni za kusoma kwenye Teleprompter ingawa anasema mara nyingi anaziandika mwenyewe.
Mazee Geeque kumbe uko online?
Naomba sana uweke bolingo angalau kwa nusu sasa maana kuanzia asubuhi mimi nasikiliza bongoradio na nasikia hiphop tu! hili ni ombi tu mkuu!
Gamba la Nyoka said:ebwana hivi hizi speech jamaa anazitoa kichwani au kuna mechanism fulani fulani?.
Hakuna noma kabisa Mwafrika wa kike nitaweka session ya Bolingo ili wapenzi wa Soukous mpate mambo matamu pia.
Asante sana mkuu na samahani wachangiaji kwa kuwatoa kidogo kwenye mada ya Obama.
wana JF msikose kusikiliza the best african radio on the net right now ---- bongo radio ---- wakati mwingine frustration za talk radio shows za America zinaweza kuwafanya mchanganyikiwe.
Take break na bongo radio kisha endelea na thread ya Obama only at Jambo forums - the best African forum on the planet!
....nimeshaelezea huko juu!! ameshawahi kusikia vitu ambavyo hakubaliani navyo toka kwa Pastor huyu ambavyo sivyo exactly vinavyooneshwa kwenye TV!! Hakuna mtu anayekubaliana na mtu mwingine kwa asilimia 100....simpo, sasa longolongo la nini hapa??
speech ipo kwenye league ya kina "i have a dream," and co!! give the poor guy some credit, amejitahidi na watu watakuwa sympathetic na views zake.