Rufiji
Platinum Member
- Jun 18, 2006
- 1,938
- 1,111
Lakini wazee Marekani inaelekea pabaya , Yaani nchi hiko kwenye recession , Dollar inashuka thamani kama Peso ...Media zote zinazungumzia Obama's pastor .
Kwanza walisema jamaa ni muislamu sasa jamaa ni mkristo...Hivi kweli inamke sense kwa Obama kuwachukia wazungu wakati mzazi pekee aliyemlea ni mzungu .
Kwanza walisema jamaa ni muislamu sasa jamaa ni mkristo...Hivi kweli inamke sense kwa Obama kuwachukia wazungu wakati mzazi pekee aliyemlea ni mzungu .