Hii issue haiendi popote,na hakuna disaster wala nini,watakao mpigia kura obama watampigia na wa mccain na clinton ni hivyo hivyo tuu,ila ujinga wa mtu mwingine ndio obama awe responsible will never happen labda angekuwa kwenye campaign yake,wote tuna pastors wanaongea vitu crazy huwezi amini lakini ndio uache kwenda church? republican will never win WH na hii Economy labda kama americans wamechanganyikiwa na weusi wamegoma kuvote..na clinton will never win WH kama akiendelea na backdoor deals zake za kulazimisha mambo na kutumia issue kama hizi za church(glad bado yupo kimya na hii),weusi they have nothing to loose watakao loose ni Democrats ambao ni hao hao wazungu na kuendelea kusuffer na Republican policy,crazy pastors wa Republican kuanzia Hagee,Pasley ni washenzi kuliko huyo Wright na wako mbele kurise millions za Republicans na hakuna kitu...Bush 2000 alienda liberty University chuo kinachojulikna kwa ubaguzi lakini what happened? makelele tuu na hakuna kilichotokea na alishinda uchaguzi,Obama afanye alichofanya lakini isimwumize sana kichwa maana watakao mpa watampa na wala hawatamnyima kwa issue ya kijinga kama hii ambayo sio yeye aliyesema na wala haamini huo upuuzi.