Ole
JF-Expert Member
- Dec 16, 2006
- 2,157
- 979
Jukwaa la Siasa Tanzania.Nyani Ngabu said:Mimi napinga hii mada kuhamishwa. Kwa nini mmeihamisha wakati ni ya siasa?
Jukwaa la Siasa Tanzania.Nyani Ngabu said:Mimi napinga hii mada kuhamishwa. Kwa nini mmeihamisha wakati ni ya siasa?
Mimi napinga hii mada kuhamishwa. Kwa nini mmeihamisha wakati ni ya siasa?
Jukwaa la Siasa Tanzania.
hiyo battle ya kuhamishwa kwa hii mada haina mpango, hata ikipelekwa kwenye udaku ni sawa tu kwani bottomline sie tupo hapa tuna badilishana mawazo bila bughuza kwa mtu yeyote.
nimeamua kuangalia H & C,kuona ni chepi kipya huyo "legendary journalist the greatest Sean Hannity" ana nini kipya, zaidi ya same ol' biased rhetoric!!.
Hannity anashusha vitu si mchezo. Kaka karibu na wewe utakuwa hannitized...lol. But seriously, this is not a good look for Obama especially when he has been questioning Mama's judgement.
YournameisMINE,
Nakubalina na wewe Hannity hana kitu , yuko too shallow amekuwa kama kasuku anarudia maswali yale yale tu..
YournameisMINE,
Nakubalina na wewe Hannity hana kitu , yuko too shallow amekuwa kama kasuku anarudia maswali yale yale tu..
Sasa mbona Obama hajakubali kuhojiwa naye kama yuko mtupu...?
hivi wewe unaweza ku-reason kitu chochote na sean?? Major Garret(ex-CNN), Sheperd Smith na Bill Hammer(ex-CNN) ndio kwa mawazo yangu maripota makini pekee wa Fix News.......yes, I said so na hii sio off the record!!.
Obama kadanganya wazi wazi
Atasemaje hakujua mchungaji wake aliyokuwa akiyahubiri huku siku ya kutangaza kwake kugombea akamwamwomba sionekane naye jukwaani kwa sababu huwa anasema mambo ya uchochezi? Huu ni uwongo na atalipa kwa uongo wake
..........amen!!
Jukwaa la Siasa Tanzania.
Bwahahahahahahaaaaa....Obama aka Osama ana mengi ya kujibu. He doesn't sound believable at all. Eti hakujua...hakujua my ass!!! What a lame excuse. He better fess up to it and face the consequences...
Obama kadanganya wazi wazi
Atasemaje hakujua mchungaji wake aliyokuwa akiyahubiri huku siku ya kutangaza kwake kugombea akamwamwomba sionekane naye jukwaani kwa sababu huwa anasema mambo ya uchochezi? Huu ni uwongo na atalipa kwa uongo wake
Credibility credibility credibility....hana credibility kabisa!! Huwezi ukawa muumini kwa miaka yote hiyo bila kujua misimamo ya mchungaji wako!! Kajitia kitanzi mwenyewe.
kwa sababu zipi hii mada imehamishwa???
Mods.....please explain!!
Tatizo sio hilo bali unaonekana wazi uko bored na huna la kufanya
Hii thread ilikuwa kwenye siasa for how long? Why now?
au basi saa zingine huwa unatafuta ubaya na watu tu