US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

Hmmm..metrosexual huh..!?! Okay...I'll leave that one alone.

Nani aliangalia Hannity and Colmes jana? When you hear what goes on in Barack Obama's church you won't believe it!!

......nini kinachotokea? maana najua hakuna mtu hapa zaidi yako anayepoteza muda kuangalia au kusikiliza sean and/or allan!!.
 
aisee nimeona hapa kwenye cnn kwamba frolida na michigan wata revote in june, na kwamba kuvote kwa kutumia mail kumo katika ajenda, hivi jaluo atapona kweli hapo?. maana nahofia kamchezo ka kiaina kuchwezwa hapo
 
Ehee, sikujua kama mambo ni makubwa hivi. Kwa kweli huyu "Rais" Barack Obama atawasaidia sana weusi huko America. God damn America!

seems intellectual capacity inaelekea south na kama unaweza fall into that BS propaganda from Hannity mungu akusaidie tuu.
 
seems intellectual capacity inaelekea south na kama unaweza fall into that BS propaganda from Hannity mungu akusaidie tuu.

si ndio hapo, mie hata siwezi kupoteza muda wangu kuangalia link kama hiyo au kusikiliza chochote toka kwa sean hannity...............mkuu Keith Olberman, anawaita Fox, FIX NEWZ CHANNEL na kila siku lazima atleast mmoja wao atakuwamo ktk worst person of the day!!.
 
si ndio hapo, mie hata siwezi kupoteza muda wangu kuangalia link kama hiyo au kusikiliza chochote toka kwa sean hannity...............mkuu Keith Olberman, anawaita Fox, FIX NEWZ CHANNEL na kila siku lazima atleast mmoja wao atakuwamo ktk worst person of the day!!.

Kitu kizuri kuhusu maoni na mimi ninaweza kusema kitu hicho hicho kuhusu nyinyi.....kwikwikwiiii
 
Mama Pelosi naona she knows something that we don't?
The Democratic presidential ticket will be a "Dream Team," Nancy Pelosi said Thursday, it just won’t have both Hillary Clinton and Barack Obama's name on it.

Speaking to reporters on Capitol Hill, the House Speaker reiterated comments she made earlier in the week that the two presidential candidates will not end up sharing a ticket.

"I do think we will have a dream team, it just won't be those two names," She said. "Whoever our nominee is and whoever he or she is and whoever he or she chooses, will be a dream team as the Democrats go forward.”

When pressed further about the possibility of a joint ticket, Pelosi stated flatly, "Take it from me, that won't be the ticket."

The comments echoed remarks the Speaker made Tuesday, when she emphatically told a Boston television station that a joint ticket with Clinton and Obama is "impossible."

"I think that ticket either way is impossible," she said. "I think that the Clinton administration has fairly ruled that out by proclaiming that Senator McCain would be a better commander-in-Chief than Obama."

Pelosi’s remarks came a day after Obama mocked Clinton and her campaign surrogates for raising the implication he would make a good vice president.

"With all due respect, I won twice as many states as Sen. Clinton. I've won more of the popular vote than Sen. Clinton. I have more delegates than Sen. Clinton. So, I don't know how somebody who's in second place is offering vice presidency to the person who's in first place," he said at a campaign event in Mississippi.
http://politicalticker.blogs.cnn.com/2008/03/13/pelosi-again-rules-out-joint-ticket/
 
THANK YOU KEITH OLBERMANN For last night. I miss you when you were a guest on Dan Patrick Show at ESPN.
Here is why namshukuru Keith. Watu weusi wanapompigia kura mgombea mweupe..eg when Democrats collects votes from African American voters no-one even question's it. When "white women" wa zaidi za miaka 60 wakimpigia kura Senator wa NY hakuna anaye act kama ni anything special. Kwa sababu ndivyo inavyotegemewa iwe au ndivyo tulivyokuwa conditioned kuamini kuwa ndivyo inavyotakiwa iwe. Lakini weusi (African Americans) wakimpigia kura Obama..WOW..Ooh unasikia rants.."He's winning kwa sababu ya African American votes" Oooh..this or that..Mara "Even Jesse Jackson won South Carolina"..Mara "Mississippi its not a big deal..Barack will win because of Black people." You see the double standard I am trying to show here?
 

Attachments

  • thumb-stop.jpg
    thumb-stop.jpg
    15.5 KB · Views: 30
Sijawahi kuona mtu shallow kama Sean Hannity . Uchumi wa marekani huko katika hali mbaya , Dollar imekuwa kama Peso ya Mexico yeye anaongelea issue noja tuu Mchungaji wa kanisa la Obama ....Namkubali Michael Savage ingawaje saa nyingine yuko too extreme .Swali ninalojiuliza ni kuwa utawezaje kufight war on Terror bila strong economy?
 
Back
Top Bottom