Kesho naelekea Nanjinjiri Kilwa,shauri lako hiyo mimba ikihamia tumboni mwako.
yaani siku ukiniona utakufaje mbavu?? za mkono wa kushoto zipo zipo! ila za mkono wa kulia ni balaa nimekula nimemaliza, kiruwa nahitaji maombi!cacico hako kaugonjwa ka kula kucha nilikuwa nako enzi za primary bt nlikuwa nachukia naweka mkakati wa kuacha na kweli nliacha saiv kucha zangu nzurije afu huwa sizipaki rangi wee utantamanije?
yaani siku ukiniona utakufaje mbavu?? za mkono wa kushoto zipo zipo! ila za mkono wa kulia ni balaa nimekula nimemaliza, kiruwa nahitaji maombi!
aiseeeee! :bolt::spy:
nazipenda zilivyo ili zinipe nafasi kujisafisha ipasavyo! lol, za mkono wa kushoto zipo sizili, ila za kulia cjui ka naweza kuacha!bi dada jaribu kuvaa nail bot,
huwa inazuia kwa asilimia 75 kuweza kula kucha zako.
Me nilijaribu ila sasa nimezoea.
nazipenda zilivyo ili zinipe nafasi kujisafisha ipasavyo! lol, za mkono wa kushoto zipo sizili, ila za kulia cjui ka naweza kuacha!
Nasikia kijacho kitundu kaa baba'ake....kinarusha mateke na fran'kiki kaa Jek Cheni...teh teh teh
Huogopi eh?
Nyie kinamama wa humu ndani mbona hamnijibu lakini,nimekuulizeni hivi niniliyu zenu mkizi prune mnajuaje kama veet ni fekiau orijino?
yaani siku ukiniona utakufaje mbavu?? za mkono wa kushoto zipo zipo! ila za mkono wa kulia ni balaa nimekula nimemaliza, kiruwa nahitaji maombi!
Nyie kinamama wa humu ndani mbona hamnijibu lakini,nimekuulizeni hivi niniliyu zenu mkizi prune mnajuaje kama veet ni fekiau orijino?
nazipenda zilivyo ili zinipe nafasi kujisafisha ipasavyo! lol, za mkono wa kushoto zipo sizili, ila za kulia cjui ka naweza kuacha!
ticha....hapa nazungumzia vile vitu ambavyo ni vya kawaida sana ambavyo kila msichana anayejipenda anatumia......binafsi zaidi ya weave....sibandiki chochote.....ila mapouda, perfume nk hivyo natupia.....
I will marry you!!dah urembo una raha yake ukijipatia.
Ubaya mie huwa sijali sana fake au orijino, mradi nimelipuka na nikaridhika.
Weaving si mtumiaji saaana ila siku nikitumia halizidi Tsh elfu kumi, sioni kama kuna orijino weave maana nywele orijino ni ulizozaliwa nazo.
Mafuta/lotion napaka chochote mradi isiwe kali, kuanzia baby care ya tshs mia mbili na kuendelea.
Sipaki enjo fesi sijui foundation, ila powder napaka kuanzia vestline, kiku, ponds etc.
Mdomo napaka nao chochote, ila warning lazima kiendane na lips vingine vinafanya lips zinakuwa kama za mvuta sigara (crunchy)