Urembo Corner

yani mimi ndo sijui kabisaa,mbivu na mbichi ni ipi labda sbb siyo mtumiaji kivile......
 
Mac original normal has code which normal start with T and box lake once your opening it has a sign of back 2 back!! And the cake can not brake even if you through it down!unless you do it so hard!

asante.....anything about lipstick.....?
 
Waswahili wanasema "Mzuri hajipambi" wakimaanisha kuwa kama wewe mzuri huna haja ya kujipamba. Naamini Preta na wadau wengine humu jamvini ni wazuri sana, sasa hivi vitu vya kujipambia vya kazi gani?

Ili upunguze uwezekano wa kutumia vitu fake, ni muhimu kupunguza idadi ya vitu unavyotumia kwenye urembo.

Kucha bandia, nywele bandia, kope bandia, "macho" bandia, vyote vinaweza kuepukwa kwa kuanzia.

ticha....hapa nazungumzia vile vitu ambavyo ni vya kawaida sana ambavyo kila msichana anayejipenda anatumia......binafsi zaidi ya weave....sibandiki chochote.....ila mapouda, perfume nk hivyo natupia.....
 
Last edited by a moderator:
Mac original normal has code which normal start with T and box lake once your opening it has a sign of back 2 back!! And the cake can not brake even if you through it down!unless you do it so hard!

Foundation nyingi huwa hazikai vizuri ukipaka mchana iwe original au fake Je Mac ukipaka mchana inakuwaje...?nidadavulie kidogo.
 
Preta, kwa upande wa lotion huwa napaka light lotion ambayo haina chemical kali kwan ngoz yangu ni sensitive sana. kama rubby, revlon na razak, make ups nlishawah kupakwa 1 tym tena kwa kulazimishwa couz nlikuwa nasimamia harus, foundation ndo kabisa hata ukiweka mbele yangu kama cjasoma jina cwez kuitambua. . . body spray ni zile za kawaida za smart na rasasi ndo natumia. deodrant natumia nivea. hvo ndo vitu ninavyoapply kila cku/ninavotumia.
 
Last edited by a moderator:
Preta, kwa upande wa lotion huwa napaka light lotion ambayo haina chemical kali kwan ngoz yangu ni sensitive sana. kama rubby, revlon na razak, make ups nlishawah kupakwa 1 tym tena kwa kulazimishwa couz nlikuwa nasimamia harus, foundation ndo kabisa hata ukiweka mbele yangu kama cjasoma jina cwez kuitambua. . . body spray ni zile za kawaida za smart na rasasi ndo natumia. deodrant natumia nivea. hvo ndo vitu ninavyoapply kila cku/ninavotumia.
 
Last edited by a moderator:
kucha zangu nimekulaje sasa?? navipakaga rangi lakini! napaka ponds powder na wanja, na mac lipshin least nanunuaga pale shear illusion mlimani city, basi my dear! nywele zangu ni always natural, basi ndiyo hivyo, ila ikifika dec wakati nakwenda ukweni huwa atleast nalipuka kidogo, nashonea weaving fupi, pale kwa sandra msasani, ndiyo hivyo tu Preta, ofkoz perfumues naspray na body spray a do apply.
 
Last edited by a moderator:
cacico hako kaugonjwa ka kula kucha nilikuwa nako enzi za primary bt nlikuwa nachukia naweka mkakati wa kuacha na kweli nliacha saiv kucha zangu nzurije afu huwa sizipaki rangi wee utantamanije?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom