Urembo Corner

Ha ha ha ha, ushapiga bajeti ya urembo kwa mwezi ni Tshs. 11, 250/=
Lazima nikurudishie ujana wako na bikra yako wallah. Unaikumbukia enzi zako?

m.jpg
 
Waswahili wanasema "Mzuri hajipambi" wakimaanisha kuwa kama wewe mzuri huna haja ya kujipamba. Naamini Preta na wadau wengine humu jamvini ni wazuri sana, sasa hivi vitu vya kujipambia vya kazi gani?

Ili upunguze uwezekano wa kutumia vitu fake, ni muhimu kupunguza idadi ya vitu unavyotumia kwenye urembo.

Kucha bandia, nywele bandia, kope bandia, "macho" bandia, vyote vinaweza kuepukwa kwa kuanzia.

Mwanamke anapo jipamba haina maana kama yeye sio mzuri hapana ,cha muhimi ni kujua tu kujipamba kwa usahihi.
Pia watu wengi huwa wanamtazamo hasi wanaposikia make up,mtu akisikia make up anapata picture ya mwanamke amepaka eye shadow za kijani,blue,silver,mashavuni kaweka pink,lipstick nyekundu anatoka ndani.Ndio maana mara nyingi utasikia mtu anasema mimi huwa siweki make up labda powder tu na lipgloss au wanja tu kwa mbali na lipgloss bila kujua hata hapo tayari ameweka make up.
 
Last edited by a moderator:
vitu fake hasa vya kemikali ni hatari
bora kutumia vitu vilivyotengenezwa na vitu natural .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom