Urais, Halima, Nassari na Kigoma

Urais, Halima, Nassari na Kigoma

Status
Not open for further replies.
Zito ana uwezo wa kujenga hoja vizuri sana. tatizo ni hiyo kasoro ya superiority complex aliyo nayo. He believes he is knowledgeable than anybody. katika mambo haya ya vyama team work is very important for a success. Apunguze power mongering. Sawa kila mwanadamu ana hulka ya kutaka madaraka, lakini not at the detriment of the many. kama hakuna hatua za makusudi ataiua CDM, na CCM watampokea kwa kumbeza!!

Hiya ni hulka ya watu wafupi,remember Kawawa?
 
Mbona mzee kubenea alimaliza kazi jamani. Mmesahau yale mawasiliano na Rostam? Kubenea hakukosea dakika wala sekunde ya yale mawasiliano hasa kwenye toleo la pili. Na kwa taarifa tuu ilibidi Rostam aende voda kutafuta nani aliyetoa data zile. Ila mwisho wa siku hakupata. Zitto nakushauri uchague moja na chagua kuwa na team work.
 
Kwa vile Zito katangaza wazi kuwa "urais" anaupenda, kwa vile watu wake wa karibu wamesema kuwa lazima rais wa 2015 atoke Kigoma, kwa vile kwa nyakati mbalimbali tumeona kuwa Mh Zito amekuwa na matamshi ya kung'ata na kupuliza; kukana na kukiri baadaye kuwa kasema, kwa vile hata uenyekiti wa Chadema aliwania akanyamazishwa na Chama.

Nadiriki kusema Chadema haitapona kuvurugwa na Zito Kabwe, na hatimaye kusambaratishwa kama vilivyokuwa vyama vya NCCR Mageuzi, na CUF.... kisha Zito atatimkia chama kingine dhaifu ili atimize azma yake ya kuwania urais kupitia chama hicho au ugombea binafsi. Chadema ikitaka kubaki imara isiyapuuze sana yanayoendelea.

Huu ni mtazamo wangu tu... ninaweza kupingwa..
 
Kisha toa kinachomsonga monyoni wake,CDM wanamwangalia tuu,leo uraisi 2015 wapi na wapi povu tu linamtoka,anatumiwa tu na CCM na usalama wa taifa.CDM haichagui mgombea uraisi kupitia bungeni kweli hapa narudi kwa
mbunge wa iringa mjini akili ndogo kuongoza akili kubwa Naambiwa huyu ana masters kweli?? kwa mawazo anataka sisi tusio na kisomo kama chake tumshauri hata katika hili?????
 
Mara anasema mda wa kujadili Urais bado kesho yake anasema anauwezo sasa huyu ni mtu mnafiki na Mnafiki hafai yatakua yale yale ya kundi flani kuongoza nchi itakua miaka mingne ya udhaifu na shida kubwa kwa watu wa hii nchi...Mungu ataleta kiongozi sio hawa wanaojitaja
 
Umetupa mtazamo wako!

nikuambie binafsi wewe na nafsi yako ya kwamba, ukigoma walioupigia chapuo unakwenda kumdharaulisha zito mbele ya jamii kuliko walivyofikiria.

wananchi wanahitaji ukombozi kutoka ukoloni, yeye anatuletea ukigoma, punda kihongwe huyu, mijitu mingine kama ngozi ya ta.ko vile.
Ni lini watautukuza utanzania wao?
 
Record kubwa sana inaonyesha kuwa wanasiasa wanaokuwa na ndoto za urais kwa muda mrefu hushindwa kufanya majukumu yao vizuri wanapopata nafasi za kuwa rais na mara nyingi huvuruga sana nchi zao. Sababu mojawapo kubwa ya kushindwa huko ni kutokana na kuwa mara nyingi huwa hawana ajenda ya nchi bali ajenda yao biansfi ya kuwa rais tu. Sababu nyingine ni kuwa njia wanazotumia kupata uraisi huwafanya wakose washauri wazuri kwa vile huwa wameshavurugana na watu ambao wangewashauri vizuri.

Richard Nixon (aligombea kwa zaidi ya miaka kumi), Kikwete (alijiandaa kwa zaidi ya miaka kumi+), Bush (alijiandaa kwa miaka minane tang baba yake alivyoshindwa na alitumia pesa nyingi sana kuupata).

Mara zote marais wanaohappen kuwa na ufanisi mkubwa ni wale walioombwa na mashabiki wao kuwa wagombee, na wakapewa support kubwa sana na vyama vyao; wengine huchaguliwa kwa bahati bahati tu kwa vile walikuwa katika position fulani wakiwa hawategemei kupata nafasi hiyo ya urais; utaratibu mzima wa wao kujiandaa kugombea huwa ni muda mfupi sana. Mifano ipo ya kutosha kwa watu wa aina hiyo

Kuanzia mwaka jana (au kabla ya hapo- wakati ulipotuarifu kuwa Kikwete alipendekeza wewe ndiwe uwe rais ajaye), Mheshimiwa Zito umekuwa vocal sana katika kutangaza nia yako ya kugombea urais na mara kadhaa umekwaruzana na wenzako ndani ya chama chako kwa sababu hiyo tu. Kadri siku zinavyokwenda umekuwa unaongeza kasi hiyo ukiwa labda na lengo la ku-preempt watu wengine ndani ya chama chako wasigombee nafasi hiyo. Inawezekana mara zote hizo ni magazeti yanakunukuu vibaya ila kwa vyovyote iwapo umekuwa active kutanganza nia yako ya kugombea urais, basi utaratibu unaotumia, hauna tofauti sana na utaratibu uliotumiwa na Kikwete wakati akitaka kugombea uraisi, na leo hii sote tunajua kuwa Kashindwa kazi hiyo. Ingawa leo hii tunamwona Kikwete ni dhaifu, lakini kila mtu anajua jinsi alivyokuwa thabiti kama wewe ulivyo leo wakati yeye akiwa waziri wa fedha ambapo alibana kabisa mismaha ya kodi na kuwabana sana wafanyabishara waliokuwa wakikwepa kodi. Kwa hali hiyo, kuwa makini na hatua unazofanya sasa hivi kwani zinaweza zisiwe productive kwako binafsi, na huenda kwa chama chako pia. Usitake swala la Zito na Urais ndiyo iwe headline kila siku, kwa sababu ikitokea kuwa hutateuliwa na chama chako kwa njia halali kabisa, basi utakuwa umetia doa kwa chama chako, na kuongeza mwanya wa kushindwa na CCM tena!


Kiongozi mzuri ngazi ya Urais siyo tu yule ambaye yuko vocal bungeni kupambana na serikali, bali ni yule aliyekuwa na busara za kutosha kuangalia mambo kwa mapana kwa faida ya jamii yake. Unapokuwa unafanya mambo ambayo ni wazi yanaishiwa kuwagawa wanachama wa chama chako kwa ajili ya lengo lako la uraisi ni dalili ya kupungukiwa busara hiyo.
Clinton na Harper wamejiandaa kwa muda gani?..Kina Putin, Kibaki, Kagame M7 na wengine kibao walianza toka enzi za Uhuru..Kichuguu mkuu wangu watu hawa wote huandaliwa nyuma ya pazia na sii watu wanajitokeza tu kama unavyosikia ktk Tv na magazeti..Mtoto wangu miye alikuwa shule ktk hafla ya shule aliulizwa swali - Utataka kuwa nani ukikua?.. mtoto alijibu - " I wonna be The Prime Minister of Canada.." Watu walimpigia makofi na kushangilia badala ya kumpuuza... Mkuu wangu huyu ni mtoto wa miaka 8 tu, walokuwepo sii wajinga kumshangilia na kumpa moyo na heko japokuwa wanajua ni ndoto haiwezekani kiurahisi, lakini it's the message behind it ndio wenzetu wanacho kitazama. Nguvu ya majibu kama yale na sii kufadhaika..Mijinga kina sisi tunamtazama Zitto na kuanza kupiga mahesabu...
 
kasema anautaka na sio anaupenda....ni vitu viwili tofauti mku..ogopa sana mtu anaeutaka urais
 
mi nadhani tumsimamishe yula yule dr slaa coz bila dr tusine wez kufika hapa tulipo
 
Kwa vile Zito katangaza wazi kuwa "urais" anaupenda, kwa vile watu wake wa karibu wamesema kuwa lazima rais wa 2015 atoke Kigoma, kwa vile kwa nyakati mbalimbali tumeona kuwa Mh Zito amekuwa na matamshi ya kung'ata na kupuliza; kukana na kukiri baadaye kuwa kasema, kwa vile hata uenyekiti wa Chadema aliwania akanyamazishwa na Chama, ....
nadiriki kusema Chadema haitapona kuvurugwa na Zito Kabwe, na hatimaye kusambaratishwa kama vilivyokuwa vyama vya NCCR Mageuzi, na CUF....
kisha Zito atatimkia chama kingine dhaifu ili atimize azma yake ya kuwania urais kupitia chama hicho au ugombea binafsi. Chadema ikitaka kubaki imara isiyapuuze sana yanayoendelea.
Huu ni mtazamo wangu tu... ninaweza kupingwa..

Huo ni mtazamo wako
 
Mtizamo wako ni dhaifu sana ! Jipange upya uje tena !

Inatakiwa kuheshimu maoni ya wengne c kila kitu upinge tu.

Zitto anatakiwa kutubu katika chama chake kuwa amekosea.

Napata wasiwasi na mienendo ya Zitto kwa sasa kwani inaonesha imekisa hekima na busara.

Ni hayo tu yangu
 
Chadema is more than just one person. A person can have influence in a party but he does not carry the whole party.
 
kwani umelazimishwa kumjadili bwana zitto si umejipendekeza tu,loo!!!
 
Huyu alikuwa ni mmoja wa suspect wa kusaliti ukombozi wa Tz. Ni vizuri kaja hadharani ili akijibiwa kwa hoja asijesema hakusema au anaonewa nk.

Amethibitisha kuwa anautaka urais kwa gharama yoyote.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom