Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,897
- 6,933
Zitto ni sawa na HIV-Virus (CD4).
Ukweli Wa Zitto:
Miezi ya nyuma nilileta hii mada hapa jukwaani lakini kwa bahati mbaya MODs waliinyofoa dakika 20 baada ya kuiweka. Sina budi kurudisha hii mada baada ya sakata la Zitto Kabwe, Nassari, Halima Mdee pamoja na gazeti la Mwananchi. Kwa muda wa miaka kadhaa sasa, nimekuwa katika tasnia ya habari na lazima nikiri kwamba mengine yanayofanyika katika hii tasnia ni ya kukatiza moyo hasa kazi za wanahabari zinapoingiliwa na wanasiasa. Kwetu sisi wanawake inakuwa ni vigumu sana kukataa kutii haya maagizo ambayo mengine unaona kabisa ni za vitisho...
Waandidhi mwajua mengi kwa vile mko kwenye lake-pond wanakoenda kuogelea wenye njaa ya kupata dagaa kwa njia ya mkato kupitia journalists.